Ifakara ndio mji wa wajanja. Wezi wa TUMA kwenye Namba hii makao makuu yao Ifakara. Ifakara ni noma sana

Hatimaye hadi mamlaka za Serikali hasa wizara ya mambo ya ndani imenyoosha mikono, imeweka bayana kuwa ifakara ndio Baba lao wa tuma kwenye namba hii.

Ifakara iko kijanja zaidi.

Ni hayo tu
 
Kumbe! ngoja TCRA&Polisi wapate hizi taarifa utawapeleka inaonekana unafahamu walipo, unafurahia unawapa sifa.

Jasho la watanzania wenzako linadhulumiwa unasifia eh! pesa ambazo zingetumika kwa ada,matibabu, na chakula.
 
Kumbe! ngoja TCRA&Polisi wapate hizi taarifa utawapeleka inaonekana unafahamu walipo, unafurahia unawapa sifa.

Jasho la watanzania wenzako linadhulumiwa unasifia eh! pesa ambazo zingetumika kwa ada,matibabu, na chakula.
Acha ufala soma gazeti mwananchi ya Leo ndio utajua hujui ifakara ni nyoko, ukifika tu jamaa wanajua wewe mgeni na watapata namba yako, popote wapo, The place wapo, Twins wapo, Asante wapo, TikTok wapo, California wapo, Sayari wapo, Marangu wapo, Malolo wapo, vibaka wa mtandao wa Ifakara ni nyoko
 
Waliopanic wasome gazeti la mwananchi Tarehe 18 Feb 2025 ndio mjue ifakara wale wahuni wa kutumia akili ni nyoko, ebu jiulize wana connection gani kuhusu namba zetu za simu
 
Back
Top Bottom