Idadi ya Vifo vya kina mama wakati wa kujifungua ni picha ya maendeleo

bezos2019

Member
Apr 23, 2019
47
35
Nchi 20 zenye idadi ndogo ya vifo vya kina mama wakati wakujifungua Africa (2020), pia inaitwa maternal mortality rate (MMR) ni njia nyingine ya kupima maendeleo ya nchi.

Namba baada ya jina la nchi ni Idadi hii ni ya Vifo vilivyotokea kati ya kila wanawake laki mmoja waliojifungua salama mwaka 2020.

1. Egypt 🇪🇬 - 16.8
2. Morocco 🇲🇦- 71.9
3. Libya 🇱🇾- 72.1
4. Algeria 🇩🇿 - 77.7
5. Mauritius 🇲🇺 - 84.4
6. South Africa 🇿🇦 - 126
7. Mozambique 🇲🇿- 127.1
8. Zambia 🇿🇲 - 134.7
9. Botswana 🇧🇼 - 185.9
10. Equatorial Guinea 🇬🇶- 212.3
11. Namibia 🇳🇦 - 214.6
12. Comoros 🇰🇲 - 217
13. Angola 🇦🇴 - 221.9
14. Gabon 🇬🇦 - 226.6
15 Djibouti 🇩🇯 - 234.5
16. Tanzania 🇹🇿 - 238.3
17. Eswatini 🇸🇿 - 239.6
18. Rwanda 🇷🇼 - 258.9
19. Senegal 🇸🇳 - 260.9
20. Ghana 🇬🇭 - 263.1

Sources
1. WHO
2. OWID
 
Back
Top Bottom