Sawa tuNi specifically sio specific niludi kwenye hoja yako kwahyo ata akiwa single mother sawa?
Ame consider issue ya kutuma nauli na yakutolea.Sisi tuliopo Tanga huku hututaki?
"Nirudi"....sio "Niludi"...Hahah, natania tu mkuuNi specifically sio specific niludi kwenye hoja yako kwahyo ata akiwa single mother sawa?
Inaombwaje mkuuHaiombwi hivyo....!🙄
Ongeza maelezo ya sifa zako na za mwanamke umtakae itakaa poaInaombwaje mkuu
Nakuja pm untumie hela ya vocha tuchati my wangu.....Nipo Rukwa natafuta Ke aliyepo Rukwa specific Mjini kwa Mahusiano. Awe na age 20+.Karibu PM
Upo rukwa? Hakuna haja ya vocha tuonane tu ana kwa anaNakuja pm untumie hela ya vocha tuchati my wangu.....
Kabla ya kuonana si tunawasiliana jamani au!??Upo rukwa? Hakuna haja ya vocha tuonane tu ana kwa ana
Hapo sasa...Kabla ya kuonana si tunawasiliana jamani au!??
Simuelewi shemegi enu.....Hapo sasa...
Unapokuja pm si unaandika namba nakupigia tunakutana au?Kabla ya kuonana si tunawasiliana jamani au!??
Shemegi m'bahili🥹Simuelewi shemegi enu.....
Dalali wa vitu gani bossNikiwa dalali wa hivi vitu ntapiga sana ela
Kabisa.....Shemegi m'bahili🥹
Kuwatafutia wenzi wa mahusianoDalali wa vitu gani boss