Huyu ndo Kati ya majembe ya Chadema, maadili zero, tutegemee migomo na ghasia kila uchao

Iwapo mamvi angeingia Ikulu jamaa angekuwa waziri wa habari, angekuwa ndio Nape Nnauye wa serikali ya upinzani. Patamu hapo.
 
Kukabidhiwa nchi hii kwa tabia hizi mnazoonyesha ni mpaka Yesu arudi na si vinginevyo.
Mkibahatisha mwisho ubunge, kuunda serikali ng'o.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…