johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,685
Kuwa mwanasheria ni jambo moja lakini kuwa na uwezo wa kuichambua sheria kifungu kwa kifungu ni jambo lingine kabisa.
Niko natazama mubashara impeachment trial ya Donald Trump hakika huyu mwanasheria David Schoen wa Trump ni kiboko. Amenikumbusha uwezo wa Tundu Lissu katika kuchambua vifungu vya sheria.
Aisee duniani kuna mafundi wa sheria, kumbe Lissu anajua.
Maendeleo hayana vyama!
Niko natazama mubashara impeachment trial ya Donald Trump hakika huyu mwanasheria David Schoen wa Trump ni kiboko. Amenikumbusha uwezo wa Tundu Lissu katika kuchambua vifungu vya sheria.
Aisee duniani kuna mafundi wa sheria, kumbe Lissu anajua.
Maendeleo hayana vyama!