Huu uhuru anaopewa Bilionea Elon Musk na Rais Trump unatokana na nini? Mbona ni kama vile Musk ndiyo Rais wa Marekani?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
60,267
120,307
Maaumuzi mengi tena yenye Unyeti anatoa Elon Musk huku Rais Trump akionekana Kukubaliana nayo hata kama Wachambuzi Nguli wa Siasa za Dunia wanasema ni Hatari kwa Ustawi wa Marekani. Kuna Clip naiona sasa Elon Mask yuko Ikulu na Mwanae na anafanya Vituko vya kila aina huku Mwanae nae akiifanya hiyo Ofisi ya Ikulu ya Marekani kama ni Kibarazani kwao ambako anaweza kufanya kila Kitu.

In short Elon Musk ni mwenye Kiburi, Jeuri na Dharau kiasi kwamba hata ukiangalia tu Body Languages za Watumishi wa Ikulu (Wazee wa Protokali) walioko hapo Ikulu zinaonyesha kuwa hawapendi ila hawana cha kufanya. Jamaa (Elon Musk) mara ambebe Mwanae Kichwani mwake huku akiwa anaongea mbele ya Rais Trump ambaye nae anaonekana kama vile Kashikwa pabaya na Musk.
 
Itakuwa kuna jambo nyuma ya mlango. Inaweza ikawa ni gharama aliyotumia Musk kuwezesha Trump kushinda.

Nafasi aliyopewa sio kwa bahati mbaya, ni kwa makubaliano maalum ya awali baina ya Musk na Trump, kwa jicho la kawaida inawezekana ikaonekana kama Musk ni mteule wa Trump lakini kiuhalisia inaweza ikawa ni kinyume chake.

Hata bongo wapo kina Musk wengi nyuma ya pazia ni vile tu hawajitokezi hadharani, ila wana influence ya kutosha katika maamuzi ya kila siku.

 
Maaumuzi mengi tena yenye Unyeti anatoa Elon Musk huku Rais Trump akionekana Kukubaliana nayo hata kama Wachambuzi Nguli wa Siasa za Dunia wanasema ni Hatari kwa Ustawi wa Marekani. Kuna Clip naiona sasa Elon Mask yuko Ikulu na Mwanae na anafanya Vituko vya kila aina huku Mwanae nae akiifanya hiyo Ofisi ya Ikulu ya Marekani kama ni Kibarazani kwao ambako anaweza kufanya kila Kitu.

In short Elon Musk ni mwenye Kiburi, Jeuri na Dharau kiasi kwamba hata ukiangalia tu Body Languages za Watumishi wa Ikulu (Wazee wa Protokali) walioko hapo Ikulu zinaonyesha kuwa hawapendi ila hawana cha kufanya. Jamaa (Elon Musk) mara ambebe Mwanae Kichwani mwake huku akiwa anaongea mbele ya Rais Trump ambaye nae anaonekana kama vile Kashikwa pabaya na Musk.
kwahiyo boss umemaind?
 
Maaumuzi mengi tena yenye Unyeti anatoa Elon Musk huku Rais Trump akionekana Kukubaliana nayo hata kama Wachambuzi Nguli wa Siasa za Dunia wanasema ni Hatari kwa Ustawi wa Marekani. Kuna Clip naiona sasa Elon Mask yuko Ikulu na Mwanae na anafanya Vituko vya kila aina huku Mwanae nae akiifanya hiyo Ofisi ya Ikulu ya Marekani kama ni Kibarazani kwao ambako anaweza kufanya kila Kitu.

In short Elon Musk ni mwenye Kiburi, Jeuri na Dharau kiasi kwamba hata ukiangalia tu Body Languages za Watumishi wa Ikulu (Wazee wa Protokali) walioko hapo Ikulu zinaonyesha kuwa hawapendi ila hawana cha kufanya. Jamaa (Elon Musk) mara ambebe Mwanae Kichwani mwake huku akiwa anaongea mbele ya Rais Trump ambaye nae anaonekana kama vile Kashikwa pabaya na Musk.
Elon Musk alimchangia USD 250 Million Trump kwenye kampeni za uchaguzi za mwaka 2024.

Na sasa ndiyo Trump analipa fadhila kwa Elon.

USAID walikuwa wafanye funding ya uchunguzi wa uhusiano wa Starlink na China. Hiki kitu kimemkwaza Elon Musk, na ndiyo maana anatafuta revenge
 
Ushindi wa Trump ni hela za mkaburu huyo
Musk anajiona yuko South Africa na sio US
Jamaa hela zake zimemnunua Trump
Ila wanawalia timing mara mtasikia paa
 
Maaumuzi mengi tena yenye Unyeti anatoa Elon Musk huku Rais Trump akionekana Kukubaliana nayo hata kama Wachambuzi Nguli wa Siasa za Dunia wanasema ni Hatari kwa Ustawi wa Marekani. Kuna Clip naiona sasa Elon Mask yuko Ikulu na Mwanae na anafanya Vituko vya kila aina huku Mwanae nae akiifanya hiyo Ofisi ya Ikulu ya Marekani kama ni Kibarazani kwao ambako anaweza kufanya kila Kitu.

In short Elon Musk ni mwenye Kiburi, Jeuri na Dharau kiasi kwamba hata ukiangalia tu Body Languages za Watumishi wa Ikulu (Wazee wa Protokali) walioko hapo Ikulu zinaonyesha kuwa hawapendi ila hawana cha kufanya. Jamaa (Elon Musk) mara ambebe Mwanae Kichwani mwake huku akiwa anaongea mbele ya Rais Trump ambaye nae anaonekana kama vile Kashikwa pabaya na Musk.
Wabongo bana, sasa hapa unajifanya unajua siasa za ndani za marekani kisa ile picha ndio imekufanya uamini hizi pumba zako.. wee jamaa bhana.
 
Nikizipata ipo siku asubuhi na mapema raisi wa nchi badala ya kumpigia DG wa Baraza la usalama kupata debriefing za siku iliyopita ,atakuwa ananipigia Mimi kuniuliza leo atoke ikulu au asitoke .
 
Back
Top Bottom