Kichwa kipi ?Wameandika "Kada aliyempinga Rais Samia aliwa kichwa"
Kaliwa kichwa maaana kakatwa kichwa na kutenganisha na kiwili wili
Kichwa hukijui?Kichwa kipi ?
Kichwa hukijui?
Kwahiyo tayari wamekuchochea hapo.Wameandika "Kada aliyempinga Rais Samia aliwa kichwa"
Ktk uandishi wa habari, heading hio inamaana ya kwamba
Kaliwa kichwa maaana kakatwa kichwa na kutenganisha na kiwili wili
Wewe ndiyo unaonekana mchochezi. Neno "kuliwa kichwa" halina uhusiano wowote ule na kukatwa kichwa na kutenganisha na kiwiliwili kama unavyo taka kutuaminisha hapa.Wameandika "Kada aliyempinga Rais Samia aliwa kichwa"
Ktk uandishi wa habari, heading hio inamaana ya kwamba
Kaliwa kichwa maaana kakatwa kichwa na kutenganisha na kiwili wili
Wewe ndiye unaleta uchochezi kwa tafsiri yako ya kimakunduchi. Hii kazi unayofanya sasa ameifanya kada uchwara mwenzako Lucas Mwashambwa hadi amenyoosha mikono sasa.Wameandika "Kada aliyempinga Rais Samia aliwa kichwa"
Ktk uandishi wa habari, heading hio inamaana ya kwamba
Kaliwa kichwa maaana kakatwa kichwa na kutenganisha na kiwili wili
Huyu ni mpumbavu fulani hivi anainukia kwenye uchawa baada ya kukosa kick kwenye mada zake za udiniHata kama unajaribu kujifanya haelewi bado huwezi kusema kuliwa ni kukatwa.
Mbona unaitwa malaria 2, kwani unaumwa kweli ama ?????Wameandika "Kada aliyempinga Rais Samia aliwa kichwa"
Ktk uandishi wa habari, heading hio ina maana ya kwamba: Kaliwa kichwa maaana kakatwa kichwa na kutenganisha na kiwili wili
Mbona hii halihitaji D mbili?Wameandika "Kada aliyempinga Rais Samia aliwa kichwa"
Ktk uandishi wa habari, heading hio ina maana ya kwamba: Kaliwa kichwa maaana kakatwa kichwa na kutenganisha na kiwili wili
Hujui misemo ya Kiswahili wewe.Kichwa kipi ?
Kichwa cha chini jamanKichwa kipi ?
Anavijua sanaa, mwanaume ana vichwa viwili jaman, mbona mgumu kuelewa?Kichwa hukijui?
Na moto unawakaKwahiyo tayari wamekuchochea hapo.
Napenda kichwa cha chini mimi jamaniKwanza tuambie kichwa cha wapi?
Juu au chini?