Huu si uchochezi waliondikwa Mwananchi?

Malaria 2

JF-Expert Member
Oct 17, 2023
6,723
10,176
Wameandika "Kada aliyempinga Rais Samia aliwa kichwa"

Ktk uandishi wa habari, heading hio ina maana ya kwamba: Kaliwa kichwa maaana kakatwa kichwa na kutenganisha na kiwili wili
 
Wameandika "Kada aliyempinga Rais Samia aliwa kichwa"
Ktk uandishi wa habari, heading hio inamaana ya kwamba
Kaliwa kichwa maaana kakatwa kichwa na kutenganisha na kiwili wili
Wewe ndiyo unaonekana mchochezi. Neno "kuliwa kichwa" halina uhusiano wowote ule na kukatwa kichwa na kutenganisha na kiwiliwili kama unavyo taka kutuaminisha hapa.
 
Wameandika "Kada aliyempinga Rais Samia aliwa kichwa"
Ktk uandishi wa habari, heading hio inamaana ya kwamba
Kaliwa kichwa maaana kakatwa kichwa na kutenganisha na kiwili wili
Wewe ndiye unaleta uchochezi kwa tafsiri yako ya kimakunduchi. Hii kazi unayofanya sasa ameifanya kada uchwara mwenzako Lucas Mwashambwa hadi amenyoosha mikono sasa.
 
Wameandika "Kada aliyempinga Rais Samia aliwa kichwa"

Ktk uandishi wa habari, heading hio ina maana ya kwamba: Kaliwa kichwa maaana kakatwa kichwa na kutenganisha na kiwili wili
Mbona unaitwa malaria 2, kwani unaumwa kweli ama ?????
 
Back
Top Bottom