The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,963
- 2,945
Hakutegemea kutoswa na CCM. Abaki hukohuko hatumhitajialiekua mjumbe wa tume ya mabadiliko ya katiba leo ameibuka na kuzungumzia mambo mbalimbali yanayoendelea nchini kuhusu katiba polepole amesema katiba pendekezwa inamapungufu kuizidi hata ya mwaka 77 tuliyonayo sasa hivyo anapendekeza kua badala ya kuipigia kura ya maoni ni vema pawepo maridhiano kwani bunge la katiba liliipoka katiba ya wananchi na kuifanya katiba ya viongozi kuhusu mgogoro wa zanzibar anasema ufumbuzi wake ulikua kwenye rasim ya warioba lakini katiba pendekezwa imeukuza sana huo mgogoro kuhusu yeye kwageuka ukawa amesema si kweli kua yeye aliwageuka ukawa isipokua ukawa walisaliti misimamo yao kwa kumkaribisha na kumpa nafasi mtu ambae yeye binafsi na wajumbe wenzie walimpinga hata akiwa ccm kwan anaamini kua lowasa hakua na uadilifu wa kumuwezesha kuleta mabadiliko chanya. kuhusu ccm na ufisadi amesema ccm ndio chama pekee hapa tanzania kuwahi kukiri kua kuna ufisadi ndani ya chama na sasa kimedhamiria kuukomesha vyama vingine havijafanya hivyo ingawa kwao pia kuna ufisadi
aliekua mjumbe wa tume ya mabadiliko ya katiba leo ameibuka na kuzungumzia mambo mbalimbali yanayoendelea nchini kuhusu katiba polepole amesema katiba pendekezwa inamapungufu kuizidi hata ya mwaka 77 tuliyonayo sasa hivyo anapendekeza kua badala ya kuipigia kura ya maoni ni vema pawepo maridhiano kwani bunge la katiba liliipoka katiba ya wananchi na kuifanya katiba ya viongozi kuhusu mgogoro wa zanzibar anasema ufumbuzi wake ulikua kwenye rasim ya warioba lakini katiba pendekezwa imeukuza sana huo mgogoro kuhusu yeye kwageuka ukawa amesema si kweli kua yeye aliwageuka ukawa isipokua ukawa walisaliti misimamo yao kwa kumkaribisha na kumpa nafasi mtu ambae yeye binafsi na wajumbe wenzie walimpinga hata akiwa ccm kwan anaamini kua lowasa hakua na uadilifu wa kumuwezesha kuleta mabadiliko chanya. kuhusu ccm na ufisadi amesema ccm ndio chama pekee hapa tanzania kuwahi kukiri kua kuna ufisadi ndani ya chama na sasa kimedhamiria kuukomesha vyama vingine havijafanya hivyo ingawa kwao pia kuna ufisadi
kwa sababu anaeleza mambo usiyoyafurahia ? vumilia kamanda hiyo ndio demokrasia! ! lazima usikie mambo unayopenda na usiyoyapenda maamuzi baki nayo rohoni mwako. huna haja ya kutusimuliaHuyu jamaa huwa anajuwa kila kitu hahahaha huwa nikimuonaga kwenye television huwa nahisi kama kutapika flani hivi
Hana ukada wowote NJAA tuKada mtifu wa chama cha majipu
Polepole alikuwaga! alisigina mtaji wake mwenyewe kwa kubadilika kutoka mwanaharakati wa mabadiliko na kuwa kada mkereketwa "vululuvululu" wa chama cha majizi ccm! He lost his major asset; MORAL AUTHORITY & CREDIBILITY; he can go hang for all I care!aliekua mjumbe wa tume ya mabadiliko ya katiba leo ameibuka na kuzungumzia mambo mbalimbali yanayoendelea nchini kuhusu katiba polepole amesema katiba pendekezwa inamapungufu kuizidi hata ya mwaka 77 tuliyonayo sasa hivyo anapendekeza kua badala ya kuipigia kura ya maoni ni vema pawepo maridhiano kwani bunge la katiba liliipoka katiba ya wananchi na kuifanya katiba ya viongozi kuhusu mgogoro wa zanzibar anasema ufumbuzi wake ulikua kwenye rasim ya warioba lakini katiba pendekezwa imeukuza sana huo mgogoro kuhusu yeye kwageuka ukawa amesema si kweli kua yeye aliwageuka ukawa isipokua ukawa walisaliti misimamo yao kwa kumkaribisha na kumpa nafasi mtu ambae yeye binafsi na wajumbe wenzie walimpinga hata akiwa ccm kwan anaamini kua lowasa hakua na uadilifu wa kumuwezesha kuleta mabadiliko chanya. kuhusu ccm na ufisadi amesema ccm ndio chama pekee hapa tanzania kuwahi kukiri kua kuna ufisadi ndani ya chama na sasa kimedhamiria kuukomesha vyama vingine havijafanya hivyo ingawa kwao pia kuna ufisadi
Hakusema anataka kuja, elewa kilichoandikwaHakutegemea kutoswa na CCM. Abaki hukohuko hatumhitaji