Munru
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 1,340
- 666
huyu jamaa hakamatiki, ni another level,
nadhani kwa kizazi hiki hakuna mchezaji anaemgusa,
ha suggested way ya kumzuia ni kama inavyoonekana kwenye picha lol
na kama unafikici cr. 7 ni mkali unajidanyanga, na madrid hawana uwezo wa kuwafunga Barca hata wangekuwepo ronalod 3 , as long as Messi yupo , still madrid wangelala tu ,
the only way madrid kuwashinda barca labda iwe ivi :
nadhani kwa kizazi hiki hakuna mchezaji anaemgusa,
ha suggested way ya kumzuia ni kama inavyoonekana kwenye picha lol

na kama unafikici cr. 7 ni mkali unajidanyanga, na madrid hawana uwezo wa kuwafunga Barca hata wangekuwepo ronalod 3 , as long as Messi yupo , still madrid wangelala tu ,
the only way madrid kuwashinda barca labda iwe ivi :
