Houth huko Yemen bado wana kibarua kigumu sana!

Echolima1

JF-Expert Member
Nov 2, 2019
1,982
2,023
Majeshi ya Marekani bado yanaendeleza kipondo kwa Wahouth huko Yemen baada ya wao kununua ugomvi usiowahusu.

Majeshi ya Marekani usiku huu yameshusha kipondo cha kufa mtu kwa magaidi hao na kuacha bilion vikiwa vimetanda kwenye maeneo yaliyoshambuliwa na majeshi hayo.!!!

 
Majeshi ya Marekani bado yanaendeleza kipondo kwa Wahouth huko Yemen baada ya wao kununua ugomvi usiowahusu.
Majeshi ya Marekani usiku huu yameshusha kipondo cha kufa mtu kwa magaidi hao na kuacha bilion vikiwa vimetanda kwenye maeneo yaliyoshambuliwa na majeshi hayo.!!!
 

Attachments

  • telegram_video.mp4
    3.9 MB
  • telegram_video.mp4
    7.6 MB
USA isicheke na hao magaidi wapigwe kipigo cha mbwa mwizi wakaonane na mabikra 72 huko akhera, ghasia kabisa hao.
 
1745176797485.jpg
 
Back
Top Bottom