Hotuba ya Mugabe 'iliyoivua nguo' Marekani, Uingereza

Huyo Mugabe anachekesha sana. Zimbabwe iko kwenye janga la njaa kiasi kwamba wananchi wake wanaangamia. Wanaopeleka misaada ni hao hao US, UK, and the like huku akijifanya jeuri simply njaa "haimhusu" yeye na familia yake.

Hii naifananisha na tabia ya mwarabu kutwa kucha kuwatukana makafir wa west lakini mkorogano kidogo tu huko kwao kiguu na njia kwenda huko huko west badala ya kuja Afrika to their "brothers and sisters".
 

Mfano wako kwa waarabu hauko sahihi soma historia west ndio wanawaingilia waarabu kwa nguvu. wanatumia kila hila kutaka kuwaweka chini yao na ndio sababu ya machafuko yasiyo isha. Njaa ya Zimbabwe (miaka ile sio sasa uchumi unaimarika) ilitokana. na Waingereza kuweka vikwazo Jamaa aligangamala wakanyooka wenyewe na Tshanharai wao wakamugeuka. Mugabe Kidume.
 

Hoja za namna hiyo huwa nashindwa kuzielewa. Yaani anayekuingilia kwa nguvu, anayekuulia ndugu zako (kama mnavyodai) na kukufanyia kila namna ya madhila utakimbilia tena kwake kwenda kujisitiri kweli!? Yaani unakilmbilia kuishi kwa "muuaji" wako! Angalia wanavyopukutikia hapo Mediterranean kisa kukimbilia Ulaya kula bata wakati Bongo wangeweza kuja hata kwa miguu! Ha ha ha! Mtu wa aina hiyo utakuwa na funza kichwani sio bure.
 
Huyu mzee ni ovyo. Kawatimua wazungu waliokuwa wanalisha nchi, akakimbilia kugawa mashamba kwa wakulima wanaotumia jembe la mkono, sasa wote wanakufa njaa. Mimi simo kabisa kwenye timu yake.
 

Mkuu kweli Mugabe ni kidume? hauko serious hata kidogo. Kidume wa nini?
 
Kwa lugha nyepesi Mugabe hana strategy za kuendeleza nchi yake , hii njia yake ya kuzipigia kelele western countries na kuzilaumu ni njia ya kijinga kabisa na wajinga wanaendelea kumpa support imefikia kipindi anaitwa Simba wa Africa ? Kwa lipi ? Kalifanyia nini cha maana bara hili ? Kaleta innovation gani ambayo ni life changing ? Nini kipya ?!

Kiongozi mzuri ni Yule anayekaa chini na kubuni mbinu ya kujikwamua yeye kwanza na watu wake sio kila siku kutukana watu kwenye mikutano ya UN ili aonekane bora . Wenzake hawatukani wanatulia wanabuni njia wanaendelea ..

"Let's use our brains instead of becoming crying babes "
 
Brain of being inslaved?becoming an.independent needs struggle,and this may effect to some upside downs before they understand and find u in ur right path.Hypocrisy is the most dengareous weakness to suistainable development.MUGABE IS THE HERO.we will one day see him in the destination of his wish
 
Huyo mtoa Mada hata hajui hao waarabu wanaokimbilia West ni akina na nani wala hajui wanakimbilia nini. Kama unajua laana ya kumiliki vyanzo vya mafuta na gesi asilia basi hautasema maneno kitoto kama hayo. Juzi tu Donald Trump kamsema Rais wa Malawi mtu aliye na hadhi ya elimu ya kuitwa Profesa kisha akaishi Marekani miaka 30 na bado akapata cheo cha kuwa Rais wa nchi na leo Malawi kuna njaa na shida ya maisha kuzidi maelezo.
Mugabe ana shahada saba za hali ya juu anaongea lugha ya Malkia kwa ufasha kabisa leo wazimbabwe wana dhiki hata hela yao haifai hata kununua ubuyu
Sasa ameruhusu US dollar iwe hela halali (legal tender) ya matumizi nchini kwake halafu anamwambia Ban Ki Moon awaambie USA wafungd midomo yao kisa JK kamtonya alichoambiwa na West kuwa CCM imekosa hadhi ya kuongoza nchi. Ha hivi pia ameanza kuruhusu Yuan ya China iwe nayo hela halali baada ya kuwasili Rais wa China wiki mbili zilopita.
Zimbabwe kama Tanzania ina utajiri wa kila aima ikiwemo madini na ardhi nzuri kabisa ya Kilimo. Zimbabwe ilikuwa ni Bread Basked of Africa sasa ndio omba omba. Hata hivyo unadhani magharibi wamekaa kimya bure si wandugu zao wako bado ni raia mlendani?
 
Ila nayo TZ lazima ione aibu kwani juu ya yote hayo Zimbabwe ndio iliyo kuwa ki uchumi kuliko nchi zote katika Africa mwongo wa 2104-2015
 
Wanaombeza na kumponda Rais Mugabe tuombe Uzima inshaallah tukijaaliwa in 10 years turudi tena hapa kumjadili, kwa sasa tuseme tu "Every Man has a Right to be the Main man" au sio?!!
 
Tatizo hujifikirishi kwa nini wanakimbia. Wanakinbia maxhafuko yaliyoanzishwa na nani, kwa manufaa ya nani? Kwanini iwe rahisi kuta nafasi kwa wakimvvizi Wa ingie na kuishi marekani kama sio kuwapika na kuwaruhusu warudi kuziondoa tawala zinazowakera wao!! Ndio siasa za dunia ya kwanza divide and rule
 
Vita vingi vya nchi za kiarabu si vita vya waarabu kwa waarabu.
Ni vita vya maslahi ya nchi zenye nguvu duniani.
Nchi zenye nguvu duniani wanakulazimisha ukubali aina yeyote ile wanayo itaka.
Kama hutokubali kwa hiyari watakulazimisha ukubali kwa mtutu.
Leo siriya tunasikia ndege za urusi zimeshambulia ndege za usa zimeshambulia ndege za ufaransa zimeshambulia.
Kila kukicha wakubwa wanashambulia ktk ardhi za waarabu ambao hawajatii amri zao.
Na ukumbuke waarabu ni wabishi tofauti na sisi waafrika.
Na bahati mbaya waliopata waarabu ni utajiri mkubwa wa mafuta.
Hilo ndio tatizo linalo waponza kila mkubwa anataka kutengeneza uchumi wake bila kuishika nchi ya kiarabu sawa swa haamini kama atafanikiwa.
Hata huyo mzee mugabe ashukuru hana madini ya kutosha ktk nchi yake laiti angekuwa na mafuta tu kama nchi za kiarabu tungesha msahau kama Mbutu wa zaire.
Angalia angola wakubwa wabwa walivyo kiwa wakiisumbuwa miaka ya nyuma ni kuliko siriya ya leo.
Angola maelfu ya waafrika wenzetu wamekufa na wengine kupata vilema vya maisha kwa ajili ya vita vya maslahi ya wakubwa.
Leo congo watu wanakufa kila siku kwa mslahi ya wakubwa.
Sudan mpaka wameigawa imekuwa nchi mbili tofauti.
Jiulize ivi karne ya leo ni gawa nchi au kuunganisha nchi?
Juu ya kuigawa bado wasudan wanauwana kwa maslahi ya wakubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…