HONORATH CHAROS MOSHI ( aka PWAGU ): ANATAFUTWA TOKA 1994

rr4

JF-Expert Member
Mar 19, 2015
3,724
5,393


WAKUU Kindly,

Ndugu Honorath Charos Moshi, Mchaga Mzaliwa wa Rombo Kikelelwa alipotea toka mwaka 1994.

Alikuwa anaishi Sombetini Arusha na aliondoka ghafla, hakurudi mpaka leo. Watoto wake wamekua wanamtafuta.

Kwa yeyote anayejua alipo, zawadi nono na kubwa mno itatolewa.

MUNGU AWABARIKI SANA.
 
MODS PLEASE HELP.

HII NI SERIOUS.
 
KAM
sasa mods wasaidie nini.maana mtu tangu miaka hyo kapotea.atakuja kupatikana humu?

KUNA YEYOTE KAMUONA AU KUSIKIA PLEASE.

NI MUHIMU SANA KWA WATOTO WAKE MKUU.
 
Hii miaka aliyopotea huyu ndugu ni miaka mibaya sana ambayo wazee wengi wa kichagha hasa kutoka huko Rombo na sehemu nyenginezo walikuwa wanatelekeza wake na watoto zao nakupotelea kusikojulikana{sisemi kwamba huyu nae alifanya hivyo}ila nalo nilakuliangalia..watafutwe wanaohisiwa kuwa marafiki zake wanaeza kujua mienendo yake ya mwisho mwisho na kipi kilikuwa kiota chake!!!Mungu awajaaliee aweze kupatikana akiwa mzima.
 

AMEEN MKUU.

IMEKUWA TRAUMA NA STRESS KWA WATOTO NA FAMILIA.

KWA ATAKAYEKUWA ANAJUA ALIPO, MUNG ATAMBARIKI SANA.
 
Ungetoa taarifa zaidi may be hata jina mabadiliko huwezi jua na hata Mke anaweza kuwa nae na watoto labda kama yuko hai

Swali wakati anaondoka alikuwa na miaka mingapi ili wana JF wajue anayetafutwa kwa sasa ana miaka mingapi!

Na ni mtaalam wa nini alikuwa kwa wakati huo may be atakuwa anaendelea na hiyo taaluma au labda alishabadili.

Inaweza kusaidia kupata huyo jamaa may be!!
 

MKUU AMEZALIWA 1958 NA AMEONDOKA 1994. ALIKUWA 36YRS OLD.

ALIKUWA MFANYABIASHARA WA MADUKA.

AMEKATIKA VIDOLE VIWILI MKONO WA KUSHOTO.
 
MKUU AMEZALIWA 1958 NA AMEONDOKA 1994. ALIKUWA 36YRS OLD.

ALIKUWA MFANYABIASHARA WA MADUKA.

AMEKATIKA VIDOLE VIWILI MKONO WA KUSHOTO.
Thanks, kwa hiyo anayetafutwa huyo mwanaume kwa sasa ana miaka 59 ndiyo picha halisi.
 
MKUU AMEZALIWA 1958 NA AMEONDOKA 1994. ALIKUWA 36YRS OLD.

ALIKUWA MFANYABIASHARA WA MADUKA.

AMEKATIKA VIDOLE VIWILI MKONO WA KUSHOTO.
Pole mkuu kwa kumtafuta mpendwa wako. Vipi hivyo vidole vilikatika katika mazingira gani?
 
Ila kutokana na hiyo picha inaonekana faza alikuwa mtu wa chupa sana....swali langu
1. Alikuwa na ugomvi mkali na mkewake?
2. Alikuwa anaonekana kujali au kupenda watotowake?
3. Alikuwa na madeni au kulalamikiwa kidhulumu wafanyabiashara wenzake?

4. Alikuwa anapenda totoz?
 
MKUU,

I AM HELPING THE FAMILY.

SIJUI VILIKATIKAJE BUT HAVIPO.
Mfanya biashara ya maduka....A.K.A. yake Pwagu, Vidole viwili vimekatika, hata watu wake wa karibu hawajui vilikatikaje, aliondoka ghafla na hajulikani alipo tangu 1994....
 
Mfanya biashara ya maduka....A.K.A. yake Pwagu, Vidole viwili vimekatika, hata watu wake wa karibu hawajui vilikatikaje, aliondoka ghafla na hajulikani alipo tangu 1994....
Hapo unataka kusemaje maana maswali yako yana make sense
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…