Hongereni sana CCM kwa kuliangamiza Taifa letu!

Lord denning

JF-Expert Member
Jun 3, 2015
16,512
35,184
Ukitaka kujua future ya Taifa lolote angalia vijana wake! Fikra zao na priorities zao! Yaani wana maarifa sahihi?

Leo nimejaribu tu kufanya kautafiti kadogo kuhusu tofauti iliyopo baina ya vijana wa Tanzania na wa Rwanda ili niweze tu kubashiri Taifa gani lina vijana hodari wanaolifanya liwe juu ya Taifa lingine.

Kwenye utafiti wangu niliofanya kwenye mtandao wa X haya ndo mawazo na fikra za vijana wa Tanzania na watu wake,

Screenshot_20250302-221446_X.jpg

Screenshot_20250302-221221_X.jpg

Screenshot_20250302-220902_X.jpg

Screenshot_20250302-220148_X.jpg

20250302_220053.jpg

Screenshot_20250302-214610_X.jpg

20250302_220004.jpg


Alafu jionee mwenyewe mawazo na fikra za vijana wa Rwanda!

Screenshot_20250302-221527_X.jpg

Screenshot_20250302-221740_X.jpg

Screenshot_20250302-222835_X.jpg

Screenshot_20250302-220758_X.jpg


Conclusion niliyofikia ni kuwapongeza CCM kwa kutuangamizia Taifa letu kwa kutengeneza utamaduni uliowafanya vijana wasiwe na tamaduni ya kutafuta maarifa ya kuifanya nchi yao kuwa bora na ya mfano kwa maendeleo na kila kitu.
 
STRONG is the positive degree,STRONGER is comparative degree and STRONGEST is superlative😂
 
Unaweza ukawa una hoja ila ulivyowasilisha na mifano uliotumia inaonyesha jinsi gani wewe ni delusional. Kwan hamna vijana wa Tz wanaopost vitu vya maana? Yaan compare nchi kwa tweets kadhaa tena za watu wachache out of millions people. Research ya wapi hio? sampling technique ipi hio? Kama CCM wamedhalisha wajinga basi na ww ni kiongoz wa wajinga kwa the way ulivyojenga hoja yako na mifano yako.
 
Unaweza ukawa una hoja ila ulivyowasilisha na mifano uliotumia inaonyesha jinsi gani wewe ni delusional. Kwan hamna vijana wa Tz wanaopost vitu vya maana? Yaan compare nchi kwa tweets kadhaa tena za watu wachache out of millions people. Research ya wapi hio? sampling technique ipi hio? Kama CCM wamedhalisha wajinga basi na ww ni kiongoz wa wajinga kwa the way ulivyojenga hoja yako na mifano yako.
Kama hujaona tatizo na shida kwa vijana wa Tanzania basi na wewe ni sehemu ya tatizo hilo
 
Unaweza ukawa una hoja ila ulivyowasilisha na mifano uliotumia inaonyesha jinsi gani wewe ni delusional. Kwan hamna vijana wa Tz wanaopost vitu vya maana? Yaan compare nchi kwa tweets kadhaa tena za watu wachache out of millions people. Research ya wapi hio? sampling technique ipi hio? Kama CCM wamedhalisha wajinga basi na ww ni kiongoz wa wajinga kwa the way ulivyojenga hoja yako na mifano yako.
nilichoona tz kafata account za watu binafs,afu rwanda kaenda kwenye account za online tv,sasa sijui huo ni ulinganisho wa aina gani

Kwanza mtoa post elimu hana kabisa,ndo zao la ccm tu hili
 
nilichoona tz kafata account za watu binafs,afu rwanda kaenda kwenye account za online tv,sasa sijui huo ni ulinganisho wa aina gani

Kwanza mtoa post elimu hana kabisa,ndo zao la ccm tu hili
Asilimia 90 ya account nilizoziacha ukisoma post zao ndo unaweza lia kabisa.

Kwenye post 20 walizopost almost 15 ni za kumsifia na kumuabudu mama. Ukiondoa hayo ni mwendo wa betting tu.
 
Ukitaka kujua future ya Taifa lolote angalia vijana wake! Fikra zao na priorities zao! Yaani wana maarifa sahihi?

Leo nimejaribu tu kufanya kautafiti kadogo kuhusu tofauti iliyopo baina ya vijana wa Tanzania na wa Rwanda ili niweze tu kubashiri Taifa gani lina vijana hodari wanaolufanya liwe juu ya Taifa lingine.

Kwenye utafiti wangu niliofanya kwenye mtandao wa X haya ndo mawazo na fikra za vijana wa Tanzania na watu wake,

View attachment 3256294
View attachment 3256296
View attachment 3256297
View attachment 3256298
View attachment 3256300
View attachment 3256301
View attachment 3256302

Alafu jionee mwenyewe mawazo na fikra za vijana wa Rwanda!

View attachment 3256304
View attachment 3256305
View attachment 3256306
View attachment 3256307

Conclusion niliyofikia ni kuwapongeza CCM kwa kutuangamizia Taifa letu kwa kutengeneza utamaduni uliowafanya vijana wasiwe na tamaduni ya kutafuta maarifa ya kuifanya nchi yao kuwa bora na ya mfano kwa maendeleo na kila kitu.
Conclusion niliyofikia ni kuwapongeza CCM kwa kutuangamizia Taifa letu kwa kutengeneza utamaduni uliowafanya vijana wasiwe na tamaduni ya kutafuta maarifa ya kuifanya nchi yao kuwa bora na ya mfano kwa maendeleo na kila kitu.📌🔨
 
Asilimia 90 ya account nilizoziacha ukisoma post zao ndo unaweza lia kabisa.

Kwenye post 20 walizopost almost 15 ni za kumsifia na kumuabudu mama. Ukiondoa hayo ni mwendo wa betting tu.
Lakin haya yote aliyaleta magufuri,wakat wa kikwete watu walikuwa wanajadili mambo ya kiserikali lakin baada ya kuingia mshamba kutoka chato,akaanza kukamata na kuua watu wanaojadili mambo ya serikali kwahyo watu wameona ni bora wazungumzie ngono tu
 
Conclusion niliyofikia ni kuwapongeza CCM kwa kutuangamizia Taifa letu kwa kutengeneza utamaduni uliowafanya vijana wasiwe na tamaduni ya kutafuta maarifa ya kuifanya nchi yao kuwa bora na ya mfano kwa maendeleo na kila kitu.📌🔨
Asante mkuu Mshana Jr . Sikutana kusema zaidi maana ningesema zaidi uzi ungefutwa.

Huwa nawishi sana lile Tangazo la Jenerali Sani Abacha mwezi Novemba, 1993 nchini Nigeria siku litokee hapa Tanzania.

Naamini siku itafanikiwa tu ili huu upuuzi ulioletwa na kusababishwa na CCM utaweza kusafishwa.
 
Lakin haya yote aliyaleta magufuri,wakat wa kikwete watu walikuwa wanajadili mambo ya kiserikali lakin baada ya kuingia mshamba kutoka chato,akaanza kukamata na kuua watu wanaojadili mambo ya serikali kwahyo watu wameona ni bora wazungumzie ngono tu
Kweli kabisa. Mambo haya yalianza kupata nguvu kipindi cha Magufuli.

Ingawa kuota kama kuota yalianza kipindi cha huyo huyo mkwele.

Kipindi ambacho vijana walikuwa smart hasa nchi hii ni kipindi cha Mkapa. Alitengeneza kizazi kizuri sana.
 
Asante mkuu Mshana Jr . Sikutana kusema zaidi maana ningesema zaidi uzi ungefutwa.

Huwa nawishi sana lile Tangazo la Jenerali Sani Abacha mwezi Novemba, 1993 nchini Nigeria siku litokee hapa Tanzania.

Naamini siku itafanikiwa tu ili huu upuuzi ulioletwa na kusababishwa na CCM uweze kusafishwa.
Hiyo summary umemaliza kila kitu
 
Back
Top Bottom