Megalodon
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,389
- 7,469
Kupitia maandamano, kwamba tumejifunza hatuna jeshi la polisi lenye uwezo wa kudhibiti watu 5Mil tu walioamua kutafuta haki yao.
Ili kufanikisha maandamano ya watu mil 5 tu , ni lazima Chadema mtengeneze main Objective ambayo ndio tatizo kuu la Tanzania na hiyo Objective itamgusa kila mwananchi.
Ninaomba kushauri yafuatayo;
1. Slogan ya Samia Must go was a reactive response and inadequate strategy.
Ili kuboresha hili eneo ni lazima mkae chini na kutengeneza long term na short term strategy za kuikomboa nchi kutoka katika ugonjwa unaoitwa CCM.
Long term strategy ambayo inaweza kuja to capture attention ya kila raia ni kutofanya uchaguzi au kususia uchaguzi kama hakutokuwa na KATIBA ya Warioba hii itaendana sambamba na maandamano ya kudai katiba mpya.
Maandamano ya katiba mpya yatakuwa ni ya wananchi yaliyokuwa mobilized na Chadema. Shida zote za Tanzania pamoja na kupata viongozi kama Samia, the root cause ni Katiba na hii ndio cut off point. Katiba hii ilituletea Magufuli. Kilichotokea kwa Magufuli na kwa sasa Samia, katiba Mpya becames mandatory for the welfare of the country.
On the other hand, ili Chadema mfanikishe hili swala, kuna namna mnatakiwa kujiboresha kwanza nyie ili wananchi wawe na trust kwenu ;
2. CUF ilipakwa matope ya Udini, those days CUF ilikuwa ndio strong party baada ya CCM , it was intimidating, wananchi wakaamini kweli CUF ni udini, ngangari ngangari , wazee wajino kwa jino . Where is Lipumba now?
Chadema mmepakwa matope ya Ukabila, CCM knows better how to analyze the areas of weakness na kuzifanyia kazi.Ni lazima mjisafishe na haya matope kwa gharama yoyote. Otherwise, mbowe na Lisu are getting old and older, they will tired na watapotea just as Lipumba , Seif na CUF yao.
3. Nafasi ya Mwenyekiti na Naibu wake ni lazima iwe na time limit of maximum 10 years na kufanya transition ya hizo nafasi to younger generation, only then , mta develop public trust. May be katiba ya Chadema iwe reviewed na kufanyiwa amendment na addendum.
4. Kufanya makongamano na sensitization ya kutoa elimu kwa Raia umuhimu wa katiba mpya hadi kwenye remote areas, lazima muwe na kitengo maalum cha hii kazi, na kama tatizo ni fund , watu waliokuwa huku majuu tunaweza kufanya mobilization kwa wazungu na wakatoa hela to support hizo activities, only then , mkija ku announce maandamano ya kudai katiba mpya, you will make sense.
4. CUF ilikufa kwa kukosa vijana wenye uwezo, Lipumba alipo zeeka, CUF nayo ikazeeka; Chadema mnatakiwa kutengeneza vijana watakaofanya replacement za mbowe na lissu na wengineo. Mnaweza mkawa mnachukua cream za vyuoni na kuwajengea uwezo hao vijana waje kuwa kina lisu na mbowe wa baadae
Kuitoa CCM bila katiba mpya, it is totally impossible, na CCM wanapoona mnautaka ugali wao , wataulinda kwa kutumia polisi na kusema maneno kama tusiwasikilize wanaotaka kutugawa kisiasq. Kwa CCM, kudai haki yako ni kutaka kugawa watu kisiasa.
Kama kweli Chadema mnaitaka nchi; ni lazima baadhi ya maeneo mkubali kuyafanyia kazi ili mpate kibali cha wananchi. Lakini pia Bila katiba mpya itawalazimu kuwa na hizo reactive strategies za Samia must go ambazo kimsingi output yake ni Zero na inafanya muonekane you people are too personal, for own interest, and public will never support that .
Soma Pia:
Ili kufanikisha maandamano ya watu mil 5 tu , ni lazima Chadema mtengeneze main Objective ambayo ndio tatizo kuu la Tanzania na hiyo Objective itamgusa kila mwananchi.
Ninaomba kushauri yafuatayo;
1. Slogan ya Samia Must go was a reactive response and inadequate strategy.
Ili kuboresha hili eneo ni lazima mkae chini na kutengeneza long term na short term strategy za kuikomboa nchi kutoka katika ugonjwa unaoitwa CCM.
Long term strategy ambayo inaweza kuja to capture attention ya kila raia ni kutofanya uchaguzi au kususia uchaguzi kama hakutokuwa na KATIBA ya Warioba hii itaendana sambamba na maandamano ya kudai katiba mpya.
Maandamano ya katiba mpya yatakuwa ni ya wananchi yaliyokuwa mobilized na Chadema. Shida zote za Tanzania pamoja na kupata viongozi kama Samia, the root cause ni Katiba na hii ndio cut off point. Katiba hii ilituletea Magufuli. Kilichotokea kwa Magufuli na kwa sasa Samia, katiba Mpya becames mandatory for the welfare of the country.
On the other hand, ili Chadema mfanikishe hili swala, kuna namna mnatakiwa kujiboresha kwanza nyie ili wananchi wawe na trust kwenu ;
2. CUF ilipakwa matope ya Udini, those days CUF ilikuwa ndio strong party baada ya CCM , it was intimidating, wananchi wakaamini kweli CUF ni udini, ngangari ngangari , wazee wajino kwa jino . Where is Lipumba now?
Chadema mmepakwa matope ya Ukabila, CCM knows better how to analyze the areas of weakness na kuzifanyia kazi.Ni lazima mjisafishe na haya matope kwa gharama yoyote. Otherwise, mbowe na Lisu are getting old and older, they will tired na watapotea just as Lipumba , Seif na CUF yao.
3. Nafasi ya Mwenyekiti na Naibu wake ni lazima iwe na time limit of maximum 10 years na kufanya transition ya hizo nafasi to younger generation, only then , mta develop public trust. May be katiba ya Chadema iwe reviewed na kufanyiwa amendment na addendum.
4. Kufanya makongamano na sensitization ya kutoa elimu kwa Raia umuhimu wa katiba mpya hadi kwenye remote areas, lazima muwe na kitengo maalum cha hii kazi, na kama tatizo ni fund , watu waliokuwa huku majuu tunaweza kufanya mobilization kwa wazungu na wakatoa hela to support hizo activities, only then , mkija ku announce maandamano ya kudai katiba mpya, you will make sense.
4. CUF ilikufa kwa kukosa vijana wenye uwezo, Lipumba alipo zeeka, CUF nayo ikazeeka; Chadema mnatakiwa kutengeneza vijana watakaofanya replacement za mbowe na lissu na wengineo. Mnaweza mkawa mnachukua cream za vyuoni na kuwajengea uwezo hao vijana waje kuwa kina lisu na mbowe wa baadae
Kuitoa CCM bila katiba mpya, it is totally impossible, na CCM wanapoona mnautaka ugali wao , wataulinda kwa kutumia polisi na kusema maneno kama tusiwasikilize wanaotaka kutugawa kisiasq. Kwa CCM, kudai haki yako ni kutaka kugawa watu kisiasa.
Kama kweli Chadema mnaitaka nchi; ni lazima baadhi ya maeneo mkubali kuyafanyia kazi ili mpate kibali cha wananchi. Lakini pia Bila katiba mpya itawalazimu kuwa na hizo reactive strategies za Samia must go ambazo kimsingi output yake ni Zero na inafanya muonekane you people are too personal, for own interest, and public will never support that .
Soma Pia: