Hongereni Chadema kwa kufanikisha maandamano, ninaomba mpokee ushauri wangu

Megalodon

JF-Expert Member
Apr 9, 2021
3,389
7,469
Kupitia maandamano, kwamba tumejifunza hatuna jeshi la polisi lenye uwezo wa kudhibiti watu 5Mil tu walioamua kutafuta haki yao.

Ili kufanikisha maandamano ya watu mil 5 tu , ni lazima Chadema mtengeneze main Objective ambayo ndio tatizo kuu la Tanzania na hiyo Objective itamgusa kila mwananchi.

Ninaomba kushauri yafuatayo;

1. Slogan ya Samia Must go was a reactive response and inadequate strategy.

Ili kuboresha hili eneo ni lazima mkae chini na kutengeneza long term na short term strategy za kuikomboa nchi kutoka katika ugonjwa unaoitwa CCM.

Long term strategy ambayo inaweza kuja to capture attention ya kila raia ni kutofanya uchaguzi au kususia uchaguzi kama hakutokuwa na KATIBA ya Warioba hii itaendana sambamba na maandamano ya kudai katiba mpya.

Maandamano ya katiba mpya yatakuwa ni ya wananchi yaliyokuwa mobilized na Chadema. Shida zote za Tanzania pamoja na kupata viongozi kama Samia, the root cause ni Katiba na hii ndio cut off point. Katiba hii ilituletea Magufuli. Kilichotokea kwa Magufuli na kwa sasa Samia, katiba Mpya becames mandatory for the welfare of the country.

On the other hand, ili Chadema mfanikishe hili swala, kuna namna mnatakiwa kujiboresha kwanza nyie ili wananchi wawe na trust kwenu ;

2. CUF ilipakwa matope ya Udini, those days CUF ilikuwa ndio strong party baada ya CCM , it was intimidating, wananchi wakaamini kweli CUF ni udini, ngangari ngangari , wazee wajino kwa jino . Where is Lipumba now?

Chadema mmepakwa matope ya Ukabila, CCM knows better how to analyze the areas of weakness na kuzifanyia kazi.Ni lazima mjisafishe na haya matope kwa gharama yoyote. Otherwise, mbowe na Lisu are getting old and older, they will tired na watapotea just as Lipumba , Seif na CUF yao.

3. Nafasi ya Mwenyekiti na Naibu wake ni lazima iwe na time limit of maximum 10 years na kufanya transition ya hizo nafasi to younger generation, only then , mta develop public trust. May be katiba ya Chadema iwe reviewed na kufanyiwa amendment na addendum.

4. Kufanya makongamano na sensitization ya kutoa elimu kwa Raia umuhimu wa katiba mpya hadi kwenye remote areas, lazima muwe na kitengo maalum cha hii kazi, na kama tatizo ni fund , watu waliokuwa huku majuu tunaweza kufanya mobilization kwa wazungu na wakatoa hela to support hizo activities, only then , mkija ku announce maandamano ya kudai katiba mpya, you will make sense.

4. CUF ilikufa kwa kukosa vijana wenye uwezo, Lipumba alipo zeeka, CUF nayo ikazeeka; Chadema mnatakiwa kutengeneza vijana watakaofanya replacement za mbowe na lissu na wengineo. Mnaweza mkawa mnachukua cream za vyuoni na kuwajengea uwezo hao vijana waje kuwa kina lisu na mbowe wa baadae

Kuitoa CCM bila katiba mpya, it is totally impossible, na CCM wanapoona mnautaka ugali wao , wataulinda kwa kutumia polisi na kusema maneno kama tusiwasikilize wanaotaka kutugawa kisiasq. Kwa CCM, kudai haki yako ni kutaka kugawa watu kisiasa.

Kama kweli Chadema mnaitaka nchi; ni lazima baadhi ya maeneo mkubali kuyafanyia kazi ili mpate kibali cha wananchi. Lakini pia Bila katiba mpya itawalazimu kuwa na hizo reactive strategies za Samia must go ambazo kimsingi output yake ni Zero na inafanya muonekane you people are too personal, for own interest, and public will never support that .

Soma Pia:
 
Kupitia maandamano, kwamba tumejifunza hatuna jeshi la polisi lenye uwezo wa kudhibiti watu 5Mil tu walioamua kutafuta haki yao.

Ili kufanikisha maandamano ya watu mil 5 tu , ni lazima Chadema mtengeneze main Objective ambayo ndio tatizo kuu la Tanzania na hiyo Objective itamgusa kila mwananchi.

Ninaomba kushauri yafuatayo;

1. Slogan ya Samia Must go was a reactive response and inadequate strategy.

Ili kuboresha hili eneo ni lazima mkae chini na kutengeneza long term na short term strategy za kuikomboa nchi kutoka katika ugonjwa unaoitwa CCM.

Long term strategy ambayo inaweza kuja to capture attention ya kila raia ni kutofanya uchaguzi au kususia uchaguzi kama hakutokuwa na KATIBA ya Warioba hii itaendana sambamba na maandamano ya kudai katiba mpya.

Maandamano ya katiba mpya yatakuwa ni ya wananchi yaliyokuwa mobilized na Chadema. Shida zote za TZ pamoja na kupata viongozi kama Samia, the root cause ni Katiba na hii ndio cut off point. Katiba hii ilituletea JPM ambae ilikuwa ukisema su, anakutoboa kweli. Kilichotokea kwa JPM na kwa sasa Samia, katiba Mpya becames mandatory for the welfare of the country.

On the other hand, ili Chadema mfanikishe hili swala, kuna namna mnatakiwa kujiboresha kwanza nyie ili wananchi wawe na trust kwenu ;

2. CUF ilipakwa matope ya Udini, those days CUF ilikuwa ndio strong party baada ya CCM , it was intimidating, wananchi wakaamini kweli CUF ni udini, ngangari ngangari , wazee wajino kwa jino . Where is Lipumba now?

Chadema mmepakwa matope ya Ukabila, CCM knows better how to analyze the areas of weakness na kuzifanyia kazi.Ni lazima mjisafishe na haya matope kwa gharama yoyote. Otherwise, mbowe na Lisu are getting old and older, they will tired na watapotea just as Lipumba , Seif na CUF yao.

3. Nafasi ya Mwenyekiti na Naibu wake ni lazima iwe na time limit of maximum 10 years na kufanya transition ya hizo nafasi to younger generation, only then , mta develop public trust. May be katiba ya Chadema iwe reviewed na kufanyiwa amendment na addendum.

4. Kufanya makongamano na sensitization ya kutoa elimu kwa Raia umuhimu wa katiba mpya hadi kwenye remote areas, lazima muwe na kitengo maalum cha hii kazi, na kama tatizo ni fund , watu waliokuwa huku majuu tunaweza kufanya mobilization kwa wazungu na wakatoa hela to support hizo activities, only then , mkija ku announce maandamano ya kudai katiba mpya, you will make sense.

4. CUF ilikufa kwa kukosa vijana wenye uwezo, Lipumba alipo zeeka, CUF nayo ikazeeka; Chadema mnatakiwa kutengeneza vijana watakaofanya replacement za mbowe na lissu na wengineo. Mnaweza mkawa mnachukua cream za vyuoni na kuwajengea uwezo hao vijana waje kuwa kina lisu na mbowe wa baadae

Kuitoa CCM bila katiba mpya, it is totally impossible, na CCM wanapoona mnautaka ugali wao , wataulinda kwa kutumia polisi na kusema maneno kama tusiwasikilize wanaotaka kutugawa kisiasq. Kwa CCM, kudai haki yako ni kutaka kugawa watu kisiasa.

Kama kweli Chadema mnaitaka nchi; ni lazima baadhi ya maeneo mkubali kuyafanyia kazi ili mpate kibali cha wananchi. Lakini pia Bila katiba mpya itawalazimu kuwa na hizo reactive strategies za Samia must go ambazo kimsingi output yake ni Zero na inafanya muonekane you people are too personal, for own interest, and public will never support that .
Ok
 
Kupitia maandamano, kwamba tumejifunza hatuna jeshi la polisi lenye uwezo wa kudhibiti watu 5Mil tu walioamua kutafuta haki yao.

Ili kufanikisha maandamano ya watu mil 5 tu , ni lazima Chadema mtengeneze main Objective ambayo ndio tatizo kuu la Tanzania na hiyo Objective itamgusa kila mwananchi.

Ninaomba kushauri yafuatayo;

1. Slogan ya Samia Must go was a reactive response and inadequate strategy.

Ili kuboresha hili eneo ni lazima mkae chini na kutengeneza long term na short term strategy za kuikomboa nchi kutoka katika ugonjwa unaoitwa CCM.

Long term strategy ambayo inaweza kuja to capture attention ya kila raia ni kutofanya uchaguzi au kususia uchaguzi kama hakutokuwa na KATIBA ya Warioba hii itaendana sambamba na maandamano ya kudai katiba mpya.

Maandamano ya katiba mpya yatakuwa ni ya wananchi yaliyokuwa mobilized na Chadema. Shida zote za Tanzania pamoja na kupata viongozi kama Samia, the root cause ni Katiba na hii ndio cut off point. Katiba hii ilituletea Magufuli. Kilichotokea kwa Magufuli na kwa sasa Samia, katiba Mpya becames mandatory for the welfare of the country.

On the other hand, ili Chadema mfanikishe hili swala, kuna namna mnatakiwa kujiboresha kwanza nyie ili wananchi wawe na trust kwenu ;

2. CUF ilipakwa matope ya Udini, those days CUF ilikuwa ndio strong party baada ya CCM , it was intimidating, wananchi wakaamini kweli CUF ni udini, ngangari ngangari , wazee wajino kwa jino . Where is Lipumba now?

Chadema mmepakwa matope ya Ukabila, CCM knows better how to analyze the areas of weakness na kuzifanyia kazi.Ni lazima mjisafishe na haya matope kwa gharama yoyote. Otherwise, mbowe na Lisu are getting old and older, they will tired na watapotea just as Lipumba , Seif na CUF yao.

3. Nafasi ya Mwenyekiti na Naibu wake ni lazima iwe na time limit of maximum 10 years na kufanya transition ya hizo nafasi to younger generation, only then , mta develop public trust. May be katiba ya Chadema iwe reviewed na kufanyiwa amendment na addendum.

4. Kufanya makongamano na sensitization ya kutoa elimu kwa Raia umuhimu wa katiba mpya hadi kwenye remote areas, lazima muwe na kitengo maalum cha hii kazi, na kama tatizo ni fund , watu waliokuwa huku majuu tunaweza kufanya mobilization kwa wazungu na wakatoa hela to support hizo activities, only then , mkija ku announce maandamano ya kudai katiba mpya, you will make sense.

4. CUF ilikufa kwa kukosa vijana wenye uwezo, Lipumba alipo zeeka, CUF nayo ikazeeka; Chadema mnatakiwa kutengeneza vijana watakaofanya replacement za mbowe na lissu na wengineo. Mnaweza mkawa mnachukua cream za vyuoni na kuwajengea uwezo hao vijana waje kuwa kina lisu na mbowe wa baadae

Kuitoa CCM bila katiba mpya, it is totally impossible, na CCM wanapoona mnautaka ugali wao , wataulinda kwa kutumia polisi na kusema maneno kama tusiwasikilize wanaotaka kutugawa kisiasq. Kwa CCM, kudai haki yako ni kutaka kugawa watu kisiasa.

Kama kweli Chadema mnaitaka nchi; ni lazima baadhi ya maeneo mkubali kuyafanyia kazi ili mpate kibali cha wananchi. Lakini pia Bila katiba mpya itawalazimu kuwa na hizo reactive strategies za Samia must go ambazo kimsingi output yake ni Zero na inafanya muonekane you people are too personal, for own interest, and public will never support that .

Soma Pia:
Well said
 
Kama kweli Chadema mnaitaka nchi; ni lazima baadhi ya maeneo mkubali kuyafanyia kazi ili mpate kibali cha wananchi. Lakini pia Bila katiba mpya itawalazimu kuwa na hizo reactive strategies za Samia must go ambazo kimsingi output yake ni Zero na inafanya muonekane you people are too personal, for own interest, and public will never support that .
Chadema hakiamini kuhusu demokrasia, kinahubiri mambo kisiyoyaishi kihalisia. Kinakua too personal kwa maana ya yeyote au chama chochote kinachotoa mtazamo tofauti na wa chadema, hicho chama kinabandikwa jina na kuitwa CCM B sababu kina-back up mawazo ya ccm.

Chadema kinaunga mkono unyimwaji wa ruzuku kwa vyama vingine vya siasa, isipokuwa tu mpaka vipate mbunge au kura nyingi za mgombea urais. Hizi ni sera za ccm kuhakikisha vyama havikui na hivyo kuua demokrasia. Je chadema hapo kinakua ni CCM C??

Hizi mambo za personal ndio zinafanya kila ajenda inayoibuliwa kuonekana ni ya kichama (wanachama) na sio ya kitaifa (wananchi). Wasikilize ushauri wako au la utaendelea kuwa mchezo wa paka na panya.
 
Kupitia maandamano, kwamba tumejifunza hatuna jeshi la polisi lenye uwezo wa kudhibiti watu 5Mil tu walioamua kutafuta haki yao.

Ili kufanikisha maandamano ya watu mil 5 tu , ni lazima Chadema mtengeneze main Objective ambayo ndio tatizo kuu la Tanzania na hiyo Objective itamgusa kila mwananchi.

Ninaomba kushauri yafuatayo;

1. Slogan ya Samia Must go was a reactive response and inadequate strategy.

Ili kuboresha hili eneo ni lazima mkae chini na kutengeneza long term na short term strategy za kuikomboa nchi kutoka katika ugonjwa unaoitwa CCM.

Long term strategy ambayo inaweza kuja to capture attention ya kila raia ni kutofanya uchaguzi au kususia uchaguzi kama hakutokuwa na KATIBA ya Warioba hii itaendana sambamba na maandamano ya kudai katiba mpya.

Maandamano ya katiba mpya yatakuwa ni ya wananchi yaliyokuwa mobilized na Chadema. Shida zote za Tanzania pamoja na kupata viongozi kama Samia, the root cause ni Katiba na hii ndio cut off point. Katiba hii ilituletea Magufuli. Kilichotokea kwa Magufuli na kwa sasa Samia, katiba Mpya becames mandatory for the welfare of the country.

On the other hand, ili Chadema mfanikishe hili swala, kuna namna mnatakiwa kujiboresha kwanza nyie ili wananchi wawe na trust kwenu ;

2. CUF ilipakwa matope ya Udini, those days CUF ilikuwa ndio strong party baada ya CCM , it was intimidating, wananchi wakaamini kweli CUF ni udini, ngangari ngangari , wazee wajino kwa jino . Where is Lipumba now?

Chadema mmepakwa matope ya Ukabila, CCM knows better how to analyze the areas of weakness na kuzifanyia kazi.Ni lazima mjisafishe na haya matope kwa gharama yoyote. Otherwise, mbowe na Lisu are getting old and older, they will tired na watapotea just as Lipumba , Seif na CUF yao.

3. Nafasi ya Mwenyekiti na Naibu wake ni lazima iwe na time limit of maximum 10 years na kufanya transition ya hizo nafasi to younger generation, only then , mta develop public trust. May be katiba ya Chadema iwe reviewed na kufanyiwa amendment na addendum.

4. Kufanya makongamano na sensitization ya kutoa elimu kwa Raia umuhimu wa katiba mpya hadi kwenye remote areas, lazima muwe na kitengo maalum cha hii kazi, na kama tatizo ni fund , watu waliokuwa huku majuu tunaweza kufanya mobilization kwa wazungu na wakatoa hela to support hizo activities, only then , mkija ku announce maandamano ya kudai katiba mpya, you will make sense.

4. CUF ilikufa kwa kukosa vijana wenye uwezo, Lipumba alipo zeeka, CUF nayo ikazeeka; Chadema mnatakiwa kutengeneza vijana watakaofanya replacement za mbowe na lissu na wengineo. Mnaweza mkawa mnachukua cream za vyuoni na kuwajengea uwezo hao vijana waje kuwa kina lisu na mbowe wa baadae

Kuitoa CCM bila katiba mpya, it is totally impossible, na CCM wanapoona mnautaka ugali wao , wataulinda kwa kutumia polisi na kusema maneno kama tusiwasikilize wanaotaka kutugawa kisiasq. Kwa CCM, kudai haki yako ni kutaka kugawa watu kisiasa.

Kama kweli Chadema mnaitaka nchi; ni lazima baadhi ya maeneo mkubali kuyafanyia kazi ili mpate kibali cha wananchi. Lakini pia Bila katiba mpya itawalazimu kuwa na hizo reactive strategies za Samia must go ambazo kimsingi output yake ni Zero na inafanya muonekane you people are too personal, for own interest, and public will never support that .

Soma Pia:
Shida kubwa Tanzania hata mtu atetee uhai wa watanzania, watanzania wenyewe watakuwa wanamshangaa tu. Pia hata hivyo Jeshi kinatumia nguvu kubwa mno na maandamano Tanzania ni “haramu”! Hata hivyo CHADEMA wamefikisha ujumbe kwani wamefanikiwa kuonesha umma na jumuiya ya kimataifa kubwa kuna tatizo kubwa la uhuru na demokrasia nchini. Demokrasia ni process na hujengwa juu ya damu za watu.
 
Uliyoandika mbona CDM wamefanya yote?
1. Kususia uchaguzi
2. Kudai katiba mpya
3. Ku recruate kutoka chuoni. N.k

Jipya uliloongea ni kuwa wewe upo majuu unaweza ku support kwa ku mobilize wazungu.
 
IMG_20240922_035102.jpg
IMG_20240922_035041.jpg
 
kweny katiba mpya upo sahih asume rais anachagua mkurugenz anamchagua jaj ambae atamuapisha akishinda anachagua mwenye kit wa tume ya uchaguz then anachagua ma dc ambao wanasmamia uchaguz my self sjawah kupg kula cz najionea km ku west energy ila swala la uenyekit kua mda mwing madarakan mzee labd nkupe faida nyerere ndio mwenye kiti alokaa madarakan ccm kipind kiref dunia nzima pengine aliaza kua mwenyekit mwaka 1957 tanu pak ikabadil jina kwenda ccm mwaka 1967 akaendelea kua mwenyekit wa chama had 1992 almost miaka 38 mboe mbona hat miak 15 ajafkisha
 
Kupitia maandamano, kwamba tumejifunza hatuna jeshi la polisi lenye uwezo wa kudhibiti watu 5Mil tu walioamua kutafuta haki yao.

Ili kufanikisha maandamano ya watu mil 5 tu , ni lazima Chadema mtengeneze main Objective ambayo ndio tatizo kuu la Tanzania na hiyo Objective itamgusa kila mwananchi.

Ninaomba kushauri yafuatayo;

1. Slogan ya Samia Must go was a reactive response and inadequate strategy.

Ili kuboresha hili eneo ni lazima mkae chini na kutengeneza long term na short term strategy za kuikomboa nchi kutoka katika ugonjwa unaoitwa CCM.

Long term strategy ambayo inaweza kuja to capture attention ya kila raia ni kutofanya uchaguzi au kususia uchaguzi kama hakutokuwa na KATIBA ya Warioba hii itaendana sambamba na maandamano ya kudai katiba mpya.

Maandamano ya katiba mpya yatakuwa ni ya wananchi yaliyokuwa mobilized na Chadema. Shida zote za Tanzania pamoja na kupata viongozi kama Samia, the root cause ni Katiba na hii ndio cut off point. Katiba hii ilituletea Magufuli. Kilichotokea kwa Magufuli na kwa sasa Samia, katiba Mpya becames mandatory for the welfare of the country.

On the other hand, ili Chadema mfanikishe hili swala, kuna namna mnatakiwa kujiboresha kwanza nyie ili wananchi wawe na trust kwenu ;

2. CUF ilipakwa matope ya Udini, those days CUF ilikuwa ndio strong party baada ya CCM , it was intimidating, wananchi wakaamini kweli CUF ni udini, ngangari ngangari , wazee wajino kwa jino . Where is Lipumba now?

Chadema mmepakwa matope ya Ukabila, CCM knows better how to analyze the areas of weakness na kuzifanyia kazi.Ni lazima mjisafishe na haya matope kwa gharama yoyote. Otherwise, mbowe na Lisu are getting old and older, they will tired na watapotea just as Lipumba , Seif na CUF yao.

3. Nafasi ya Mwenyekiti na Naibu wake ni lazima iwe na time limit of maximum 10 years na kufanya transition ya hizo nafasi to younger generation, only then , mta develop public trust. May be katiba ya Chadema iwe reviewed na kufanyiwa amendment na addendum.

4. Kufanya makongamano na sensitization ya kutoa elimu kwa Raia umuhimu wa katiba mpya hadi kwenye remote areas, lazima muwe na kitengo maalum cha hii kazi, na kama tatizo ni fund , watu waliokuwa huku majuu tunaweza kufanya mobilization kwa wazungu na wakatoa hela to support hizo activities, only then , mkija ku announce maandamano ya kudai katiba mpya, you will make sense.

4. CUF ilikufa kwa kukosa vijana wenye uwezo, Lipumba alipo zeeka, CUF nayo ikazeeka; Chadema mnatakiwa kutengeneza vijana watakaofanya replacement za mbowe na lissu na wengineo. Mnaweza mkawa mnachukua cream za vyuoni na kuwajengea uwezo hao vijana waje kuwa kina lisu na mbowe wa baadae

Kuitoa CCM bila katiba mpya, it is totally impossible, na CCM wanapoona mnautaka ugali wao , wataulinda kwa kutumia polisi na kusema maneno kama tusiwasikilize wanaotaka kutugawa kisiasq. Kwa CCM, kudai haki yako ni kutaka kugawa watu kisiasa.

Kama kweli Chadema mnaitaka nchi; ni lazima baadhi ya maeneo mkubali kuyafanyia kazi ili mpate kibali cha wananchi. Lakini pia Bila katiba mpya itawalazimu kuwa na hizo reactive strategies za Samia must go ambazo kimsingi output yake ni Zero na inafanya muonekane you people are too personal, for own interest, and public will never support that .

Soma Pia:
Umejaribu kueleza mapungufu ya Chadema lakini core reason hujipata!
1. WATANZANIA TU WAOGA! TUNAOGOPA KUFA!

2. Sasa tufanyeje ili tuache uoga. Ukipata jawabu la hilo swali, then andiko lako utakuwa umelikamilisha by 100%.

3. Issue ya umri, kubadirisha viongozi hayo ni mambo ambayo yanaweza kufanyika baada ya kuwaondoa wananchi woga. Huwezi ku disturb uongozi wa juu katika hali ambayo serikali inatumia billions kuhonga wapinzani! Utaweka akina Mwambe !

4. Msikiliz huyu
 

Attachments

  • KENYATTA.mp4
    3 MB
Police wangekaa pembeni na kulinda maandamano ya CHADEMA am sure ungeona uhalisia mwingi zaidi
Sahihi, lakini Slogan ya Samia must go , was it realistic ?Ule ilileta taswira ya kukosa main objective and was of more chadema agenda na sio public .

The most important thing that we must learn to accept ni Chadema ku focus kwenye Cut off point yaani ile point ambayo ukisolve factor moja unakuwa ume solve problem zote.

It is time now Chadema ianze na long term strategy ya kuweka maandamano ya kudai katiba mpya. Ifahamike kuwa hakuna mwenyekiti wa CCM atakae kuja kuweka katiba mpya unless by push and force .

JK alipojaribu kina Ben walitaka kurudisha kadi na kumsusia chama. Magufuli alisema wazi not my agenda, na yoyote aliyejaribu kudai alitobolewa.Samia nae alisema not her agenda . Hakuna Rais wa CCM atakaepitisha katiba ya warioba , kufanya hivo ni kuondoa maslahi yao, it will never happen

Kuweka maandamano ya aina yoyote bila long term strategy , yaani mnataka kuachive matokeo ya kuitwa ikulu na kupewa bahasha za kaki na mpige story na Rais ? au mnataka kuleta ukombozi ?

Hamuwezi kupata ukombozi bila katiba mpya, that is naked truth .

Tupo tayari ku mobilize fund behind our scenes kwa ajili ya intensive sensitization kwenye public awareness ya kwanini tunataka katiba mpya, baada ya sensitization ndio tuanze kufanya maandamano ya ni lazima tuwe na katiba mpya ndio tufanye uchaguzi. This gesture , haitokuwa ni kwa benefit ya CHADEMA Ila ni kwa public interest ikiwemo CCM na hao mapolisi wenye hali mbaya ya kimaisha with salary of 700K.

90% ya viongozi wa CCM waliopinga katiba mpya wapo mavumbini, na hawana msaada tena. Hivyo tusipokuwa awake, hii cycle will never end till our deaths.

Generation zetu zitaendelea kuugua ugonjwa wa CCM na kutawalia na wahuni till their deaths, generations zetu zitaendelea kubaki kwenye poor quality of life huku failures wa shule kama kina Abdul, Riz na watoto wa viongozi with no history of our country wakitafuna national cake all alone and imposing conditions kwenye maisha yetu.

Nashauri Chadema mjisafishe kwanza na muweke long term strategy. Honestly you will have our support financially na kimawazo. Otherwise mnapigana vita bila ya kujua what is your long term output , CCM itawa outsmart eneo hili. Vita yoyote bila Strategy ya maana, ni kupoteza resources na muda

Police wangekaa pembeni na kulinda maandamano ya CHADEMA am sure ungeona uhalisia mwingi zaidi
 
Sijasoma article yako ila haya yalikuwa maandamonya maombolezo sio cdm..
Mimi nimeyaunga na nimeshiriki ila ni nim'ccm
Huwezi kuwa smart kama huna culture ya kujisomea. Uvivu ni ujinga. Kama unaamini maandamano yale yangeweza kuleta long term effect basi sawa all the best .
 
Wananchi wapewe elimu ya uraia na wakielimika watafanya maamuzi wenyewe. Hata yale yalikuwa maombolezo kuhusu watekaji na wauaji na watuhumiwa kwa mujibu wa Chadema ni vyombo vya Dola na uchunguzi unafanyika kupata ukweli.
 
Back
Top Bottom