Hongera sana kwa ukomavu wa kidemokrasia wanachadema, najiunga rasmi kuwa mwanachama

Garnacho

Member
Jan 11, 2023
13
13
Kwanza nikiri, sikuwahi kuwa mwanachama wa chama chochote Tanzania, nilikuwa tu shabiki wa chama hiki (CHADEMA) lakini nilivunjwa moyo baada ya Hayati Lowassa kupokelewa na kujiunga na chama hiki.

Kitendo hicho kilinikwaza sana nikaamua kubaki neutral coz niliona kama viongozi wa chama ni wasaliti maana miaka yangu yote niliamini LOWASA ni FISADI na hii ilitokana na CHADEMA wenyewe kutuaminisha hivyo Watanzania.

Kwa misimamo ya Mh. Tundu Lissu, naamini chama kitarejea katika misingi yake na mimi natangaza rasmi kuwa mwanachama mwaminifu wa chama hiki. Wiki hii naenda kuchukua rasmi kadi ya uanachama, naombeni wanachadema mnipokee na mnipe ushirikiano!
 
20250125_222101.jpg
 
Kwanza nikiri, sikuwahi kuwa mwanachama wa chama chochote Tanzania, nilikuwa tu shabiki wa chama hiki (CHADEMA) lakini nilivunjwa moyo baada ya Hayati Lowassa kupokelewa na kujiunga na chama hiki.

Kitendo hicho kilinikwaza sana nikaamua kubaki neutral coz niliona kama viongozi wa chama ni wasaliti maana miaka yangu yote niliamini LOWASA ni FISADI na hii ilitokana na CHADEMA wenyewe kutuaminisha hivyo Watanzania.

Kwa misimamo ya Mh. Tundu Lissu, naamini chama kitarejea katika misingi yake na mimi natangaza rasmi kuwa mwanachama mwaminifu wa chama hiki. Wiki hii naenda kuchukua rasmi kadi ya uanachama, naombeni wanachadema mnipokee na mnipe ushirikiano!

View: https://www.instagram.com/p/DFSQVJktKNH/?img_index=1&igsh=OTh1dnczOHMxZzl1
 
Back
Top Bottom