Hongera kwa Senegal imeanza kuzalisha mafuta June 11, 2024

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Jul 7, 2020
6,885
9,272
Rais wa Senegal, Bassirou Faye amesema faida itakayotokana na mauzo ya mafuta na gesi "itasimamiwa vyema" wakati taifa hilo la Afrika Magharibi likianza kuzalisha mafuta kwa mara ya kwanza.

Kampuni kubwa ya nishati ya Australia ya Woodside imeelezea uzalishaji huo kama "siku ya kihistoria" na "hatuamuhimu" kwa kampuni hiyo na taifa la Senegal.

Mradi huo ulio kwenye kina cha maji cha Sangomar katika Bahari ya Atlantic ambako pia kuna gesi asilia, unalenga kuzalisha mapipa 100,000 ya mafuta kwa siku.

Ni mradi unaotarajia kuzalisha mabilioni ya dola kwa Senegal na kuchangia kwa kiwango kikubwa kukuza uchumi wake.

Thierno Ly, meneja mkuu wa Kampuni ya Taifa ya Mafuta ya Petrosen, amesema taifa limeingia katika "zama mpya" kutokana na uzalishaji huo ulioanza rasmi jana Jumanne (Juni 11,2024).

"Hatujawahi kuwa katika nafasi nzuri hivi ya kupata fursa za ukuaji, ubunifu na mafanikio katika maendeleo ya kiuchumi na kijamii ya taifa letu," amesema.

Petrosen ina hisa ya asilimia 18 tu katika mradi huo wakati Woodside inamiliki asilimia zilizobaki.

Rais Faye ambaye alichaguliwa kuongeza nchi hiyo mwezi Aprili, amekuwa na nia ya kujadili upya mkataba huo kamasehemu ya mageuzi aliyoahidi wakati wa kampeni zauchaguzi.
 
Haya mambo yanakanganya sana; mwelekeo wa dunia kwa sasa si EV? Mafuta ya nini?
EV inategemea umeme. Umeme unazalishwa kwa kutumia maji, gesi, mafuta, jua, upepo, joto ardhi na vyanzo vingine.

Hivyo kuna uwezekano mkubwa mafuta yakaendelea kutumika kama chanzo cha kuzalisha umeme hata pale ambapo EV itakua imetawala.

Uzuri ni kwamba tukitumia mafuta kama chanzo cha kuzalisha umeme ile carbon dioxide tunayopambana nayo tutakua na uwezo wa kuikusanya kwenye kiwanda cha kuzalisha umeme kisha tunaizuia isiingie kwenye anga.
 
Rais wa Senegal, Bassirou Faye amesema faida itakayotokana na mauzo ya mafuta na gesi "itasimamiwa vyema" wakati taifa hilo la Afrika Magharibi likianza kuzalisha mafuta kwa mara ya kwanza.

Kampuni kubwa ya nishati ya Australia ya Woodside imeelezea uzalishaji huo kama "siku ya kihistoria" na "hatuamuhimu" kwa kampuni hiyo na taifa la Senegal.

Mradi huo ulio kwenye kina cha maji cha Sangomar katika Bahari ya Atlantic ambako pia kuna gesi asilia, unalenga kuzalisha mapipa 100,000 ya mafuta kwa siku.

Ni mradi unaotarajia kuzalisha mabilioni ya dola kwa Senegal na kuchangia kwa kiwango kikubwa kukuza uchumi wake.

Thierno Ly, meneja mkuu wa Kampuni ya Taifa ya Mafuta ya Petrosen, amesema taifa limeingia katika "zama mpya" kutokana na uzalishaji huo ulioanza rasmi jana Jumanne (Juni 11,2024).

"Hatujawahi kuwa katika nafasi nzuri hivi ya kupata fursa za ukuaji, ubunifu na mafanikio katika maendeleo ya kiuchumi na kijamii ya taifa letu," amesema.

Petrosen ina hisa ya asilimia 18 tu katika mradi huo wakati Woodside inamiliki asilimia zilizobaki.

Rais Faye ambaye alichaguliwa kuongeza nchi hiyo mwezi Aprili, amekuwa na nia ya kujadili upya mkataba huo kamasehemu ya mageuzi aliyoahidi wakati wa kampeni zauchaguzi.
Wale mnaosemaga Tanzania ni Tajiri Kiko wapi? Hao ndio Matajiri Sasa sio tuu wa Mafuta Bali Wana gas ya kumwaga.

Vipi kale kamradi kenu la LNG karibu wawekezaji wakimbie kutokanna na beuracracy za kijamaa na ujinga mwingi Sasa sijui mtajengaje au mtamgawia Russia?

Mwisho Tanzania isipoacha ujinga wa kuwaona wawekezaji ni wezi itasalia tunazaana Kwa Wingi na tunakufa kwenye rundo la umaskini,huko Senegal wanaozalisha hapo ni Wawekezaji.
 
Sisi tunazalisha chawa na vyura!
Onhezea na wale punguani wasio na solution wao Toka wanazaliwa Hadi wamezeeka Sasa wanaelekea Kufa walichofanya over the entire time ni kupinga maendeleo na kutumika na mabeberu,they offer neither solution nor alternative 😂😂

Hopeless and useless opposition
 
Rais wa Senegal, Bassirou Faye amesema faida itakayotokana na mauzo ya mafuta na gesi "itasimamiwa vyema" wakati taifa hilo la Afrika Magharibi likianza kuzalisha mafuta kwa mara ya kwanza.

Kampuni kubwa ya nishati ya Australia ya Woodside imeelezea uzalishaji huo kama "siku ya kihistoria" na "hatuamuhimu" kwa kampuni hiyo na taifa la Senegal.

Mradi huo ulio kwenye kina cha maji cha Sangomar katika Bahari ya Atlantic ambako pia kuna gesi asilia, unalenga kuzalisha mapipa 100,000 ya mafuta kwa siku.

Ni mradi unaotarajia kuzalisha mabilioni ya dola kwa Senegal na kuchangia kwa kiwango kikubwa kukuza uchumi wake.

Thierno Ly, meneja mkuu wa Kampuni ya Taifa ya Mafuta ya Petrosen, amesema taifa limeingia katika "zama mpya" kutokana na uzalishaji huo ulioanza rasmi jana Jumanne (Juni 11,2024).

"Hatujawahi kuwa katika nafasi nzuri hivi ya kupata fursa za ukuaji, ubunifu na mafanikio katika maendeleo ya kiuchumi na kijamii ya taifa letu," amesema.

Petrosen ina hisa ya asilimia 18 tu katika mradi huo wakati Woodside inamiliki asilimia zilizobaki.

Rais Faye ambaye alichaguliwa kuongeza nchi hiyo mwezi Aprili, amekuwa na nia ya kujadili upya mkataba huo kamasehemu ya mageuzi aliyoahidi wakati wa kampeni zauchaguzi.
Hakuna Cha hongera Wala nini, hao wanamikataba ya unyonyaji na ufaransa hivyo tegemea mnufaika mkubwa wa raslimali na mikataba yote wanayoingia hao Francophones ni mfaransa, Kwani hawana hata Benki kuu na badala yake fedha zote Huwa channelled kupitia ufaransa.
 
Rais wa Senegal, Bassirou Faye amesema faida itakayotokana na mauzo ya mafuta na gesi "itasimamiwa vyema" wakati taifa hilo la Afrika Magharibi likianza kuzalisha mafuta kwa mara ya kwanza.

Kampuni kubwa ya nishati ya Australia ya Woodside imeelezea uzalishaji huo kama "siku ya kihistoria" na "hatuamuhimu" kwa kampuni hiyo na taifa la Senegal.

Mradi huo ulio kwenye kina cha maji cha Sangomar katika Bahari ya Atlantic ambako pia kuna gesi asilia, unalenga kuzalisha mapipa 100,000 ya mafuta kwa siku.

Ni mradi unaotarajia kuzalisha mabilioni ya dola kwa Senegal na kuchangia kwa kiwango kikubwa kukuza uchumi wake.

Thierno Ly, meneja mkuu wa Kampuni ya Taifa ya Mafuta ya Petrosen, amesema taifa limeingia katika "zama mpya" kutokana na uzalishaji huo ulioanza rasmi jana Jumanne (Juni 11,2024).

"Hatujawahi kuwa katika nafasi nzuri hivi ya kupata fursa za ukuaji, ubunifu na mafanikio katika maendeleo ya kiuchumi na kijamii ya taifa letu," amesema.

Petrosen ina hisa ya asilimia 18 tu katika mradi huo wakati Woodside inamiliki asilimia zilizobaki.

Rais Faye ambaye alichaguliwa kuongeza nchi hiyo mwezi Aprili, amekuwa na nia ya kujadili upya mkataba huo kamasehemu ya mageuzi aliyoahidi wakati wa kampeni zauchaguzi.
The guy look likes yupo serious na nchi yake, tz huwa inafeli wapi?
 
Wale mnaosemaga Tanzania ni Tajiri Kiko wapi? Hao ndio Matajiri Sasa sio tuu wa Mafuta Bali Wana gas ya kumwaga.

Vipi kale kamradi kenu la LNG karibu wawekezaji wakimbie kutokanna na beuracracy za kijamaa na ujinga mwingi Sasa sijui mtajengaje au mtamgawia Russia?

Mwisho Tanzania isipoacha ujinga wa kuwaona wawekezaji ni wezi itasalia tunazaana Kwa Wingi na tunakufa kwenye rundo la umaskini,huko Senegal wanaozalisha hapo ni Wawekezaji.
Si stone na sir hundred ndiyo walioacha ule mradi, na wawekezaji itakuwa wamezira
 
Back
Top Bottom