Hizi ni Roho hai zinapotea huko Oman na sababu za kupoteza hazijulikani zaidi ya ndugu kuletewa mwili kuzika!

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Feb 6, 2017
25,659
78,274
Nikushauri hapa Enyi Serikali hivi vifo visivyoeleweka vya Watanzania wenzetu huko Nje ya Nchi, Muwe mnavifatilia, kila Nafsi ya Mtanzania iwe yenye thamani

Basi ikishindikana, tutumie Ujomba na Ushangazi basi.

Hizi ni Roho hai zinapotea, na sababu za kupoteza hazijulikani, zaidi ya ndugu kuletewa mwili kuzika tu.

Kwa Serikali madhubuti, makini, inayowajibikia Maisha ya Watanzania ya kila mmoja mmoja, haiwezi kukubali ujinga huo!

Yaani kwanini Watanzania ndio wafe huko kwao kwa vifo visivyoeleweka? Hapa Bongo hamna wa Oman?

Hii nchi huwa ina uajabu sana, akifa mgeni kwa mazingira yasoeleweka, Uchunguzi utafanyika weeeeeeee, kusumbua wananchi weeeeee mpaka basi. Ila Mtanzania akifia nje kifo kisichoeleweka, hutosikia Serikali inajisumbua!

Hili linaweza likakushangaza ila ndio Nchi ilivyo, wanyama wanajaliwa kuliko Wananchi!

Baada ya haya yooote, anapatikana kijana mmoja mjinga mjinga, maarufu, anazunguka Tanzania kuwaambia "Mitano tenaaa"!
 
Nikushauri hapa Enyi Serikali hivi vifo visivyoeleweka vya Watanzania wenzetu huko Nje ya Nchi, Muwe mnavifatilia, kila Nafsi ya Mtanzania iwe yenye thamani

Basi ikishindikana, tutumie Ujomba na Ushangazi basi .

Hizi ni Roho hai zinapotea, na sababu za kupoteza hazijulikan, zaidi ya Ndugu kuletewa Mwili kuzika tu.

Kwa Serikali madhubuti, makini, inayowajibikia Maisha ya watanzania ya Kila Mmoja Mmoja, Haiwezi kukubali Ujinga Huo !!.

Yaan kwann Watanzania ndio wafe huko kwao Kwa vifo visivyoeleweka ? Hapa Bongo hamna Wa Oman?

Hii Nchi Huwa Ina uajabu sana , Akifa Mgeni Kwa mazingira yasoeleweka, Uchunguzi utafanyika weeeeeeee kusumbua wananchi weeeeee mpaka basi.

Ila Mtanzania akifia Nje ,Kifo kisichoeleweka, hutosikia Serikali inajisumbua !!.


Hili linaweza likakushangaza , ila ndo Nchi Wanyama wanajaliwa kuliko Wananchi.


Baada ya haya yooote, Anapatikana Kijana Mmoja mjinga mjinga, maarufu, anazunguka Tanzania kuwaambia "Mitano tenaaa".
Hiyo inahusiàna nini na "mitano Tena"?

Au una lako jambo?
 
Nikushauri hapa Enyi Serikali hivi vifo visivyoeleweka vya Watanzania wenzetu huko Nje ya Nchi, Muwe mnavifatilia, kila Nafsi ya Mtanzania iwe yenye thamani

Basi ikishindikana, tutumie Ujomba na Ushangazi basi .

Hizi ni Roho hai zinapotea, na sababu za kupoteza hazijulikan, zaidi ya Ndugu kuletewa Mwili kuzika tu.

Kwa Serikali madhubuti, makini, inayowajibikia Maisha ya watanzania ya Kila Mmoja Mmoja, Haiwezi kukubali Ujinga Huo !!.

Yaan kwann Watanzania ndio wafe huko kwao Kwa vifo visivyoeleweka ? Hapa Bongo hamna Wa Oman?

Hii Nchi Huwa Ina uajabu sana , Akifa Mgeni Kwa mazingira yasoeleweka, Uchunguzi utafanyika weeeeeeee kusumbua wananchi weeeeee mpaka basi.

Ila Mtanzania akifia Nje ,Kifo kisichoeleweka, hutosikia Serikali inajisumbua !!.


Hili linaweza likakushangaza , ila ndo Nchi Wanyama wanajaliwa kuliko Wananchi.


Baada ya haya yooote, Anapatikana Kijana Mmoja mjinga mjinga, maarufu, anazunguka Tanzania kuwaambia "Mitano tenaaa".
Sasa samia ndio kapeleka m tu Oman?

Cant you even have a little brain to realize kwamba nikienda Oman sijapelekwa na samia?

Post nzuuuuri Umeinajisi na very wrong target

Mambaaafff wahed
 
Nikushauri hapa Enyi Serikali hivi vifo visivyoeleweka vya Watanzania wenzetu huko Nje ya Nchi, Muwe mnavifatilia, kila Nafsi ya Mtanzania iwe yenye thamani

Basi ikishindikana, tutumie Ujomba na Ushangazi basi .

Hizi ni Roho hai zinapotea, na sababu za kupoteza hazijulikan, zaidi ya Ndugu kuletewa Mwili kuzika tu.

Kwa Serikali madhubuti, makini, inayowajibikia Maisha ya watanzania ya Kila Mmoja Mmoja, Haiwezi kukubali Ujinga Huo !!.

Yaan kwann Watanzania ndio wafe huko kwao Kwa vifo visivyoeleweka ? Hapa Bongo hamna Wa Oman?

Hii Nchi Huwa Ina uajabu sana , Akifa Mgeni Kwa mazingira yasoeleweka, Uchunguzi utafanyika weeeeeeee kusumbua wananchi weeeeee mpaka basi.

Ila Mtanzania akifia Nje ,Kifo kisichoeleweka, hutosikia Serikali inajisumbua !!.


Hili linaweza likakushangaza , ila ndo Nchi Wanyama wanajaliwa kuliko Wananchi.


Baada ya haya yooote, Anapatikana Kijana Mmoja mjinga mjinga, maarufu, anazunguka Tanzania kuwaambia "Mitano tenaaa".
Inasikitisha ila pia tungesikia upande wa pili.
 
Hii nchi mgeni ana thamani kuliko mwenyeji.
Nikushauri hapa Enyi Serikali hivi vifo visivyoeleweka vya Watanzania wenzetu huko Nje ya Nchi, Muwe mnavifatilia, kila Nafsi ya Mtanzania iwe yenye thamani

Basi ikishindikana, tutumie Ujomba na Ushangazi basi .

Hizi ni Roho hai zinapotea, na sababu za kupoteza hazijulikan, zaidi ya Ndugu kuletewa Mwili kuzika tu.

Kwa Serikali madhubuti, makini, inayowajibikia Maisha ya watanzania ya Kila Mmoja Mmoja, Haiwezi kukubali Ujinga Huo !!.

Yaan kwann Watanzania ndio wafe huko kwao Kwa vifo visivyoeleweka ? Hapa Bongo hamna Wa Oman?

Hii Nchi Huwa Ina uajabu sana , Akifa Mgeni Kwa mazingira yasoeleweka, Uchunguzi utafanyika weeeeeeee kusumbua wananchi weeeeee mpaka basi.

Ila Mtanzania akifia Nje ,Kifo kisichoeleweka, hutosikia Serikali inajisumbua !!.


Hili linaweza likakushangaza , ila ndo Nchi Wanyama wanajaliwa kuliko Wananchi.


Baada ya haya yooote, Anapatikana Kijana Mmoja mjinga mjinga, maarufu, anazunguka Tanzania kuwaambia "Mitano tenaaa".
 
Sasa samia ndio kapeleka m tu Oman?

Cant you even have a little brain to realize kwamba nikienda Oman sijapelekwa na samia?

Post nzuuuuri Umeinajisi na very wrong target

Mambaaafff wahed

Una akili sana brother maana rais wako anahusika na watanzania walio ndani ya nchi pekee na walioenda huko nje watajijua wenyewe.

Kwanza tunaweka balozi za nini kwenye hizo nchi wakati watanzania wenye haki za utanzania ni wale waliopo ndani ya Tanzania.

Hivyo balozi zetu ni useless, Si ni kheri tuzifute tu..

Hongera sana nimependa comment yako maana ni reflection halisi ya "akili kubwa" uliyonayo
 
Shida ya watanzania wengi wao huamini bila kufanya research, hata uongo na uzushi wataamini tu

Kazi kukaa mitandaoni na kuwasema na kuwazushia waarabu tu, wayahudi weusi mna tabu sana.
 
Shida ya watanzania wengi wao huamini bila kufanya research, hata uongo na uzushi wataamini tu

Kazi kukaa mitandaoni na kuwasema na kuwazushia waarabu tu, wayahudi weusi mna tabu sana.
Vitu kama hivi ndio vinafanya Mtu mweusi anaonekana fala dunia nzima.

Umeongea kuhusu research badala yake hujaambatanisha taarifa ya kupinga umeishia kuleta habari za waarabu na wayudi.

Mtu mweusi akimtetea mweusi mwenzake anayenyanyaswa na Mwarabu anatokea mweusi mwingine anamuita Myaudi. Na usikute nikimtetea Mtu mweusi anayetendewa vibaya na Myaudi utaniita Mwarabu sio.

Wazee hizi shindo zetu zinafanya kazi kubwa sana kubeba vichwa vyetu basi angalau kuonesha tunajali tusiwe tunaandika shudu kama hizi.

No Offence.
 
Una akili sana brother maana rais wako anahusika na watanzania walio ndani ya nchi pekee na walioenda huko nje watajijua wenyewe.

Kwanza tunaweka balozi za nini kwenye hizo nchi wakati watanzania wenye haki za utanzania ni wale waliopo ndani ya Tanzania.

Hivyo balozi zetu ni useless, Si ni kheri tuzifute tu..

Hongera sana nimependa comment yako maana ni reflection halisi ya "akili kubwa" uliyonayo
90% ya decisions tunazo Fanya kila Siku hazihusiani na chama wala serikali

If you accept that…. Tutakua pazuri

Hongera Kwa kuwa na akili zaidi
 
Nikushauri hapa Enyi Serikali hivi vifo visivyoeleweka vya Watanzania wenzetu huko Nje ya Nchi, Muwe mnavifatilia, kila Nafsi ya Mtanzania iwe yenye thamani

Basi ikishindikana, tutumie Ujomba na Ushangazi basi .

Hizi ni Roho hai zinapotea, na sababu za kupoteza hazijulikan, zaidi ya Ndugu kuletewa Mwili kuzika tu.

Kwa Serikali madhubuti, makini, inayowajibikia Maisha ya watanzania ya Kila Mmoja Mmoja, Haiwezi kukubali Ujinga Huo !!.

Yaan kwann Watanzania ndio wafe huko kwao Kwa vifo visivyoeleweka ? Hapa Bongo hamna Wa Oman?

Hii Nchi Huwa Ina uajabu sana , Akifa Mgeni Kwa mazingira yasoeleweka, Uchunguzi utafanyika weeeeeeee kusumbua wananchi weeeeee mpaka basi.

Ila Mtanzania akifia Nje ,Kifo kisichoeleweka, hutosikia Serikali inajisumbua !!.


Hili linaweza likakushangaza , ila ndo Nchi Wanyama wanajaliwa kuliko Wananchi.


Baada ya haya yooote, Anapatikana Kijana Mmoja mjinga mjinga, maarufu, anazunguka Tanzania kuwaambia "Mitano tenaaa".
Hueleweki Bro! Mama anaweza mitano tena
 
Nikushauri hapa Enyi Serikali hivi vifo visivyoeleweka vya Watanzania wenzetu huko Nje ya Nchi, Muwe mnavifatilia, kila Nafsi ya Mtanzania iwe yenye thamani

Basi ikishindikana, tutumie Ujomba na Ushangazi basi .

Hizi ni Roho hai zinapotea, na sababu za kupoteza hazijulikan, zaidi ya Ndugu kuletewa Mwili kuzika tu.

Kwa Serikali madhubuti, makini, inayowajibikia Maisha ya watanzania ya Kila Mmoja Mmoja, Haiwezi kukubali Ujinga Huo !!.

Yaan kwann Watanzania ndio wafe huko kwao Kwa vifo visivyoeleweka ? Hapa Bongo hamna Wa Oman?

Hii Nchi Huwa Ina uajabu sana , Akifa Mgeni Kwa mazingira yasoeleweka, Uchunguzi utafanyika weeeeeeee kusumbua wananchi weeeeee mpaka basi.

Ila Mtanzania akifia Nje ,Kifo kisichoeleweka, hutosikia Serikali inajisumbua !!.


Hili linaweza likakushangaza , ila ndo Nchi Wanyama wanajaliwa kuliko Wananchi.


Baada ya haya yooote, Anapatikana Kijana Mmoja mjinga mjinga, maarufu, anazunguka Tanzania kuwaambia "Mitano tenaaa".
Hii nchi ina ujinga wa hajabu sana, wanaona Mtanzania akifia Uarabuni anastahili hicho kifo kwa saabu kafia nchi ya Kiarab, ukweli ni kwamba Watanzania wanaokwenda kufanya kazi za ndani wanateseka sana kule Uarabuni, Mwarab si mtu hata kidogo....nawashangaa Watanzania kuwasujudu. Wale ni wanyama toka enzi za Muddy na wanafahamika, hawawezi kubadilika hata iweje. Hii serikali ingekuwa makini ingekataza mara moja wananchi wake kwenda kufanya kazi za utumwa Uarabuni lakini wapi.
 
Back
Top Bottom