Mi nilifuata barua kwa balozi wa nyumba 10 kwa ajili ya utambulisho, aisee yule mzee alinisimanga, nikataka niondoke nikasema ngoja nivumilie tu
Mzee ananihoji kwanza nimehamia lini kwenye "mtaa wake"
Akadai nilitakiwa kwenda kujitambulisha kwake siku ya kwanza nilipohamia pale nimuonyeshe na mkataba wangu na mwenye nyumba
Kishq ananiambia hana muda, nikipenda nisubiri, huku anapiga story za umbea na majirani zake