mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,735
Katika mambo yao ya Kila siku kwa ujumla.Misimamo ipi? Kujiamini vipi?
Kweli mkuu, Kuna vuguvugu mahali flani la kujaribu kudai haki ambazo zingeleta tija kwa Kila muhusika ambao sample space inajumuisha watu wa Makabila yote lakn wengine wanayumbayumba na kubadilikabadilika Kila kukicha. Walio mstari wa mbele automatically wamejikuta ni watu wa Makabila kama matatu Kati ya hayo. Hakuna aliyewatenga nature imewatenga kama mafuta na maji. Niiajifunza kitumimi sitoki ktk hizo jamii zilotajwa na mleta mda.
ila sio siri,kuna ukweli ndani yake,na siku zote ukweli unauma.
Hawa bado wako kwenye probation. Ingekuwa football hawaingii first eleven wanakaa bench kama subUmesahau mnyakyusa
List haijapangwa chronologically.Hiyo namba 5 kwanini isiiweke namba moja 1 mkuu!
Sawa mkuu, nilikuwa namaanisha species za eneo hiloKwa hiyo makabila yote yaliyobaki ni midebwedo? Halafu hakuna kabila linaloitwa Waarusha hii ni sawa na kusema Wakigoma, Wabukoba n.k.
Nimekupata mkuuList haijapangwa chronogically.
Ila sijawahi kumuona mkurya mnafiki. Ni watu wazuri kujenga nao urafiki, kama anakupenda kakupenda kama hakukubali hakukubali wengi hawana uvuguvuvugu. Haya mambo ya utafiti uchwara katika kuchangamana na watanganyika wenzetu maana zanzibar nasikia huu ujanjaujanja wa Makabila haupo...
Unawezaje kuandika mada kama hii, wakati makabila yote hayo yalitawaliwa na wazungu.Katika pitapita na kuchangamana na watanganyika, utafiti uchwara (usio rasmi), haya ndio Makabila au Jamii za watu wenye misimamo na wanaojiamini....
1:wajaluo
2:wachaga
3:waarusha /wairaq/wamasai
4:Wajita
5:wakurya kwa aina zao
6:wahaya niliwasahau nao wako vzr
Hatuwezi kukwepa kuzungumzia Makabila yetu maana yapo na kuzungumzia sio ukabila Bali ni kuongeza utambuzi ktk kuchangamana kwetu kwenye mambo mbalimbali ya kijamii.
Post-colonialism social experienceUnawezaje kuandika mada kama hii, wakati makabila yote hayo yalitawaliwa na wazungu.
Ahahahaaa ulikuwa unawaza nini mbona umesahau kabila moja lenye sifa unazowaza kuliko hayo na inabidi liwe juu,,,,, ni wahehe wanaongoza nasema kweli mi si mhehe ila ninaishi huku,,,, ni watu wakarimu na wenye nidhamu kweli,,,,, ila ni watu wanaojiamini sana na wenye ujasiri sana,,,, makabila mengine wataongeza wengineKatika pitapita na kuchangamana na watanganyika, utafiti uchwara (usio rasmi), haya ndio Makabila au Jamii za watu wenye misimamo na wanaojiamini....
1:wajaluo
2:wachaga
3:waarusha /wairaq/wamasai
4:Wajita
5:wakurya kwa aina zao
6:wahaya niliwasahau nao wako vzr
Hatuwezi kukwepa kuzungumzia Makabila yetu maana yapo na kuzungumzia sio ukabila Bali ni kuongeza utambuzi ktk kuchangamana kwetu kwenye mambo mbalimbali ya kijamii.
Hii comment yako mkuu nimeelewa unamaanisha nini lakini naomba nishangae kuwa Kumbe mtu anaweza kubadilishwa tabia ama malengo yake ukiamua kuyumba ama mazingira ama akiamua kutaka kupata kitu fulani.Kweli mkuu, Kuna vuguvugu mahali flani la kujaribu kudai haki ambazo zingeleta tija kwa Kila muhusika ambao sample space inajumuisha watu wa Makabila yote lakn wengine wanayumbayumba na kubadilikabadilika Kila kukicha. Walio mstari wa mbele automatically wamejikuta ni watu wa Makabila kama matatu Kati ya hayo. Hakuna aliyewatenga nature imewatenga kama mafuta na maji. Niiajifunza kitu
Hakuna kitu kama hicho kila sehemu yupo mnyakyusa, mbona ww kabila lenu Hakuna mtu amewahi kuwa BALOZIHawa bado wako kwenye probation. Ingekuwa football hawaingii first eleven wanakaa bench kama sub
Mkuu umesahau namba 7 hapo huwaweka WAHEHE hawa watu wanajiamini sana na wan misimamo ya kweli. Mm naona utafiti wako hauta leta maana kama hili kabila hujaliweka hapo kama unakumbuka historia mtwa MKWAWA alicho wafanya wajerumani na licha ya kushindwa vita baadae hakukubali ngozi nyeupe iguse mwili wake akaamua kwenda KUJIMALIZA mwenyewe. Na hivi ndivyo walivyo wahehe... Heb mwambie mods akurekebishie hapo uongeze namba 7.waheheKatika pitapita na kuchangamana na watanganyika, utafiti uchwara (usio rasmi), haya ndio Makabila au Jamii za watu wenye misimamo na wanaojiamini....
1:wajaluo
2:wachaga
3:waarusha /wairaq/wamasai
4:Wajita
5:wakurya kwa aina zao
6:wahaya niliwasahau nao wako vzr
Hatuwezi kukwepa kuzungumzia Makabila yetu maana yapo na kuzungumzia sio ukabila Bali ni kuongeza utambuzi ktk kuchangamana kwetu kwenye mambo mbalimbali ya kijamii.