Hizbullah waanza kuzipiga ndege za Israel

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
8,589
13,673
Kwa mara ya mwanzo vikosi vya Hizbullah nchini Lebanon vimetoa tangazo la kuzirushia makombora ndege za kivita za Israel na kuzilazimisha kurudi zilikotoka.

Kufuatana na taarifa ya aljazeera makombora ya kusaka ndege kutoka ardhini kwenda hewani yametumika kuzilenga ndege hizo ikiwa ni siku moja tu baada ya kamanda mkubwa wa Hizbullah kufa kutokana na shambulia la Israel.

Katika historia ya vita baina ya Israel na Lebanon vikiongozwa na Hizbullah,kundi hilo limewahi kuvipiga vifaru kadhaa vya Israel na mwaka huu kuzidungua droni kadhaa za Israel.Hata hivyo bado hawajahi kuiangusha ndege ya kivita ya adui yao.

Kuzipiga ndege za kivita ambazo huruka kwa kasi kubwa na uwezo wake wa kuruka mbali angani ni jambo linalohitaji kumiliki silaha bora kwa ajili ya shughuli hiyo..Ukossefu wa silaha za aina hiyo kwa upande wa Gaza ndiko kulikopelekea watu wengi kufa na majumba kubomolewa bila kizuizi.

Kwa vyovyote vile vita vya muda mrefu baina ya Israel na majirani zake kutapelekea kila mmoja kutafuta silaha zinazoendana na uadui wanaofanyiwa na taifa hilo.
 
Kwa mara ya mwanzo vikosi vya Hizbullah nchini Lebanon vimetoa tangazo la kuzirushia makombora ndege za kivita za Israel na kuzilazimisha kurudi zilikotoka.

Kufuatana na taarifa ya aljazeera makombora ya kusaka ndege kutoka ardhini kwenda hewani yametumika kuzilenga ndege hizo ikiwa ni siku moja tu baada ya kamanda mkubwa wa Hizbullah kufa kutokana na shambulia la Israel.

Katika historia ya vita baina ya Israel na Lebanon vikiongozwa na Hizbullah,kundi hilo limewahi kuvipiga vifaru kadhaa vya Israel na mwaka huu kuzidungua droni kadhaa za Israel.Hata hivyo bado hawajahi kuiangusha ndege ya kivita ya adui yao.

Kuzipiga ndege za kivita ambazo huruka kwa kasi kubwa na uwezo wake wa kuruka mbali angani ni jambo linalohitaji kumiliki silaha bora kwa ajili ya shughuli hiyo..Ukossefu wa silaha za aina hiyo kwa upande wa Gaza ndiko kulikopelekea watu wengi kufa na majumba kubomolewa bila kizuizi.

Kwa vyovyote vile vita vya muda mrefu baina ya Israel na majirani zake kutapelekea kila mmoja kutafuta silaha zinazoendana na uadui wanaofanyiwa na taifa hilo.
20240613_003959.jpg
 
Kwa mara ya mwanzo vikosi vya Hizbullah nchini Lebanon vimetoa tangazo la kuzirushia makombora ndege za kivita za Israel na kuzilazimisha kurudi zilikotoka.

Kufuatana na taarifa ya aljazeera makombora ya kusaka ndege kutoka ardhini kwenda hewani yametumika kuzilenga ndege hizo ikiwa ni siku moja tu baada ya kamanda mkubwa wa Hizbullah kufa kutokana na shambulia la Israel.

Katika historia ya vita baina ya Israel na Lebanon vikiongozwa na Hizbullah,kundi hilo limewahi kuvipiga vifaru kadhaa vya Israel na mwaka huu kuzidungua droni kadhaa za Israel.Hata hivyo bado hawajahi kuiangusha ndege ya kivita ya adui yao.

Kuzipiga ndege za kivita ambazo huruka kwa kasi kubwa na uwezo wake wa kuruka mbali angani ni jambo linalohitaji kumiliki silaha bora kwa ajili ya shughuli hiyo..Ukossefu wa silaha za aina hiyo kwa upande wa Gaza ndiko kulikopelekea watu wengi kufa na majumba kubomolewa bila kizuizi.

Kwa vyovyote vile vita vya muda mrefu baina ya Israel na majirani zake kutapelekea kila mmoja kutafuta silaha zinazoendana na uadui wanaofanyiwa na taifa hilo.
Mbona huleti taarifa viongozi 4 wa hezbollah wameuawa na mashambulizi ya israel kujibu uhuni wa hezbollah kuirushia rushia israel maroketi
 
Mbona huleti taarifa viongozi 4 wa hezbollah wameuawa na mashambulizi ya israel kujibu uhuni wa hezbollah kuirushia rushia israel maroketi
Umesema 4 tu.Wameshauliwa wengi lakini mbona mvua ya makombora ndio inaongezeka.Ina maana Israel hawajatatua tatizo kwa kuua makamanda wa Hizbullah.
 
Kama lilivyo tendo la mapadri kufukua mitara ya waumini wao ni tendo takatifu Kwa wakristo
Huyo usihangaike nae mkuu.
Huyo habari isipompendeza huwa anaona ni ya uongo.
Huyo hadi UN na AMNESTY anawapinga kisa wanatoa habari hazipendi.
 
Umesema 4 tu.Wameshauliwa wengi lakini mbona mvua ya makombora ndio inaongezeka.Ina maana Israel hawajatatua tatizo kwa kuua makamanda wa Hizbullah.
Mvua zenyewe za makombora hazileti madhara ila mvua za israel zinaondoka na wapiganaji wa Allah
 
Kwa mara ya mwanzo vikosi vya Hizbullah nchini Lebanon vimetoa tangazo la kuzirushia makombora ndege za kivita za Israel na kuzilazimisha kurudi zilikotoka.

Kufuatana na taarifa ya aljazeera makombora ya kusaka ndege kutoka ardhini kwenda hewani yametumika kuzilenga ndege hizo ikiwa ni siku moja tu baada ya kamanda mkubwa wa Hizbullah kufa kutokana na shambulia la Israel.

Katika historia ya vita baina ya Israel na Lebanon vikiongozwa na Hizbullah,kundi hilo limewahi kuvipiga vifaru kadhaa vya Israel na mwaka huu kuzidungua droni kadhaa za Israel.Hata hivyo bado hawajahi kuiangusha ndege ya kivita ya adui yao.

Kuzipiga ndege za kivita ambazo huruka kwa kasi kubwa na uwezo wake wa kuruka mbali angani ni jambo linalohitaji kumiliki silaha bora kwa ajili ya shughuli hiyo..Ukossefu wa silaha za aina hiyo kwa upande wa Gaza ndiko kulikopelekea watu wengi kufa na majumba kubomolewa bila kizuizi.

Kwa vyovyote vile vita vya muda mrefu baina ya Israel na majirani zake kutapelekea kila mmoja kutafuta silaha zinazoendana na uadui wanaofanyiwa na taifa hilo.
Weka na link basi
 
Back
Top Bottom