Hivi wakihubiri kwa kuchanganya Kiswahili na Kingereza ndio neno linaingia zaidi?

hsnaturalfertility

JF-Expert Member
May 14, 2022
386
955
Imezuka tabia ya wahubiri vijana kuhubiri kwa kuchanganya kiswahili na kingereza (broken English) na tabia hii mimi binafsi inanifikirisha sana.

Kiufupi nikishajua muhubiri huyu ni mchanganyaji wa lugha huwa siwezi kumsikiliza hata nusu dakika. Sijui ndio ujanja au ndio waumini wanaelewa zaidi sijaelewa.

Ukweli ni kwamba mnaboa. Afadhali makanisa yenye wakalimani, angalau mtu unaelewa wanasema nini. Sasa unakuta mtu kingereza chenyewe cha huko Nyumbigwa halafu bado anakilazimisha mwe😭😭

Ushauri wangu, kama mnalenga waumini waelewe mnachofundisha ongeeni lugha moja, either kiswahili au kingereza, na kukiwa na ulazima basi tumieni wakalimani.
Asante sana.
 
Siyo tu huko,

Hata mtaani au humu mtandaoni

Mtu akitaka kuonesha msisitizo wa jambo anaongea kiswanglish.

Humu mtandaoni mtu akitaka kuonesha naye ana kitu ataandika kiingereza.

Hapa jamiiforum kuna watu mkikwazana anakuja PM ili aonekane wa maana ataandika kiingereza.😂
 
Imezuka tabia ya wahubiri vijana kuhubiri kwa kuchanganya kiswahili na kingereza (broken English) na tabia hii mimi binafsi inanifikirisha sana. Kiufupi nikishajua muhubiri huyu ni mchanganyaji wa lugha huwa siwezi kumsikiliza hata nusu dakika. Sijui ndio ujanja au ndio waumini wanaelewa zaidi sijaelewa.
Ukweli ni kwamba mnaboa. Afadhali makanisa yenye wakalimani, angalau mtu unaelewa wanasema nini. Sasa unakuta mtu kingereza chenyewe cha huko Nyumbigwa halafu bado anakilazimisha mwe😭😭
Ushauri wangu, kama mnalenga waumini waelewe mnachofundisha ongeeni lugha moja, either kiswahili au kingereza, na kukiwa na ulazima basi tumieni wakalimani.
Asante sana.
Wanapata mizuka zaidi 😂
 
Siyo tu huko,

Hata mtaani au humu mtandaoni

Mtu akitaka kuonesha msisitizo wa jambo anaongea kiswanglish.

Humu mtandaoni mtu akitaka kuonesha naye ana kitu ataandika kiingereza.

Hapa jamiiforum kuna watu mkikwazana anakuja PM ili aonekane wa maana ataandika kiingereza.😂
wataje
 
Siyo tu huko,

Hata mtaani au humu mtandaoni

Mtu akitaka kuonesha msisitizo wa jambo anaongea kiswanglish.

Humu mtandaoni mtu akitaka kuonesha naye ana kitu ataandika kiingereza.

Hapa jamiiforum kuna watu mkikwazana anakuja PM ili aonekane wa maana ataandika kiingereza.😂
Kama sijui kiswahili cha jambo nifanyeje?

Nataka niseme "optical illusion" nasemaje?

Tuwe waelewa.
 
Imezuka tabia ya wahubiri vijana kuhubiri kwa kuchanganya kiswahili na kingereza (broken English) na tabia hii mimi binafsi inanifikirisha sana. Kiufupi nikishajua muhubiri huyu ni mchanganyaji wa lugha huwa siwezi kumsikiliza hata nusu dakika. Sijui ndio ujanja au ndio waumini wanaelewa zaidi sijaelewa.
Ukweli ni kwamba mnaboa. Afadhali makanisa yenye wakalimani, angalau mtu unaelewa wanasema nini. Sasa unakuta mtu kingereza chenyewe cha huko Nyumbigwa halafu bado anakilazimisha mwe😭😭
Ushauri wangu, kama mnalenga waumini waelewe mnachofundisha ongeeni lugha moja, either kiswahili au kingereza, na kukiwa na ulazima basi tumieni wakalimani.
Asante sana.
Oh! Thy name be glorified O Lord! Ye servants we worship thou O Lord!

Hakuna ubaya; wakiristo wajifunze kiarabu kwa bidii wahubiri pia kwa lugha hiyo maana nowadays inafundishwa mashuleni badala ya kuichukulia kama lugha ya mapepo!
 
Imezuka tabia ya wahubiri vijana kuhubiri kwa kuchanganya kiswahili na kingereza (broken English) na tabia hii mimi binafsi inanifikirisha sana. Kiufupi nikishajua muhubiri huyu ni mchanganyaji wa lugha huwa siwezi kumsikiliza hata nusu dakika. Sijui ndio ujanja au ndio waumini wanaelewa zaidi sijaelewa.
Ukweli ni kwamba mnaboa. Afadhali makanisa yenye wakalimani, angalau mtu unaelewa wanasema nini. Sasa unakuta mtu kingereza chenyewe cha huko Nyumbigwa halafu bado anakilazimisha mwe😭😭
Ushauri wangu, kama mnalenga waumini waelewe mnachofundisha ongeeni lugha moja, either kiswahili au kingereza, na kukiwa na ulazima basi tumieni wakalimani.
Asante sana.
Tunaona wivu hadi kwenye neno.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom