Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 8,894
- 15,678
Ukizingatia kuwa vinapewa ruzuku ambayo ni pesa ya umma. Je vinawajibika kuujulisha umma kuhusu mapato na matumizi? Vinakaguliwa na CAG?
Let me fix it for you.Ukizingatia kuwa vinapewa ruzuku ambayo ni pesa ya umma. Je vinawajibika kuujulisha umma kuhusu mapato na matumizi? Vinakaguliwa na CAG?
Uwe unatafuta taarifa kabla ya kuja kuandika hapa! Maandiko mengine ni ya kiwango Cha Facebook tu!jibu ni Ndio CAG anafanya ukaguziUkizingatia kuwa vinapewa ruzuku ambayo ni pesa ya umma. Je vinawajibika kuujulisha umma kuhusu mapato na matumizi? Vinakaguliwa na CAG?
Si ndiyo hapa natafuta taarifa!!Uwe unatafuta taarifa kabla ya kuja kuandika hapa! Maandiko mengine ni ya kiwango Cha Facebook tu!jibu ni Ndio CAG anafanya ukaguzi
Shukrani kwa kunijuza mkuu.Let me fix it for you.
Ingia google andika.
Chadema yapewa hati safi na CAG...
Alafu chagua news source
Au ingia ai... Andika huu utumbo utajibiwa ipasavyo kwa lugha mama.
Ruzuku ya pesa za serikali kwa vyama ziondolewe ni kuharibu Kodi zetu walala hoi !Ukizingatia kuwa vinapewa ruzuku ambayo ni pesa ya umma. Je vinawajibika kuujulisha umma kuhusu mapato na matumizi? Vinakaguliwa na CAG?
Una maana ganiRuzuku ya pesa za serikali kwa vyama ziondolewe ni kuharibu Kodi zetu walala hoi !