Hivi tatizo la kutosikia vizuri ni tatizo kubwa zaidi duniani?

Sister Abigail

JF-Expert Member
Sep 2, 2020
2,867
9,010
Salaam,

Imenibidi niulize Kwa maana Hali Halisi niionavyo na nikiwa kama mhanga mmojawapo inanifkirisha sana. Nasema hivi sababu Kuna baadhi ya watu jinsi wanavyotendea wenye matatizo ya usikivu ni kama kuwafanya vituko. Hugeuza tatizo lao kuwa utambulisho badala ya kumsaidia.unakuta uko eneo lenye mkusanyiko anakufata mtu "choo Kiko wapi"?.. wakati unatarajia kumjibu anakuja au anadakia mtu "haskii vizuri"

Kwa Namna hii inakuwa anamnuong'onyeza yule mwenye tatizo badala ya kumsaidia. Hawa watu wako beneti mda wote attention kuhakikisha hakuna anaekuongeasha.hata salamu. Na hawa ndo wale wakishajua husikii vema basi hata salamu hakupi,anakupita kama sanamu hata ukimsalimia "habari yako" hakujibu. Mwingine unakuta ni Mzee kabisa,unatarajia atakuwa tofauti na labda sababu ya ukomavu kiakili lakini nae eti unamsalimia hajibu.nabaki naduwaa!.

Kuna wakati najiuliza matatizo ya sikio ndio makubwa kuliko yote,mbona mtu haoni vizuri anavaa miwani hafanyiwi hivi? Kuna watu bila miwani hawawezi hata kutembea barabarani,kusoma hawawezi kabisa,why hawapitii masaibu kama wenye usikivu hafifu?

Basi angalau iwe Kwa watu Baki,tunayapitia pia na Kwa tunaowaona wapendwa na ndugu zetu.maumivu yake sio madogo. Achana na ndugu na wapendwa Kuna nyumba ya ibada.nliwahi fanyiwa jambo nkajikuta nachukia kuingia nyumba ya ibada. Kwenye maofisi hasa ya umma Hadi tunaogopa.maana kama wenye masikio Yao tu wanakiona Cha moto vipi wewe mwenye masikio mazito🤣

Lakini pamoja na kukutana nawatu wenye kutibua hisia na maumivu,bado Kuna watu wema hata mie nakutana nao,ni watu waelewa,wako friendly hawajali kabisa ukiwa open unafurahia wanakusahaulisha hata shida zako..Mwenyezi Mungu awatunze sana!

Nb:Abigail ni muhanga wa Hilo tatizo na nilijua nko mwenyewe ama tuko wachache lakini nilivyojiunga kwenye jamii za wenye Hilo tatizo ndipo nkajua tupo wengi sana,asilimia kubwa ni vijana.japo vyanzo vya shida vinafanana na wengine havifanani,katika kushea changamoto wanazopitia nikaobserve mengi mojawapo ni Hilo.
 
Ukweli ni kwamba wanaosema hivi na hivi pale usiposikia wapuuze tu..

Mimi naamini katika kuhustle licha ya kuwa kiziwi wanaosikia wananisarenda hasa wanapoleta dharau ..
Pambana ujisimamie kiuchumi,kijamii na kihisia. Ukiwa bize na wasemacho watu juu yako nakuapia hutoboi na unaweza kukumbwa na Sonoma kisha ukaanza kujifungia ndani.

Never give up..
 
Salaam,

Imenibidi niulize Kwa maana Hali Halisi niionavyo na nikiwa kama mhanga mmojawapo inanifkirisha sana. Nasema hivi sababu Kuna baadhi ya watu jinsi wanavyotendea wenye matatizo ya usikivu ni kama kuwafanya vituko. Hugeuza tatizo lao kuwa utambulisho badala ya kumsaidia.unakuta uko eneo lenye mkusanyiko anakufata mtu "choo Kiko wapi"?.. wakati unatarajia kumjibu anakuja au anadakia mtu "haskii vizuri"

Kwa Namna hii inakuwa anamnuong'onyeza yule mwenye tatizo badala ya kumsaidia. Hawa watu wako beneti mda wote attention kuhakikisha hakuna anaekuongeasha.hata salamu. Na hawa ndo wale wakishajua husikii vema basi hata salamu hakupi,anakupita kama sanamu hata ukimsalimia "habari yako" hakujibu. Mwingine unakuta ni Mzee kabisa,unatarajia atakuwa tofauti na labda sababu ya ukomavu kiakili lakini nae eti unamsalimia hajibu.nabaki naduwaa!.

Kuna wakati najiuliza matatizo ya sikio ndio makubwa kuliko yote,mbona mtu haoni vizuri anavaa miwani hafanyiwi hivi? Kuna watu bila miwani hawawezi hata kutembea barabarani,kusoma hawawezi kabisa,why hawapitii masaibu kama wenye usikivu hafifu?

Basi angalau iwe Kwa watu Baki,tunayapitia pia na Kwa tunaowaona wapendwa na ndugu zetu.maumivu yake sio madogo. Achana na ndugu na wapendwa Kuna nyumba ya ibada.nliwahi fanyiwa jambo nkajikuta nachukia kuingia nyumba ya ibada. Kwenye maofisi hasa ya umma Hadi tunaogopa.maana kama wenye masikio Yao tu wanakiona Cha moto vipi wewe mwenye masikio mazito🤣

Lakini pamoja na kukutana nawatu wenye kutibua hisia na maumivu,bado Kuna watu wema hata mie nakutana nao,ni watu waelewa,wako friendly hawajali kabisa ukiwa open unafurahia wanakusahaulisha hata shida zako..Mwenyezi Mungu awatunze sana!

Nb:Abigail ni muhanga wa Hilo tatizo na nilijua nko mwenyewe ama tuko wachache lakini nilivyojiunga kwenye jamii za wenye Hilo tatizo ndipo nkajua tupo wengi sana,asilimia kubwa ni vijana.japo vyanzo vya shida vinafanana na wengine havifanani,katika kushea changamoto wanazopitia nikaobserve mengi mojawapo ni Hilo.
Pole sana dada, binadamu wote tuna thamani sawa mbele ya mungu mtu akikudharau wewe mpuuzie bado hajajitambua.
 
Kukosa kutosikia ni ulemavu na tatizo kubwa Sana .


Hili tatizo ni kumuomba Mungu usilipate maana ukiwa unatoka broke family na haupo vizuri litakukosesha fursa nyingi na Kuonekana haufai.

Nilichogundua mawasoliano yabeba sehemu kubwa ya mafanikio ya MTU .
 
Salaam,

Imenibidi niulize Kwa maana Hali Halisi niionavyo na nikiwa kama mhanga mmojawapo inanifkirisha sana. Nasema hivi sababu Kuna baadhi ya watu jinsi wanavyotendea wenye matatizo ya usikivu ni kama kuwafanya vituko. Hugeuza tatizo lao kuwa utambulisho badala ya kumsaidia.unakuta uko eneo lenye mkusanyiko anakufata mtu "choo Kiko wapi"?.. wakati unatarajia kumjibu anakuja au anadakia mtu "haskii vizuri"

Kwa Namna hii inakuwa anamnuong'onyeza yule mwenye tatizo badala ya kumsaidia. Hawa watu wako beneti mda wote attention kuhakikisha hakuna anaekuongeasha.hata salamu. Na hawa ndo wale wakishajua husikii vema basi hata salamu hakupi,anakupita kama sanamu hata ukimsalimia "habari yako" hakujibu. Mwingine unakuta ni Mzee kabisa,unatarajia atakuwa tofauti na labda sababu ya ukomavu kiakili lakini nae eti unamsalimia hajibu.nabaki naduwaa!.

Kuna wakati najiuliza matatizo ya sikio ndio makubwa kuliko yote,mbona mtu haoni vizuri anavaa miwani hafanyiwi hivi? Kuna watu bila miwani hawawezi hata kutembea barabarani,kusoma hawawezi kabisa,why hawapitii masaibu kama wenye usikivu hafifu?

Basi angalau iwe Kwa watu Baki,tunayapitia pia na Kwa tunaowaona wapendwa na ndugu zetu.maumivu yake sio madogo. Achana na ndugu na wapendwa Kuna nyumba ya ibada.nliwahi fanyiwa jambo nkajikuta nachukia kuingia nyumba ya ibada. Kwenye maofisi hasa ya umma Hadi tunaogopa.maana kama wenye masikio Yao tu wanakiona Cha moto vipi wewe mwenye masikio mazito🤣

Lakini pamoja na kukutana nawatu wenye kutibua hisia na maumivu,bado Kuna watu wema hata mie nakutana nao,ni watu waelewa,wako friendly hawajali kabisa ukiwa open unafurahia wanakusahaulisha hata shida zako..Mwenyezi Mungu awatunze sana!

Nb:Abigail ni muhanga wa Hilo tatizo na nilijua nko mwenyewe ama tuko wachache lakini nilivyojiunga kwenye jamii za wenye Hilo tatizo ndipo nkajua tupo wengi sana,asilimia kubwa ni vijana.japo vyanzo vya shida vinafanana na wengine havifanani,katika kushea changamoto wanazopitia nikaobserve mengi mojawapo ni Hilo.
Don't give a f**k, ukimsalimia mara moja hajaitikia usije kumsalimia tena.
 
Salaam,

Imenibidi niulize Kwa maana Hali Halisi niionavyo na nikiwa kama mhanga mmojawapo inanifkirisha sana. Nasema hivi sababu Kuna baadhi ya watu jinsi wanavyotendea wenye matatizo ya usikivu ni kama kuwafanya vituko. Hugeuza tatizo lao kuwa utambulisho badala ya kumsaidia.unakuta uko eneo lenye mkusanyiko anakufata mtu "choo Kiko wapi"?.. wakati unatarajia kumjibu anakuja au anadakia mtu "haskii vizuri"

Kwa Namna hii inakuwa anamnuong'onyeza yule mwenye tatizo badala ya kumsaidia. Hawa watu wako beneti mda wote attention kuhakikisha hakuna anaekuongeasha.hata salamu. Na hawa ndo wale wakishajua husikii vema basi hata salamu hakupi,anakupita kama sanamu hata ukimsalimia "habari yako" hakujibu. Mwingine unakuta ni Mzee kabisa,unatarajia atakuwa tofauti na labda sababu ya ukomavu kiakili lakini nae eti unamsalimia hajibu.nabaki naduwaa!.

Kuna wakati najiuliza matatizo ya sikio ndio makubwa kuliko yote,mbona mtu haoni vizuri anavaa miwani hafanyiwi hivi? Kuna watu bila miwani hawawezi hata kutembea barabarani,kusoma hawawezi kabisa,why hawapitii masaibu kama wenye usikivu hafifu?

Basi angalau iwe Kwa watu Baki,tunayapitia pia na Kwa tunaowaona wapendwa na ndugu zetu.maumivu yake sio madogo. Achana na ndugu na wapendwa Kuna nyumba ya ibada.nliwahi fanyiwa jambo nkajikuta nachukia kuingia nyumba ya ibada. Kwenye maofisi hasa ya umma Hadi tunaogopa.maana kama wenye masikio Yao tu wanakiona Cha moto vipi wewe mwenye masikio mazito🤣

Lakini pamoja na kukutana nawatu wenye kutibua hisia na maumivu,bado Kuna watu wema hata mie nakutana nao,ni watu waelewa,wako friendly hawajali kabisa ukiwa open unafurahia wanakusahaulisha hata shida zako..Mwenyezi Mungu awatunze sana!

Nb:Abigail ni muhanga wa Hilo tatizo na nilijua nko mwenyewe ama tuko wachache lakini nilivyojiunga kwenye jamii za wenye Hilo tatizo ndipo nkajua tupo wengi sana,asilimia kubwa ni vijana.japo vyanzo vya shida vinafanana na wengine havifanani,katika kushea changamoto wanazopitia nikaobserve mengi mojawapo ni Hilo.
Hatari, sema katika jamii ukiwa na utofauti wowote ambao haupo kwenye jamii uliyopo lazima ubaguliwe bila kujali tatizo, iwe uko kwenye jamii ya watu wenye vipato na wewe pekee ukawa unaonekana hauna kipato mfanano na wenzio watakubagua, iwe uko na kipato kikubwa kwenye jamii ya watu wasio na kipato kikubwa watakubagua, uwe huna elimu ya darasani kwenye jamii ya watu wasomi watakubagua, iwe umesoma sana kuliko jamii uliyopo watakubagua pia, iwe wewe ni mtu wa imani tofauti ya kidini katika jamii yenye watu wa imani tofauti ya kidini watakubagua, so inakubidi uzoee tu.
 
Ukweli ni kwamba wanaosema hivi na hivi pale usiposikia wapuuze tu..

Mimi naamini katika kuhustle licha ya kuwa kiziwi wanaosikia wananisarenda hasa wanapoleta dharau ..
Pambana ujisimamie kiuchumi,kijamii na kihisia. Ukiwa bize na wasemacho watu juu yako nakuapia hutoboi na unaweza kukumbwa na Sonoma kisha ukaanza kujifungia ndani.

Never give up..
Nimekuelewa mkuu
 
Ni kweli uli
Kukosa kutosikia ni ulemavu na tatizo kubwa Sana .


Hili tatizo ni kumuomba Mungu usilipate maana ukiwa unatoka broke family na haupo vizuri litakukosesha fursa nyingi na Kuonekana haufai.

Nilichogundua mawasoliano yabeba sehemu kubwa ya mafanikio ya MTU .
ulichosema.lakini halikukoseshi fursa zote na pia hakuna mtaji mkubwa kama kuwa na akili timamu.

Ni sawa mnaona ana atatizo kubwa.mnamsaidiaje kupungiza huo Ukubwa angalau nae aende mbele?
Au ndo mnamkatia tamaa mazima?kama hivo kugeuza tatizo lake kuwa utambulisho wake.
 
Don't give a f**k, ukimsalimia mara moja hajaitikia usije kumsalimia tena.
Ni njia ya kuonyesha natambua uwepo wa mtu na naheshimu.tena tukiwa karibu kama hatua mbili.
Siwasalimii Tena.
Kuna wakati najiuliza hawa wenzangu ukoo wao mzima hawana shida au tatizo?
Kuna mmoja ni mama wa makamo alinitukana masikio kisa sikumuelewa huku yeye analea mjukuu ana autiism kalemaa.
Nlishangaa
 
Ni kweli uli
ulichosema.lakini halikukoseshi fursa zote na pia hakuna mtaji mkubwa kama kuwa na akili timamu.

Ni sawa mnaona ana atatizo kubwa.mnamsaidiaje kupungiza huo Ukubwa angalau nae aende mbele?
Au ndo mnamkatia tamaa mazima?kama hivo kugeuza tatizo lake kuwa utambulisho wake.
Hapana Mimi binafsi sipo sehemu ya kufanya maamuzi na siwezi kumnyima mtu fursa kisa hasikii.

Pia naomba kuuliza tatizo lako umejaribu kulitafutia tiba ?

Mfano tiba za hosotalini na tiba za Asili.?
 
Hatari, sema katika jamii ukiwa na utofauti wowote ambao haupo kwenye jamii uliyopo lazima ubaguliwe bila kujali tatizo, iwe uko kwenye jamii ya watu wenye vipato na wewe pekee ukawa unaonekana hauna kipato mfanano na wenzio watakubagua, iwe uko na kipato kikubwa kwenye jamii ya watu wasio na kipato kikubwa watakubagua, uwe huna elimu ya darasani kwenye jamii ya watu wasomi watakubagua, iwe umesoma sana kuliko jamii uliyopo watakubagua pia, iwe wewe ni mtu wa imani tofauti ya kidini katika jamii yenye watu wa imani tofauti ya kidini watakubagua, so inakubidi uzoee tu.
Ni kweli kabisa.lakini Kwa namna Moja ama nyingine wanakwamisha mambo yako bila kujua.mfano eneno la biashara watu wa aina hiyo wanafanya yule mteja aghairi..unamfanyaje?
 
Ni kweli kabisa.lakini Kwa namna Moja ama nyingine wanakwamisha mambo yako bila kujua.mfano eneno la biashara watu wa aina hiyo wanafanya yule mteja aghairi..unamfanyaje?
Hiyo ndio changamoto, wanasababisha watu wanakua na msongo wa mawazo bila kupenda, sema cha muhimu ni kuangalia namna ya kukabiliana nao tu kwa maana hakuna siku itatokea jamii ikaacha kabisa ubaguzi.
 
Ni wewe tu unavyojiweka, kuna sehemu nyingine unakuta mlemavu ndio kila kitu yaani kwenye kitengo/ group/ au sehemu yenye maamuzi fulani kijamii bila yeye hamtoboi.
Jiamini,Jithamini,weka mipaka na hakikikisha watu wanafuata kanuni na taratibu zako iwe kifamilia ,kimapenzi ,kikazi n.k.
Onyesha thamani yako wengine watafuata.
 
Hapana Mimi binafsi sipo sehemu ya kufanya maamuzi na siwezi kumnyima mtu fursa kisa hasikii.

Pia naomba kuuliza tatizo lako umejaribu kulitafutia tiba ?

Mfano tiba za hosotalini na tiba za Asili.?
Nimelitafutia mwisho nikaishia kwenye upandikizi wa kifaa ndani ya sikio.
Ikanibidi niishie hapo
 
Back
Top Bottom