Hivi sasa Kila mtanzania anauliza "Lissu amekamatwa kwa kosa gani?, Hongreni Polisi

Rabbon

JF-Expert Member
Apr 16, 2022
22,335
34,719
Hello!

Muda ulikuwa mchache kwa Lissu kuifikia nchi nzima kupeleka ushawishi wa No reforms no Election, sasa jukumu Hilo rasmi limechukuliwa na polisi wetu kwa kumkamata Tundu lissu.

Hivi sasa Kila mtanzania Hadi vijijini atauliza sababu ya kukamatwa Lissu na kujibiwa, "NO REFORMS NO ELECTION",

Soma Pia: Tundu Lissu akamatwa na Polisi akielekea Mbinga, Ruvuma

Hii yote ni kwa hisani ya Geshi retu Ra Porishi!

Kazi iendelelee!
 
Hello!

Muda ulikuwa mchache kwa Lissu kuifikia nchi nzima kupeleka ushawishi wa No reforms no Election, sasa jukumu Hilo rasmi limechukuliwa na polisi wetu kwa kumkamata Tundu lissu.

Hivi sasa Kila mtanzania Hadi vijijini atauliza sababu ya kukamatwa Lissu na kujibiwa, "NO REFORMS NO ELECTION",

Hii yote ni kwa hisani ya Geshi retu Ra Porishi!

Kazi iendelelee!
Uasi
 
Hello!

Muda ulikuwa mchache kwa Lissu kuifikia nchi nzima kupeleka ushawishi wa No reforms no Election, sasa jukumu Hilo rasmi limechukuliwa na polisi wetu kwa kumkamata Tundu lissu.

Hivi sasa Kila mtanzania Hadi vijijini atauliza sababu ya kukamatwa Lissu na kujibiwa, "NO REFORMS NO ELECTION",

Hii yote ni kwa hisani ya Geshi retu Ra Porishi!

Kazi iendelelee!
Unabii inasema,Kila baya watakalomtendea Lissu watakuwa wanaharibu zaidi
 
Hello!

Muda ulikuwa mchache kwa Lissu kuifikia nchi nzima kupeleka ushawishi wa No reforms no Election, sasa jukumu Hilo rasmi limechukuliwa na polisi wetu kwa kumkamata Tundu lissu.

Hivi sasa Kila mtanzania Hadi vijijini atauliza sababu ya kukamatwa Lissu na kujibiwa, "NO REFORMS NO ELECTION",

Soma Pia: Tundu Lissu akamatwa na Polisi akielekea Mbinga, Ruvuma

Hii yote ni kwa hisani ya Geshi retu Ra Porishi!

Kazi iendelelee!
Atatia akili,unamchezea simba sharubu.
 
Hoja ya No reforms no Election imebebea na polisi rasmi,

Sasa wanaipeperusha nchi nzima,

Polisi hawapitwi jambo ujue!
swala la no reform katibu mkuu chama cha mapinduzi ameshalitolea ufafanuzi, sikiliza tbc kwa habari za uwakika
 
Hello!

Muda ulikuwa mchache kwa Lissu kuifikia nchi nzima kupeleka ushawishi wa No reforms no Election, sasa jukumu Hilo rasmi limechukuliwa na polisi wetu kwa kumkamata Tundu lissu.

Hivi sasa Kila mtanzania Hadi vijijini atauliza sababu ya kukamatwa Lissu na kujibiwa, "NO REFORMS NO ELECTION",

Soma Pia: Tundu Lissu akamatwa na Polisi akielekea Mbinga, Ruvuma

Hii yote ni kwa hisani ya Geshi retu Ra Porishi!

Kazi iendelelee!
Ndo ujue akili ndogo inapambana na akili kubwa
 
Back
Top Bottom