Hello!
Muda ulikuwa mchache kwa Lissu kuifikia nchi nzima kupeleka ushawishi wa No reforms no Election, sasa jukumu Hilo rasmi limechukuliwa na polisi wetu kwa kumkamata Tundu lissu.
Hivi sasa Kila mtanzania Hadi vijijini atauliza sababu ya kukamatwa Lissu na kujibiwa, "NO REFORMS NO ELECTION",
Soma Pia: Tundu Lissu akamatwa na Polisi akielekea Mbinga, Ruvuma
Hii yote ni kwa hisani ya Geshi retu Ra Porishi!
Kazi iendelelee!
Muda ulikuwa mchache kwa Lissu kuifikia nchi nzima kupeleka ushawishi wa No reforms no Election, sasa jukumu Hilo rasmi limechukuliwa na polisi wetu kwa kumkamata Tundu lissu.
Hivi sasa Kila mtanzania Hadi vijijini atauliza sababu ya kukamatwa Lissu na kujibiwa, "NO REFORMS NO ELECTION",
Soma Pia: Tundu Lissu akamatwa na Polisi akielekea Mbinga, Ruvuma
Hii yote ni kwa hisani ya Geshi retu Ra Porishi!
Kazi iendelelee!