Majhura fikiri
Senior Member
- Jul 11, 2015
- 121
- 13
daaah...umenikumbusha mbali sana huu msemo!watu wa pwani wana maneno aisee...daahAma kweli nyoko nyoko ni shibe ya kuonana!
daaah...umenikumbusha mbali sana huu msemo!watu wa pwani wana maneno aisee...daah
Habari za jioni, wana jf wenzangu natumaini wote ni wazima wa afya!!! Nimeona Leo nitoe dukuduku langu moyoni ni sikae na kinyongo, humu kwa group kuna tabia moja siipendi sana yani mtu unatoa mawazo yko kwenye posti yako mtu anajibu ujinga na si mara moja kutokea, inajitokeza Mara nyingi but majina ya hao mazuzu nimeyaweka kwenye mabano mkizingua na wataja kwahiyo acheni tabia hiyo!!!!!! Asanteni
Inategemea ni uzi gani. Mfano unakuta mtu eti nae ni mwanaume anapost uzi eti "huyu dada mchunaji sana, kanichuna elfu 20000" analialia weeee, sasa najiuliza kama kweli mtu ana mbupu mbili na anadai ni mwamaume anakuja kulia kwa hii hela ya nyanya utamuelewaje? Si bora tumkomeshe akinuna apasuke au anywe sumu ya panya?
Tatizo kubwa ni hapo tu kwenye KUKAZANA.We acha tu aisee.
Kiswahili kitamu sana.
Laiti watu tungekazana kujifunza na kukijua vizuri basi sina shaka sasa kingekuwa kimeshakua kuliko hata kilivyo hivi sasa.
Nimependa ua lakoMungu si Athumani
Akitumia konyagi akija huku JF ban itamuhusu tu maana majibu ya humu ndaniHaya ndio mleta mada hayapendi.
Mimi namshauri awe anatulia na konyagi yake kubwa ili akizinguliwa tu apige funda mokomoko.