Hivi kwanini tusianzishe kampeni ya Boycott dhidi ya wanamuunga mkono Samia?

kimsboy

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
9,883
20,423
Hivi ndugu zangu kwanini tusianzishe boycott dhidi ya wanaounga mkono dhulma zinazofanywa na SSH na genge lake?

Mfano kususia bidhaa za matajiri wanaosapoti huu utawala

Kuacha kuwasapoti viongozi wanaoshiriki hizi dhulma

Kususia hata baadhi ya nyumba za ibada zinazoongozwa na hao wanaounga mkono au machawa

Kutoshiriki shughuli au jambo lolote linalofanywa na mtu yoyote anayeunga mkono huu utawala?

Kama watakuwepo wasanii basi tusisapoti kazi zao!!

Tujifunze kwa kampeni ya #Boycott Israel ilivyoleta matokeo chanya.

Sisi wananchi tukiamua tunaweza kuwasusa hawa wajinga kuyasusa makampuni yao ili tuone wataenda kula wapi
 
Hivi ndugu zangu kwanini tusianzishe boycott dhidi ya wanaounga mkono dhulma zinazofanywa na SSH na genge lake?

Mfano kususia bidhaa za matajiri wanaosapoti huu utawala

Kuacha kuwasapoti viongozi wanaoshiriki hizi dhulma

Kususia hata baadhi ya nyumba za ibada zinazoongozwa na hao wanaounga mkono au machawa

Kutoshiriki shughuli au jambo lolote linalofanywa na mtu yoyote anayeunga mkono huu utawala?

Kama watakuwepo wasanii basi tusisapoti kazi zao!!

Tujifunze kwa kampeni ya #Boycott Israel ilivyoleta matokeo chanya.

Sisi wananchi tukiamua tunaweza kuwasusa hawa wajinga kuyasusa makampuni yao ili tuone wataenda kula wapi
Hili lilifanikiwa sana zanzibar wakati fulani hadi kupelekea muafaka. Huko watu walikuwa hawazikani, wala walikuwa hawaswali pamoja. Ukiingia msikitini wa itikadi tofauti watu wanatoka wanakuachia uswali mwenyewe. Ukipanda kwenye chombo cha usafiri watu wanashuka. Gengeni watu hawanunui kama ww ni wa itikadi tofauti. Muafaka ulipatikana. Kwa huku bara labda ifanyike huko vijijini, kwa huku mijini ni ngumu kidogo maana kila mtu anaishi kwa namna yake, na ana mtazamo wake.
 
Kabisa
Hili lilifanikiwa sana zanzibar wakati fulani hadi kupelekea muafaka. Huko watu walikuwa hawazikani, wala walikuwa hawaswali pamoja. Ukiingia msikitini wa itikadi tofauti watu wanatoka wanakuachia uswali mwenyewe. Ukipanda kwenye chombo cha usafiri watu wanashuka. Gengeni watu hawanunui kama ww ni wa itikadi tofauti. Muafaka ulipatikana. Kwa huku bara labda ifanyike huko vijijini, kwa huku mijini ni ngumu kidogo maana kila mtu anaishi kwa namna yake, na ana mtazamo wake.
 
Hivi ndugu zangu kwanini tusianzishe boycott dhidi ya wanaounga mkono dhulma zinazofanywa na SSH na genge lake?

Mfano kususia bidhaa za matajiri wanaosapoti huu utawala

Kuacha kuwasapoti viongozi wanaoshiriki hizi dhulma

Kususia hata baadhi ya nyumba za ibada zinazoongozwa na hao wanaounga mkono au machawa

Kutoshiriki shughuli au jambo lolote linalofanywa na mtu yoyote anayeunga mkono huu utawala?

Kama watakuwepo wasanii basi tusisapoti kazi zao!!

Tujifunze kwa kampeni ya #Boycott Israel ilivyoleta matokeo chanya.

Sisi wananchi tukiamua tunaweza kuwasusa hawa wajinga kuyasusa makampuni yao ili tuone wataenda kula wapi
Hili ni suluhusho

Kuwasusia wasanii wote machawa ku unsubscribe platforms zao
 
Hivi ndugu zangu kwanini tusianzishe boycott dhidi ya wanaounga mkono dhulma zinazofanywa na SSH na genge lake?

Mfano kususia bidhaa za matajiri wanaosapoti huu utawala

Kuacha kuwasapoti viongozi wanaoshiriki hizi dhulma

Kususia hata baadhi ya nyumba za ibada zinazoongozwa na hao wanaounga mkono au machawa

Kutoshiriki shughuli au jambo lolote linalofanywa na mtu yoyote anayeunga mkono huu utawala?

Kama watakuwepo wasanii basi tusisapoti kazi zao!!

Tujifunze kwa kampeni ya #Boycott Israel ilivyoleta matokeo chanya.

Sisi wananchi tukiamua tunaweza kuwasusa hawa wajinga kuyasusa makampuni yao ili tuone wataenda kula wapi
Halafu isaidie nini??
 
Hivi ndugu zangu kwanini tusianzishe boycott dhidi ya wanaounga mkono dhulma zinazofanywa na SSH na genge lake?

Mfano kususia bidhaa za matajiri wanaosapoti huu utawala

Kuacha kuwasapoti viongozi wanaoshiriki hizi dhulma

Kususia hata baadhi ya nyumba za ibada zinazoongozwa na hao wanaounga mkono au machawa

Kutoshiriki shughuli au jambo lolote linalofanywa na mtu yoyote anayeunga mkono huu utawala?

Kama watakuwepo wasanii basi tusisapoti kazi zao!!

Tujifunze kwa kampeni ya #Boycott Israel ilivyoleta matokeo chanya.

Sisi wananchi tukiamua tunaweza kuwasusa hawa wajinga kuyasusa makampuni yao ili tuone wataenda kula wapi
Wewe una akili sana ingawa machawa watakushambulia au kukupiga ban maana wamo humu kila uwanja.
 
Back
Top Bottom