Hivi kunywa pombe ni dhambi?

kyagata

JF-Expert Member
Oct 18, 2016
10,307
19,627
Wakuu, jana nimetoka kwenye mishe zangu nikapitia bar flani ya jirani kupooza koo kidogo.

Wakapita walokole flani hivi tunafahamiana nikawapungia mkono,wakaniita pembeni,jambo Lao kubwa likawa wananiambia eti niache kunywa pombe kwani unywaji wa pombe ni dhambi kubwa sana.

Nikawaitikia ila baadae nikafungua Biblia kutafuta mstari wowote unaosema kuwa kunywa bia ni dhambi lakini sijaona popote palipoandikwa hivyo.

So labda na nyie mnisaidie kujua wakuu,je kunywa pombe ni dhambi au sio dhambi?
 
Wakuu, jana nimetoka kwenye mishe zangu nikapitia bar flani ya jirani kupooza koo kidogo.wakapita walokole flani hivi tunafahamiana nikawapungia mkono,wakaniita pembeni,jambo Lao kubwa likawa wananiambia eti niache kunywa pombe kwani unywaji wa pombe ni dhambi kubwa sana.nikawaitikia ila baadae nikafungua biblia kutafuta mstari wowote unaosema kuwa kunywa bia ni dhambi lkn sijaona popote palipoandikwa hivyo.
So labda na nyie mnisaidie kujua wakuu,je kunywa pombe ni dhambi au sio dhambi?
Pombe ni kinywaji kinachokurahisisha kufikiri dhambi na kuitenda dhambi. Kwa ufupi Pombe ni dalali wa dhambi.
 
Wakuu, jana nimetoka kwenye mishe zangu nikapitia bar flani ya jirani kupooza koo kidogo.wakapita walokole flani hivi tunafahamiana nikawapungia mkono,wakaniita pembeni,jambo Lao kubwa likawa wananiambia eti niache kunywa pombe kwani unywaji wa pombe ni dhambi kubwa sana.nikawaitikia ila baadae nikafungua biblia kutafuta mstari wowote unaosema kuwa kunywa bia ni dhambi lkn sijaona popote palipoandikwa hivyo.
So labda na nyie mnisaidie kujua wakuu,je kunywa pombe ni dhambi a dhambi?
Hii ni CHAI tena haina sukari. Kajipange uje na hoja yako tena.
 
Nimegonga pombe mtaa a nmetoka vizuri tu tena nimewaaga wana nikapumzike aisee sikufika mtaa b.nikala mweleka na habari ikaishia hapo.alikuja niokota wife baada ya kupigiwa simu na wanaonijua kile kitaa.kiufupi nlikua mfu saa saba ndo nazinduka usiku toka jioni.nlishindwa hata kula kwa siku tatu
Usinywe pombe kali zitakudhalilisha na upunguze kiwango.Kuitwa majesty siyo mchezo.Kuwa makini.
 
Wakuu, jana nimetoka kwenye mishe zangu nikapitia bar flani ya jirani kupooza koo kidogo.wakapita walokole flani hivi tunafahamiana nikawapungia mkono,wakaniita pembeni,jambo Lao kubwa likawa wananiambia eti niache kunywa pombe kwani unywaji wa pombe ni dhambi kubwa sana.nikawaitikia ila baadae nikafungua biblia kutafuta mstari wowote unaosema kuwa kunywa bia ni dhambi lkn sijaona popote palipoandikwa hivyo.
So labda na nyie mnisaidie kujua wakuu,je kunywa pombe ni dhambi au sio dhambku

Wakuu, jana nimetoka kwenye mishe zangu nikapitia bar flani ya jirani kupooza koo kidogo.wakapita walokole flani hivi tunafahamiana nikawapungia mkono,wakaniita pembeni,jambo Lao kubwa likawa wananiambia eti niache kunywa pombe kwani unywaji wa pombe ni dhambi kubwa sana.nikawaitikia ila baadae nikafungua biblia kutafuta mstari wowote unaosema kuwa kunywa bia ni dhambi lkn sijaona popote palipoandikwa hivyo.
So labda na nyie mnisaidie kujua wakuu,je kunywa pombe ni dhambi au sio dhambi?
Maandiko yanatuasa tuwe na kiasi.. Hivyo kunywa kidogo kwa ajili ya afya ya mwili na akili sio dhamnbi kabisa
 
Wakuu, jana nimetoka kwenye mishe zangu nikapitia bar flani ya jirani kupooza koo kidogo.wakapita walokole flani hivi tunafahamiana nikawapungia mkono,wakaniita pembeni,jambo Lao kubwa likawa wananiambia eti niache kunywa pombe kwani unywaji wa pombe ni dhambi kubwa sana.nikawaitikia ila baadae nikafungua biblia kutafuta mstari wowote unaosema kuwa kunywa bia ni dhambi lkn sijaona popote palipoandikwa hivyo.
So labda na nyie mnisaidie kujua wakuu,je kunywa pombe ni dhambi au sio dhambi?
Screenshot_20241212-055126.png
 
Wakuu, jana nimetoka kwenye mishe zangu nikapitia bar flani ya jirani kupooza koo kidogo.wakapita walokole flani hivi tunafahamiana nikawapungia mkono,wakaniita pembeni,jambo Lao kubwa likawa wananiambia eti niache kunywa pombe kwani unywaji wa pombe ni dhambi kubwa sana.nikawaitikia ila baadae nikafungua biblia kutafuta mstari wowote unaosema kuwa kunywa bia ni dhambi lkn sijaona popote palipoandikwa hivyo.
So labda na nyie mnisaidie kujua wakuu,je kunywa pombe ni dhambi au sio dhambi?
Kunywa bia mbili au tatu Ili kuchangamsha mwili sio dhambi. Hawa walokole inabidi waache ujinga.
 
Wagalatia 5:19-21
Basi matendo ya mwili ni dhahiri, ndiyo haya, uasherati, uchafu, ufisadi, ibada ya sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, faraka, uzushi,
husuda, ulevi, ulafi, na mambo yanayofanana na hayo, katika hayo nawaambia mapema, kama nilivyokwisha kuwaambia, ya kwamba watu watendao mambo ya jinsi hiyo hawataurithi ufalme wa Mungu.

Kama una mpango wa kuingia Mbinguni au Peponi acha pombe,
inauwezo mkubwa wa kukukwamisha kuingia mbinguni.

1 Wakorintho 6 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
⁹ Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,
¹⁰ wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi.

Mbingu ni ya watu safi,sober.
Mfano tu mdogo.
Kama kazini kwako huruhusiwi kwenda umelewa, je Mbinguni si zaidi.
Kati ya Mungu na Mwanadamu wa kuheshimiwa zaidi ni yupi?
Basi pombe haifai kwa mtu mwenye nia ya kwenda Mbinguni.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom