kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 10,307
- 19,627
Wakuu, jana nimetoka kwenye mishe zangu nikapitia bar flani ya jirani kupooza koo kidogo.
Wakapita walokole flani hivi tunafahamiana nikawapungia mkono,wakaniita pembeni,jambo Lao kubwa likawa wananiambia eti niache kunywa pombe kwani unywaji wa pombe ni dhambi kubwa sana.
Nikawaitikia ila baadae nikafungua Biblia kutafuta mstari wowote unaosema kuwa kunywa bia ni dhambi lakini sijaona popote palipoandikwa hivyo.
So labda na nyie mnisaidie kujua wakuu,je kunywa pombe ni dhambi au sio dhambi?
Wakapita walokole flani hivi tunafahamiana nikawapungia mkono,wakaniita pembeni,jambo Lao kubwa likawa wananiambia eti niache kunywa pombe kwani unywaji wa pombe ni dhambi kubwa sana.
Nikawaitikia ila baadae nikafungua Biblia kutafuta mstari wowote unaosema kuwa kunywa bia ni dhambi lakini sijaona popote palipoandikwa hivyo.
So labda na nyie mnisaidie kujua wakuu,je kunywa pombe ni dhambi au sio dhambi?