Hivi kuna haja ya wabunge wa upinzani kususia ziara zinazofanywa na Rais Magufuli?

Mystery

JF-Expert Member
Mar 8, 2012
15,843
31,057
Tumeshuhudia katika ziara anayoendelea kuifanya Rais Magufuli, akiwazodoa na kuwakejeli kupita kiasi wabunge wa upinzani wa Chadema!

Nimekuwa nikijiuliza hivi ina maana gani kwa Katiba yetu ya Jamhuri yauungano wa Tanzania ya mwaka 1977, iliyofanyiwa marekebisho mwaka 2005, ibara ya 3(1) ambayo inaeleza wazi kuwa nchi yetu ni ya kidemokrasia na ni ya mfumo wa vyama vingi??

Hivi wananchi wa Serengeti wamefanya makosa kumchagia Mbunge Marwa Ryoba kuwa mbunge wao??

Kwa maana kwa namna alivyoongea Mheshimiwa Rais na wananchi wa Serengeti ni dhahiri kuwa ana chuki kubwa sana na chama kikuu cha upinzani nchini cha Chadema

Haiwezekani wewe Rais umetoa fursa ya wananchi wa jimbo hilo watoe kero zao na Mbunge wao Marwa Ryoba anasimama kueleza kero zao kwa niaba ya wananchi waliomchagua halafu wewe Rais unaziclash hoja hizo na kuingiza matusi na kejeli dhidi ya mbunge huyo!

Hivi huoni Mheshimiwa Rais kuwa kwa kitendo kile umewatukana wananchi wa Serengeti waliomchagua mbunge huyo??

Tumekusikia pia Mheshimiwa Rais ukitishia kutotoa bajeti ya maendeleo kwenye maeneo yanayoongozwa na wabunge wa upinzani, eti kwa madai wameikataa bajeti!

Kwani kuikataa bajeti Bungeni ni makosa kwa mujibu wa sheria zetu??

Hivi ni kwanini Rais unaleta mgawanyiko wa Taifa hili kwa kiwango cha kutisha wakati Taifa hili linajulikana na Dunia nzima kwa umoja na mshikamano wetu bila kujali itikadi za vyama vyetu??

Hivi ukilinyima jimbo la upinzani Fedha za maendeleo wakati wananchi wake wanaendelea kulipa kodi hivi kwa hilo huoni Mheshimiwa Rais kuwa unakosea sana??

Nitie rai tu kwa wabunge wa upinzani, ingawa siyo jambo jema lakini inabidi lifanyike ni kwa wabunge wote wa upinzani, hususani kutoka chama kikuu cha upinzani cha Chadema kususia kuwepo kwenye ziara hizi za Rais hadi pale atakapojirekebisha na kuwa FAIR kwa wabunge wote wale wa CCM na wa upinzani, hususani wa Chadema

Mungu ibariki Tanzania
 
Huyo rais wenu na chuki zake za kipuuuzi zitakuja kumtokea puani. Mwambie achunge kauli zake.
Haiwezekani Rais unaanza kumkasifu Mbunge ambaye ameachaguliwa na wananchi hao hao unaowahutubia

Hivi anajua Mheshimiwa Rais kwa kutoa kejeli kwa yule Mbunge wa Serengeti ni sawasawa na amewatulana wananchi hao wa Serengeti??

Kwa kuwa huyo mbunge amechaguliwa na wananchi hao
 
kama Rais anatambua mkurugenzi hadharani,anamtumbua mkuu wa Pccb,na aneleza makosa yake hadharani itakua huyo mbunge wa chadema
Huwa hampendi habari hasi,mambo mengi ni ya kuyaacha tu,wote tumemuona Mbunge alivyokua akieleza kero na kutoa pongezi kwa mema yaliofanyika
 
Tumeshuhudia katika ziara anayoendekea kuifanya Rais Magufuli, akiwazodoa na kuwakejeli kupita kiasi wabunge wa upinzani wa Chadema!

Nimekuwa nikijiuliza hivi ina maana gani kwa Katiba yetu ya Jamhuri yauungano wa Tanzania ya mwaka 1977, iliyofanyiwa marekebisho mwaka 2005, ibara ya 3(1) ambayo inaeleza wazi kuwa nchi yetu ni ya kidemokrasia na ni ya mfumo wa vyama vingi??

Hivi wananchi wa Serengeti wamefanya makosa kumchagia Mbunge Marwa Ryoba kuwa mbunge wao??

Kwa maana kwa namna alivyoongea Mheshimiwa Rais na wananchi wa Serengeti ni dhahiri kuwa ana chuki kubwa sana na chama kikuu cha upinzani nchini cha Chadema

Haiwezekani wewe Rais umetoa fursa ya wananchi wa jimbo hilo watoe kero zao na Mbunge wao Marwa Ryoba anasimama kueleza kero zao kwa niaba ya wananchi waliomchagua halafu wewe Rais unaziclash hoja hizo na kuingiza matusi na kejeli dhidi ya mbunge huyo!

Hivi huoni Mheshimiwa Rais kuwa kwa kitendo kile umewatukana wananchi wa Serengeti waliomchagua mbunge huyo??

Tumekusikia pia Mheshimiwa Rais ukitishia kutotoa bajeti ya maendeleo kwenye maeneo yanayoongozwa na wabunge wa upinzani, eti kwa madai wameikataa bajeti!

Kwani kuikataa bajeti Bungeni ni makosa kwa mujibu wa sheria zetu??

Hivi ni kwanini Rais unaleta mgawanyiko wa Taifa hili kwa kwa kiwango cha kutisha wakati Taifa hili linajulikana na Dunia nzima kwa umoja na mshikamano wetu bila kujali itikadi za vyama vyeti??

Hivi ukilinyima jimbo la upinzani Fedha za maendeleo wakati wananchi wake wanaendelea kulipa kodi hivi kwa hilo huoni Mheshimiwa Rais kuwa unakosea sana??

Nitie rai tu kwa wabunge wa upinzani, ingawa siyo jambo jema lakini inabidi lifanyike ni kwa wabunge wote wa upinzani, hususani kutoka chama kikuu cha upinzani cha Chadema kususia kuwepo kwenye ziara hizi za Rais hadi pale atakapojirekebisha na kuwa FAIR kwa wabunge wote wale wa CCM na wa upinzani, hususani wa Chadema

Mungu ibariki Tanzania
Waache kwenda huko au kama anaenda awe na uwezo wa kupangua mashuti kwa ujasiri mkubwa
 
Kweli nimeamini kuwa tuna Rais chizi kwa mujibu wa alivyojitangaza yeye mwenyewe!
 
!
!
Kuna Sehemu Alisikika Akisema Alichagua Waziri Kichaa Kichaa Kama Yeye. Sehemu Nyingine Alisema Kama Mkandarasi Ni Mshenzi Yeye Ni Mshenzi Zaidi Yake. Sasa Nikiungalisha Huo Utambulisho, Nikapata Jibu. Kwa Hiyo Sishangai.
 
!
!
Kuna Sehemu Alisikika Akisema Alichagua Waziri Kichaa Kichaa Kama Yeye. Sehemu Nyingine Alisema Kama Mkandarasi Ni Mshenzi Yeye Ni Mshenzi Zaidi Yake. Sasa Nikiungalisha Huo Utambulisho, Nikapata Jibu. Kwa Hiyo Sishangai.
Siongezei neno hapo.........

Tuendelee kumwomba Mungu ili atuvushe salama kama Taifa na kiongozi huyu ambaye amejitangaza mwenyewe waziwazi kuwa yeye ni chizi!
 
Hao wabunge na madiwani wa cdm ni kama wanataka kwenda kudhalilishwa kwa mapenzi yao. Rais wetu ana nongwa ya wazi kwa cdm na mifano ipo wazi. Rais wetu hawezi siasa za ushindani na cdm ndio chama kinachomkera. Sasa anapopata nafasi yoyote huwa anakosa staha na hutumia cheo chake kuwadhalilisha apendavyo kwa kudhani ataipotezea cdm mvuto na automatically hiyo itaipa mvuto ccm.

Sioni kama kuna haja ya wawakilishi wa cdm kwenda kwenye hizo ziara kwani rais hajui tofauti ya ziara ya kiserekali na ya chama, kwake hizo ziara ni za ccm dhidi ya cdm. Hivyo mwanacdm yoyote anayetokea kwenye hizo ziara anamgeuza kama bondia aliyeamua kupanda ulingoni bila kukinga uso. Kiongozi wa cdm kwenda kwenye hizo ziara ni kama kumpa Magufuli point za mezani kwani ni ziara za kampeni kwa kisingizio cha kukagua miradi ya maendeleo.

Toka rais alipoanza ziara zake alipoingia madarakani niliifahamu tabia hii na nikawaasa viongozi wa cdm wasihudhurie hizo ziara. Kama hataleta maendeleo acha asilete kwani amebakiza miaka miwili na akichezea box la kura kama ilivyo ada atakaa miaka mingine mitano. Ataondoka na maendeleo yatakwenda maeneo hayo maana hela sio zake.
 
Tumeshuhudia katika ziara anayoendekea kuifanya Rais Magufuli, akiwazodoa na kuwakejeli kupita kiasi wabunge wa upinzani wa Chadema!

Nimekuwa nikijiuliza hivi ina maana gani kwa Katiba yetu ya Jamhuri yauungano wa Tanzania ya mwaka 1977, iliyofanyiwa marekebisho mwaka 2005, ibara ya 3(1) ambayo inaeleza wazi kuwa nchi yetu ni ya kidemokrasia na ni ya mfumo wa vyama vingi??

Hivi wananchi wa Serengeti wamefanya makosa kumchagia Mbunge Marwa Ryoba kuwa mbunge wao??

Kwa maana kwa namna alivyoongea Mheshimiwa Rais na wananchi wa Serengeti ni dhahiri kuwa ana chuki kubwa sana na chama kikuu cha upinzani nchini cha Chadema

Haiwezekani wewe Rais umetoa fursa ya wananchi wa jimbo hilo watoe kero zao na Mbunge wao Marwa Ryoba anasimama kueleza kero zao kwa niaba ya wananchi waliomchagua halafu wewe Rais unaziclash hoja hizo na kuingiza matusi na kejeli dhidi ya mbunge huyo!

Hivi huoni Mheshimiwa Rais kuwa kwa kitendo kile umewatukana wananchi wa Serengeti waliomchagua mbunge huyo??

Tumekusikia pia Mheshimiwa Rais ukitishia kutotoa bajeti ya maendeleo kwenye maeneo yanayoongozwa na wabunge wa upinzani, eti kwa madai wameikataa bajeti!

Kwani kuikataa bajeti Bungeni ni makosa kwa mujibu wa sheria zetu??

Hivi ni kwanini Rais unaleta mgawanyiko wa Taifa hili kwa kiwango cha kutisha wakati Taifa hili linajulikana na Dunia nzima kwa umoja na mshikamano wetu bila kujali itikadi za vyama vyetu??

Hivi ukilinyima jimbo la upinzani Fedha za maendeleo wakati wananchi wake wanaendelea kulipa kodi hivi kwa hilo huoni Mheshimiwa Rais kuwa unakosea sana??

Nitie rai tu kwa wabunge wa upinzani, ingawa siyo jambo jema lakini inabidi lifanyike ni kwa wabunge wote wa upinzani, hususani kutoka chama kikuu cha upinzani cha Chadema kususia kuwepo kwenye ziara hizi za Rais hadi pale atakapojirekebisha na kuwa FAIR kwa wabunge wote wale wa CCM na wa upinzani, hususani wa Chadema

Mungu ibariki Tanzania
Upinzani wanalalamika tuuu,
 
Tulikuwa hapo nyamongo dah huyu jamaa amenisikitisha kwa kauli aliyo itoa utadhani yeye alikuwa ajui nini kinachoendelea kuhusu Yale matatizo yaliyo wapata miaka iliyopita ya maji yenye sumu
Kuhusu tegesha yeye ndio amejidhirisha kulipiga chini bila utaratibu
Hivi kwa hali hii wananyamongo wanashindwaje kuwa na vichwa vigumu
Mwisho yule mwanafunzi nimeipenda confidence yake
Asanteni










Wako mtiifu #lord eyes
 
Hao wabunge na madiwani wa cdm ni kama wanataka kwenda kudhalilishwa kwa mapenzi yao. Rais wetu ana nongwa ya wazi kwa cdm na mifano ipo wazi. Rais wetu hawezi siasa za ushindani na cdm ndio chama kinachomkera. Sasa anapopata nafasi yoyote huwa anakosa staha na hutumia cheo chake kuwadhalilisha apendavyo kwa kudhani ataipotezea cdm mvuto na automatically hiyo itaipa mvuto ccm.

Sioni kama kuna haja ya wawakilishi wa cdm kwenda kwenye hizo ziara kwani rais hajui tofauti ya ziara ya kiserekali na ya chama, kwake hizo ziara ni za ccm dhidi ya cdm. Hivyo mwanacdm yoyote anayetokea kwenye hizo ziara anamgeuza kama bondia aliyeamua kupanda ulingoni bila kukinga uso. Kiongozi wa cdm kwenda kwenye hizo ziara ni kama kumpa Magufuli point za mezani kwani ni ziara za kampeni kwa kisingizio cha kukagua miradi ya maendeleo.

Toka rais alipoanza ziara zake alipoingia madarakani niliifahamu tabia hii na nikawaasa viongozi wa cdm wasihudhurie hizo ziara. Kama hataleta maendeleo acha asilete kwani amebakiza miaka miwili na akichezea box la kura kama ilivyo ada atakaa miaka mingine mitano. Ataondoka na maendeleo yatakwenda maeneo hayo maana hela sio zake.
Wakati tunaongea kuhusu kuonewa, leo alipokuwa kwenye ziara mkoani huko kuna mwanafunzi alikua analalamikia shida za shule yao, basi mukulu akachangisha watendaji wake zikapatikana njuruku pale zikakabidhiwa shule, km milioni 15 hv fastafasta
 
Back
Top Bottom