Mikopo Consultant
JF-Expert Member
- Oct 28, 2024
- 784
- 1,681
Ni ukweli usiopingika kwamba kwa sasa Tanzania kuna wanawake ambao pasipo kuangalia mazingira ya walipotoka, ila kwa sasa wapo kwenye daraja la juu sana, both kwenye upande wa umaarufu, pesa, high networth connections etc
Na kila mmoja ukimtizama na harakati zake, unakuta kwamba sio za kitoto, ni wachacharikaji haswaa na wameweza kujiposition vizuri sana kwenye mafanikio
Sasa mimi kwa kweli nilitaka tuweze kumpata the MVP (kati ya hawa mabinti zetu celebrities wa kibongo)
Kwa haraka nimewafikiria hawa wafuatao
1. Vanessa Mdee
2. Hamissa Mobeto
3. Jacquiline Wolper
4. Irene Uwoya
5. Nandy
6. Zuchu
7. Wema Sepetu
8. Niffer
9. Jokate Mwegelo
10. Rose Ndauka
Kwangu mimi hapa kura yangu inaenda kwa Jacquiline Wolper
Waweza dondosha jina ambalo unahisi nimemsahau hapo.
Pia naomba Jamii Forum wafanye namna ikiwezekana tupate top 3 MVP kati ya hawa celebrities na tuwape tuzo zao halafu kwenye hiyo hafla watatupa mbinu walizozitumia kufika walipokuwa ili ku inspire mabinti wenzao.
Na kila mmoja ukimtizama na harakati zake, unakuta kwamba sio za kitoto, ni wachacharikaji haswaa na wameweza kujiposition vizuri sana kwenye mafanikio
Sasa mimi kwa kweli nilitaka tuweze kumpata the MVP (kati ya hawa mabinti zetu celebrities wa kibongo)
Kwa haraka nimewafikiria hawa wafuatao
1. Vanessa Mdee
2. Hamissa Mobeto
3. Jacquiline Wolper
4. Irene Uwoya
5. Nandy
6. Zuchu
7. Wema Sepetu
8. Niffer
9. Jokate Mwegelo
10. Rose Ndauka
Kwangu mimi hapa kura yangu inaenda kwa Jacquiline Wolper
Waweza dondosha jina ambalo unahisi nimemsahau hapo.
Pia naomba Jamii Forum wafanye namna ikiwezekana tupate top 3 MVP kati ya hawa celebrities na tuwape tuzo zao halafu kwenye hiyo hafla watatupa mbinu walizozitumia kufika walipokuwa ili ku inspire mabinti wenzao.