KABAKA28
JF-Expert Member
- Jun 18, 2014
- 207
- 220
Naomba kujuzwa, kampuni gani kongwe inamilikiwa na mtanzania na ina miaka mingapi?
Nini sababu za kampuni kudumu muda mrefu?
Nini unapaswa kufanya kurefusha uhai wa kampuni yako?
Nimeona Japan kuna makampuni yana miaka zaidi ya 500. Sisi kampuni kongwe lina miaka mingapi?
Asanteni.
Nini sababu za kampuni kudumu muda mrefu?
Nini unapaswa kufanya kurefusha uhai wa kampuni yako?
Nimeona Japan kuna makampuni yana miaka zaidi ya 500. Sisi kampuni kongwe lina miaka mingapi?
Asanteni.