Hivi inakuaje mwanamke mmeachana halafu hataki akuone upo na mtu mwengine?

Kwanza nimegundua hakuna watu wanaokufwatilia kama ma X wako .

Mwanamke anaweza akawa yeye ndio kataka mvunje mahusiano halafu ikitokea ameona umevuta chombo kipya anapata homa na maneno mengi utayasikia kutoka kwa watu wake wa karibu
Sasa wew hao watu wake wa karb uliaafatilia wa Nini kama naww sio kuwashwa af uje kumsema mwenzio huku , acha umama
 
Kwanza nimegundua hakuna watu wanaokufwatilia kama ma X wako .

Mwanamke anaweza akawa yeye ndio kataka mvunje mahusiano halafu ikitokea ameona umevuta chombo kipya anapata homa na maneno mengi utayasikia kutoka kwa watu wake wa karibu
Ngono ndo tunaiweza bongo
 
Kwanza nimegundua hakuna watu wanaokufwatilia kama ma X wako .

Mwanamke anaweza akawa yeye ndio kataka mvunje mahusiano halafu ikitokea ameona umevuta chombo kipya anapata homa na maneno mengi utayasikia kutoka kwa watu wake wa karibu
Kwa sababu amejua wewe ni poyoyo
 
Mwanamke anapata wapi hizo guts za kusema "hataki kukuona na mtu mwingine"yani akikuona inakuwaje!?anakuwamba makofi au unajificha!?
 
Ni hatari juzi tu nimezushiwa natembea na mama mjamzito na mumewake n afisa elimu mkoani yupo kikazi uwa Kila wikiendi anakuepo na familia yake kiukwel maneno yamefika mpaka nyumbn kwetu baadhi ya ndugu zangu wamenieleza ingawa ni jambo ambalo sio la kweli hata kidogo.🏃🏃🏃
 
Huyo x muite kula, hao wanaokuletea maneno waite kula....na huyo uliempata endelea kula.
 
Back
Top Bottom