We jamaa bana,,,!!Huyo hapo katikati ni nani?
baba yake daudiHuyo hapo katikati ni nani?
Baba BashiteHuyo hapo katikati ni nani?
for what mmeanza kumpampisha tena kama Nnauye, mlimsema wenyewe kuwa amepwaya!! wanafikiMangu is a hero
Kwa sasa hawez kumsumbua kama mwanzo,labda atumwe na anaemtumaga na kumlinda.Kwani unafikiri hapo ndo ataacha kusumbuliwa na bashite!?
Kwa sababu hatabasamu. Kununa nuna tu.Hivi mbona mheshimiwa raisi anazeeka kwa kasi hivi?
Huyu mpya na bashite wote watoto wapendwa kwa babaIla huyu mpya alionewa sana na Bashite bora kapanda cheo maana kila siku alikiwa anamtetea tu
Unajua jamaa amefurah sana kwa kuwa mzee kufanya kazi under pressure ya bila marking schem alafu ufanane majibu na mwalimu wako ni vita..bora ukubali technical sup tu..utambae zako.
Sadist.Kwenu ni rahisi tu kupost vitu ka hivi ila kwa kweli, alimdhalilisha Mangu kha! Wenzake woote mbona hawakufanya hivy?? Kwani Mwema walikalishwa na Mangu?? Pole zake lakini aendelee kungojea nafasi hiyo nyingine.