Hili la kuweka vibao viwili Kwa Nchi Moja Tanzania na Zanzibar limekaaje?

August

JF-Expert Member
Jun 18, 2007
8,983
4,797
Tumeona picha ya ujumbe wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ukiwa katika kikao huko China unavibao viwili. Kimoja kimeandikwa Tanzania na zingine kina wajumbe wameweka Bangor akiwa kibao cha Zanzibar. Hizi ndio Sera ya Nchi yetu sasa, baada ya kupata Waziri Mpya wa Mambo ya Nje au ilikuwepo kabla. Na nini tafsiri yake kimataifa na ndani ya nchi

1725434855515.jpeg
Pia soma:Nchi zilizoungana ni Tanganyika na Zanzibar, kwanini Zanzibar ipo na sisi ni Tanzania bara, kwanini wasioitwe Tanzania Visiwani?
 
Tumeona picha ya ujumbe wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ukiwa katika kikao huko China unavibao viwili. Kimoja kimeandikwa Tanzania na zingine kina wajumbe wameweka Bangor akiwa kibao cha Zanzibar. Hizi ndio Sera ya Nchi yetu sasa, baada ya kupata Waziri Mpya wa Mambo ya Nje au ilikuwepo kabla. Na nini tafsiri yake kimataifa na ndani ya nchi
Km ni kwl basi huyu mama hatauacha huu muungano salama. Tusubiri tuone. Sijawahi kuona ila ndani ya uongozi wa Samia, inawezekana wana ajenda ya siri
 
Tumeona picha ya ujumbe wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ukiwa katika kikao huko China unavibao viwili. Kimoja kimeandikwa Tanzania na zingine kina wajumbe wameweka Bangor akiwa kibao cha Zanzibar. Hizi ndio Sera ya Nchi yetu sasa, baada ya kupata Waziri Mpya wa Mambo ya Nje au ilikuwepo kabla. Na nini tafsiri yake kimataifa na ndani ya nchi
Hii ndiyo unaambiwa "Kusoma hujui, hata picha huoni?"
 
Nathububu kusema ni stage moja, kuelekea kule waasisi walikokukemea!
-ipo haja ya ku format upya muungano, for much strength!,

-Tanganyika ipate na kumiliki ardhi zanzibar, (permanent) alkadhalika zanzibar upate eneo/Ardhi bara!(permanent) .... (kwa ukubwa wa kutosha)

LILE LA KUCHANGANYA MCHANGA LIMEPITWA NA WAKATI KWA SASA LETS GO DEEP!

Hili lita reinforce na kuustawisha umoja wetu

-Bara imiliki miradi zanzibar ya kiubia, na zanzibar imiliki miradi bara mfano, liquidation ya gasi asilia zanzibar imiliki hisa kwa 25%,bara 50% mwekezaji 25%,
.
Haya yatafanya yeyote mwenye hila chafu ashindwe mapema sana, na usiwezekane kuvunjika forever ever!
#mafioso_crocodiletooth
CC, #Ionwe!
 
Niaminivyo mimi, wewe johnthebaptist, tukitoka kwenye mizaha, we ni moja ya vichwa hapa JF. Nashangaa, hili swali 'gumu', umetoa jibu jepesi sana!
Soma Katiba

Ni muungano wa Serikali 2

1. Serikali ya Jamhuri ya Muungano

2. Serikali ya Mapinduzi Zanzibar

Zanzibar ni Nchi ndio sababu Komandoo hakuwahi kuingia Baraza la Mawaziri na Nyerere alikuwepo 😂😂😂😂

Ukiwa na akili za kichama hutaelewa hili
 
Back
Top Bottom