tufahamishane
Member
- Jun 22, 2024
- 28
- 30
Ndugu zangu wa Tanzania tumuombe Mungu aturejeshee Tanzania Yetu tuliyokuwa Mayo
1: Tanzania itakayothamini na kuheshimu utu wa watu wote
2: Tanzania itakayothamini na kuheshimu uhai wa watu
3: Tanzania isiyowazuia watu kuongea na kujadili Hali ya nchi Yao bila hofu ya watu kutekwa
4: Tanzania aliyotuachia mwalimu nyerere
Tunaitaka Tanzania inayoitambua Tanganyika na Zanzibar.
Mungu ibariki Tanzania Yenye Uhuru wa kuongea na kutambua thamani ya uhai
1: Tanzania itakayothamini na kuheshimu utu wa watu wote
2: Tanzania itakayothamini na kuheshimu uhai wa watu
3: Tanzania isiyowazuia watu kuongea na kujadili Hali ya nchi Yao bila hofu ya watu kutekwa
4: Tanzania aliyotuachia mwalimu nyerere
Tunaitaka Tanzania inayoitambua Tanganyika na Zanzibar.
Mungu ibariki Tanzania Yenye Uhuru wa kuongea na kutambua thamani ya uhai