Camilo Cienfuegos JF-Expert Member Apr 23, 2015 18,945 67,564 Dec 22, 2015 #1 Ndio maana wanaongoza ligi pale England Attachments IMG_20151219_194757.jpg 59.3 KB · Views: 1,186 IMG_20151219_194809.jpg 31.6 KB · Views: 1,117 IMG_20151219_194803.jpg 50.7 KB · Views: 1,126
RedDevil JF-Expert Member Apr 30, 2009 2,367 1,523 Dec 22, 2015 #2 Van Gal alitaka kuintroduce hiyo mambo mwaka jana sijui iliishia. Anyway...inawafanya waconcentrate zaidi na zaidi kwenye kile wanachikifanya.
Van Gal alitaka kuintroduce hiyo mambo mwaka jana sijui iliishia. Anyway...inawafanya waconcentrate zaidi na zaidi kwenye kile wanachikifanya.
Rahim Jr JF-Expert Member May 16, 2015 561 281 Dec 22, 2015 #3 dah kwa style hii hawashikiki waha jamaa.....KING POWER
ESCORT 1 JF-Expert Member Dec 7, 2015 1,409 3,028 Dec 22, 2015 #4 Uchawi Hauna Nguvu Kwenye Soka. Hizo Ni Imani Tuu. Mbona Bagamoyo na Sumbawanga Hawana Timu Za Ligi KUU?
Uchawi Hauna Nguvu Kwenye Soka. Hizo Ni Imani Tuu. Mbona Bagamoyo na Sumbawanga Hawana Timu Za Ligi KUU?
C Camp Gilgal JF-Expert Member Dec 13, 2014 4,453 4,591 Dec 22, 2015 #5 Bado game 20 ... EPL bado mbichi mno, Ingekuwa La liga sawa.
Camilo Cienfuegos JF-Expert Member Apr 23, 2015 18,945 67,564 Dec 22, 2015 Thread starter #6 Waroge mpaka mwisho ili wawe mabingwa.
barracks Senior Member Aug 8, 2014 103 25 Dec 22, 2015 #7 chelsea mbona walileta mganga kama Dr baada ya yule dem kusepa lakini bado kipigo kikaendelea kuwatembelea hao mda wao bado wata nyooka tu
chelsea mbona walileta mganga kama Dr baada ya yule dem kusepa lakini bado kipigo kikaendelea kuwatembelea hao mda wao bado wata nyooka tu
myoyambendi JF-Expert Member Sep 13, 2013 165,432 702,779 Dec 22, 2015 #8 ESCORT 1 said: Uchawi Hauna Nguvu Kwenye Soka. Hizo Ni Imani Tuu. Mbona Bagamoyo na Sumbawanga Hawana Timu Za Ligi KUU? Click to expand... nani kakwambia kuna uchawi wa mpira bagamoyo na sumbawanga? uchawi una aina zake, mvua,misukule, mpira, pesa,biashara nk, uchawi ni tasnia pana.......
ESCORT 1 said: Uchawi Hauna Nguvu Kwenye Soka. Hizo Ni Imani Tuu. Mbona Bagamoyo na Sumbawanga Hawana Timu Za Ligi KUU? Click to expand... nani kakwambia kuna uchawi wa mpira bagamoyo na sumbawanga? uchawi una aina zake, mvua,misukule, mpira, pesa,biashara nk, uchawi ni tasnia pana.......
Jidu JF-Expert Member Mar 9, 2011 1,232 756 Dec 22, 2015 #9 Kumbe kwenye Uganga wa Jadi kuna UBOBEZI!
Zekidon JF-Expert Member May 29, 2013 1,903 568 Dec 22, 2015 #11 wazungu wachawi balaa wametuloga ndio maana wanatutawala mpaka leo.