Hii nchi ina watu wenye ufahamu mdogo sana. Wasomi kwa wajinga. Nitatoa mfano mmoja au miwili tu.

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Apr 7, 2020
13,904
40,005
2018 kuna binti aliajiriwa kazini kwetu, ile first appointment.
Binti alikuwa anakuja kazini kwa daladala na kurudi kwa daladala.
Mshahara wake ulikuwa 700k ukiweka na posho ilikuwa kama 900k.
Kwakuwa alikuwa kitengo chenye mianya ya pesa nyingi na ninaijua michezo michafu yote ndani ya ofisi ile nikasema huyu binti hamalizi miezi 2 ataachana na daladala. Kweli muda mfupi akawa anakuja na boda asubuhi na jioni anarudi na boda. Kuja kazini na kurudi kwa siku alikuwa anatumia 20k baada ya wiki chache akaanza kukodi bajaji na tax, hivyo usafiri ulimgharimu sh. 30-40 kwa siku.
Baada ya miezi michache akaanza kupitia VETA alfajiri kujifunza gari. Amemaliza tu akavuta CROWN kipindi kile ilikuwa ikicheza 17 -20 million.
Wafanyakazi wakasema huyu binti kwao mboga 7, wana pesa.
Kama kwao wana pesa kwanini hakuja akiwa anajua gari?
Kwanini alipanda daladala na mwishowe kabla ya kumaliza mwaka akanunua gari?
Kwanini hakuja kuanza kazi akiwa na gari?
Kwanini nimeleta hii mada?
Mdau mmoja leo wakati tunajadili kuhusu utajiri wa NIFFER ambaye amesema kuwa alianza na mtaji wa elfu 40 na sasa ni tajiri.
Mdau akasema NIFFER ni wakishua tangu zamani, akimaanisha utajiri kaukuta kwa familia yake.
Je, Binti aliyetoka familia tajiri anaweza kupata wazo la kufanya biashara ya mtaji wa elfu 40?
Watoto wa matajiri mlimani city shopping wanabeba laki 5 mpaka millioni au zaidi na inaisha siku moja tu kununua vitu vidogovidogo.
Watanzania uwezo wao wa kufikiri ni mdogo sana
 
The higher the income the higher the expenditure na kinyume chake. Uchunguzi wa takukuru kwenye ofisi uwa haunzii mbali ni mambo madogo madogo kama hayo. Sema kwakuwa ni binti anaweza kusema anaogwa.
 
Mtoa mada umeshindwa kuonyesha ufahamu mdogo katika nini?

Je kwamba binti ni mwizi au sio mwizi?

Au kwamba tunaamin mafanikio yanapatikana kwa mda mchache?

Ebu eleza shida iko wapi?
 
Kwenye kile kitabu cha the psychology of money kuna pahala ndugu Morgan alisema hivi

"Kupata pesa kunahitaji kuchukua hatari, kuwa na matumaini, na kujiweka hapo.

Lakini kutunza pesa kunahitaji kinyume cha kuchukua hatari.

Kwamba inahitaji unyenyekevu, na hofu kwamba kile ambacho umetengeneza kinaweza kuchukuliwa kutoka kwako kwa haraka.

Kwahiyo unahitaji kuishi kwa gharama nafuu na kukubali kwamba angalau baadhi ya yale ambayo umefanya yanatokana na bahati, kwa hivyo mafanikio ya nyuma hayawezi kutegemewa kujirudia kwa haraka wakati utakapo yapoteza".

kwahiyo inawezekana huyo kuanza na elfu 40 kwa maana yote yanategemea utofauti wa mtu na mtu kwa namna anavyoichukulia pesa na mafanikio kwake ni nini, ndio maana kuna sehemu nyingine anasema kwamba hakuna mtu anaetumia pesa vizuri au anaetumia pesa vibaya isipokua uzuri na ubaya wa hayo matumizi ya pesa unatokana na malezi ambayo mtu ametokea.

kwa maana mtu ambae amekulia Kwenye familia yenye ukwasi wa kutosha matumizi yake ya pesa hayawezi kuwa sawa na aliyetokea Kwenye maisha ya chini.
 
2018 kuna binti aliajiriwa kazini kwetu, ile first appointment.
Binti alikuwa anakuja kazini kwa daladala na kurudi kwa daladala.
Mshahara wake ulikuwa 700k ukiweka na posho ilikuwa kama 900k.
Kwakuwa alikuwa kitengo chenye mianya ya pesa nyingi na ninaijua michezo michafu yote ndani ya ofisi ile nikasema huyu binti hamalizi miezi 2 ataachana na daladala. Kweli muda mfupi akawa anakuja na boda asubuhi na jioni anarudi na boda. Kuja kazini na kurudi kwa siku alikuwa anatumia 20k baada ya wiki chache akaanza kukodi bajaji na tax, hivyo usafiri ulimgharimu sh. 30-40 kwa siku.
Baada ya miezi michache akaanza kupitia VETA alfajiri kujifunza gari. Amemaliza tu akavuta CROWN kipindi kile ilikuwa ikicheza 17 -20 million.
Wafanyakazi wakasema huyu binti kwao mboga 7, wana pesa.
Kama kwao wana pesa kwanini hakuja akiwa anajua gari?
Kwanini alipanda daladala na mwishowe kabla ya kumaliza mwaka akanunua gari?
Kwanini hakuja kuanza kazi akiwa na gari?
Kwanini nimeleta hii mada?
Mdau mmoja leo wakati tunajadili kuhusu utajiri wa NIFFER ambaye amesema kuwa alianza na mtaji wa elfu 40 na sasa ni tajiri.
Mdau akasema NIFFER ni wakishua tangu zamani, akimaanisha utajiri kaukuta kwa familia yake.
Je, Binti aliyetoka familia tajiri anaweza kupata wazo la kufanya biashara ya mtaji wa elfu 40?
Watoto wa matajiri mlimani city shopping wanabeba laki 5 mpaka millioni au zaidi na inaisha siku moja tu kununua vitu vidogovidogo.
Watanzania uwezo wao wa kufikiri ni mdogo sana
Watz hasa wanawake wengi wanaliwa kwa akili ndogo.

Masogange alikuwa anasema anapiga pesa kwenye usanii na music, but we all no the end justified the meaning.

Jana tu Msaanii ambaye anasema analipwa 100M kwa deal moja amedakwa mahakamani kwa madeni.

Watu wengi wanashadadia taarifa za uongo na ukijaribu kuwaelekeza wanakuona weww mdwani una akili za kimaskini.

Tabia hizi zimepelekea udangaji mwingi, mashoga na wakujiuza ili kupata mali kama fulani.

Vipi Uwoya bado anaenda Uturki kununua mizigo ya bishara? What went wrong?

Hawa wametuharibia dada zetu wanaowafata stori za uongo mitandaoni.

Vipi yule Dada wa Goba aliyepigwa visu na Josef Msukuma si walikuwa wanasema hivyo hivyo alianza biashara kwa mtaji wa Miatano?
 
A
2018 kuna binti aliajiriwa kazini kwetu, ile first appointment.
Binti alikuwa anakuja kazini kwa daladala na kurudi kwa daladala.
Mshahara wake ulikuwa 700k ukiweka na posho ilikuwa kama 900k.
Kwakuwa alikuwa kitengo chenye mianya ya pesa nyingi na ninaijua michezo michafu yote ndani ya ofisi ile nikasema huyu binti hamalizi miezi 2 ataachana na daladala. Kweli muda mfupi akawa anakuja na boda asubuhi na jioni anarudi na boda. Kuja kazini na kurudi kwa siku alikuwa anatumia 20k baada ya wiki chache akaanza kukodi bajaji na tax, hivyo usafiri ulimgharimu sh. 30-40 kwa siku.
Baada ya miezi michache akaanza kupitia VETA alfajiri kujifunza gari. Amemaliza tu akavuta CROWN kipindi kile ilikuwa ikicheza 17 -20 million.
Wafanyakazi wakasema huyu binti kwao mboga 7, wana pesa.
Kama kwao wana pesa kwanini hakuja akiwa anajua gari?
Kwanini alipanda daladala na mwishowe kabla ya kumaliza mwaka akanunua gari?
Kwanini hakuja kuanza kazi akiwa na gari?
Kwanini nimeleta hii mada?
Mdau mmoja leo wakati tunajadili kuhusu utajiri wa NIFFER ambaye amesema kuwa alianza na mtaji wa elfu 40 na sasa ni tajiri.
Mdau akasema NIFFER ni wakishua tangu zamani, akimaanisha utajiri kaukuta kwa familia yake.
Je, Binti aliyetoka familia tajiri anaweza kupata wazo la kufanya biashara ya mtaji wa elfu 40?
Watoto wa matajiri mlimani city shopping wanabeba laki 5 mpaka millioni au zaidi na inaisha siku moja tu kununua vitu vidogovidogo.
Watanzania uwezo wao wa kufikiri ni mdogo sana
Au ni demu wako amekuzingua????
 
2018 kuna binti aliajiriwa kazini kwetu, ile first appointment.
Binti alikuwa anakuja kazini kwa daladala na kurudi kwa daladala.
Mshahara wake ulikuwa 700k ukiweka na posho ilikuwa kama 900k.
Kwakuwa alikuwa kitengo chenye mianya ya pesa nyingi na ninaijua michezo michafu yote ndani ya ofisi ile nikasema huyu binti hamalizi miezi 2 ataachana na daladala. Kweli muda mfupi akawa anakuja na boda asubuhi na jioni anarudi na boda. Kuja kazini na kurudi kwa siku alikuwa anatumia 20k baada ya wiki chache akaanza kukodi bajaji na tax, hivyo usafiri ulimgharimu sh. 30-40 kwa siku.
Baada ya miezi michache akaanza kupitia VETA alfajiri kujifunza gari. Amemaliza tu akavuta CROWN kipindi kile ilikuwa ikicheza 17 -20 million.
Wafanyakazi wakasema huyu binti kwao mboga 7, wana pesa.
Kama kwao wana pesa kwanini hakuja akiwa anajua gari?
Kwanini alipanda daladala na mwishowe kabla ya kumaliza mwaka akanunua gari?
Kwanini hakuja kuanza kazi akiwa na gari?
Kwanini nimeleta hii mada?
Mdau mmoja leo wakati tunajadili kuhusu utajiri wa NIFFER ambaye amesema kuwa alianza na mtaji wa elfu 40 na sasa ni tajiri.
Mdau akasema NIFFER ni wakishua tangu zamani, akimaanisha utajiri kaukuta kwa familia yake.
Je, Binti aliyetoka familia tajiri anaweza kupata wazo la kufanya biashara ya mtaji wa elfu 40?
Watoto wa matajiri mlimani city shopping wanabeba laki 5 mpaka millioni au zaidi na inaisha siku moja tu kununua vitu vidogovidogo.
Watanzania uwezo wao wa kufikiri ni mdogo sana
wewe nae uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana yaani bandiko loote hili kumbe nia ni kumuongelea niffer na pesa zake tena mtoto wa kike uoni aibu..!
 
Wewe na hao jamaa zako mmepata wapi muda wa kuwajadili watu wa aina hiyo uliowataja?
 
Back
Top Bottom