Hii mitandao kama 'Tinder' na 'Badoo' inaweza kutumika bila malipo? Maana siwezi hata kutuma meseji

sky soldier

JF-Expert Member
Mar 30, 2020
5,407
19,292
Leo katika kuchezea chezea simu nimekutana na mitandao ya kujuana, kuwa marafiki, kupeana kampani na hata kutafuta wapenzi.

Sasa nmeingiza app inaitwa badoo, tagged na tinder zote naona bila malipo ni sawa na kutoweza kuzitumia.

Unakuta unataka umtumie mtu meseji inakwambia ulipie elf 30 kwa mwezi, Hii ni tofauti na nilivyodhani.

Au nyie huwa mnatumiaje, Je kuna mbadala?
 
Mimi kama mwanaume rijali siwezi kuweka picha ya mwanamke kihivyo .

Wewe kama ushawahi kutumia tinder utaelewa ninachokimaanisha
Ni kweli kabisa mkuu, ni vile huwezi kuweka picha ya mtu yani kuna mademu wakali wanajiuza. Yani asilimia 99 ya mademu niliwahi kuchat nao kule wanajiuza. Yani hadi najiuliza unakuta huyu demu wa mtu hajui kuwa demu wake anajiuza.
 
Umalaya una gharama Sana

Kulipia mtandao 30k Demu mkali 50k Usafiri Juu yako chakula na malazi 30 kwako ukija kupiga total cost 150K yote hiyo anaenda kuvuna asiyejua kupanda
Sijawahi kulipia hata 50 huko tinder ni mwendo wa kulika na kulike back mki match mnaendana... sasa kuna mmoja unaitwa escort kule kuna madada wanajiuza hadi wana mikoko anakufuata tu ulipo
 
Sijawahi kulipia hata 50 huko tinder ni mwendo wa kulika na kulike back mki match mnaendana... sasa kuna mmoja unaitwa escort kule kuna madada wanajiuza hadi wana mikoko anakufuata tu ulipo
Gharama ya tendo ni shingapi?
 
Umalaya una gharama Sana

Kulipia mtandao 30k Demu mkali 50k Usafiri Juu yako chakula na malazi 30 kwako ukija kupiga total cost 150K yote hiyo anaenda kuvuna asiyejua kupanda
Pesa pia ni ya kutumia ili u enjoy.
Sio wewe ni kuwekeza tu na mali huku unasahau kuupa raha mwili wako.

#YNWA
 
Back
Top Bottom