Hii ikoje: Analogi to digitali

Paul S.S

JF-Expert Member
Aug 27, 2009
6,407
3,262
Nimekuwa nasikia kipindi sasa kuwa mfumo wetu wa kurusha matangazo kwa televisheni upo katika mchakato wa kupadilika kutoka analogi tulio nao sasa kwenda mfumo mpya wa digital, mfumo utakaofanya tv tunazo tumia sasa kushindwa kupokea mawimbi ya digitali kwavile tv hizi hupokea mawimbi ya analogi tu.
Na ukipita maduka ya kielektroniki utakuta tv hizi zinazidi kushuka bei kadri siku zinavyo kwenda.
Tume ya mawasiliano imeweka muda maalum kwa tv stasheni kuhakikisha hadi muda huo ziwe tayari kurusha digitali na si analogi tena.
Hebu nitoeni ushamba kidogo mbona tv hizi tukiwa na ving'amuzi tunakula machaneli ya nje kama cnn, supa spoti, bbc, emnet nk, kwa kutumia tv hizi hizi? hii inamaana wenzetu nao bado wanatumia analogi.
Napata shida kidogo kuelewa hasa baada ya kusikia tusinunue tena tv hizi kwani muda mfupi ujao zitageuka mabox yasio na kazi
 
CHIZICOMPUTER
0712484995
edjizzo@yahoo.com
digital ni mfumo wa usafilishaji ambao una tumia kiwango kikubwa cha technology ambao unasoma moja na zilo.
analog ni mfumo wa usafilishaji ambao utumia kiwango kidogo cha technology ambao usafirisha kwa mawimbi.

kwanini wa nafanya hivyo
kama utakuwa ume soma physics .mawambi ya range ambazo uzalisha vitu vingi mpaka na mifumo yote
kwa hiyo vyombo vimekuwa vingi ambavyo vina tumia mfumo huu na uleta interfiaRENCE ata uvuruga
kwa chama cha technology uko marekani na dunia kime amua mambo mengi ya ingie kwenye mfumo wa digital
kama itv leo ikiingia kwenye digital system kesho utaweza kuiona ata kwenye internet na popote
 
CHIZICOMPUTER
0712484995
edjizzo@yahoo.com
digital ni mfumo wa usafilishaji ambao una tumia kiwango kikubwa cha technology ambao unasoma moja na zilo.
analog ni mfumo wa usafilishaji ambao utumia kiwango kidogo cha technology ambao usafirisha kwa mawimbi.

kwanini wa nafanya hivyo
kama utakuwa ume soma physics .mawambi ya range ambazo uzalisha vitu vingi mpaka na mifumo yote
kwa hiyo vyombo vimekuwa vingi ambavyo vina tumia mfumo huu na uleta interfiaRENCE ata uvuruga
kwa chama cha technology uko marekani na dunia kime amua mambo mengi ya ingie kwenye mfumo wa digital
kama itv leo ikiingia kwenye digital system kesho utaweza kuiona ata kwenye internet na popote
We dogo una idea, mi si mtaalamu wa hii maneno, lakini uwasilishaji wako unayumba!...hujatulia.
 
CHIZICOMPUTER
0712484995
edjizzo@yahoo.com
digital ni mfumo wa usafilishaji ambao una tumia kiwango kikubwa cha technology ambao unasoma moja na zilo.
analog ni mfumo wa usafilishaji ambao utumia kiwango kidogo cha technology ambao usafirisha kwa mawimbi.

kwanini wa nafanya hivyo
kama utakuwa ume soma physics .mawambi ya range ambazo uzalisha vitu vingi mpaka na mifumo yote
kwa hiyo vyombo vimekuwa vingi ambavyo vina tumia mfumo huu na uleta interfiaRENCE ata uvuruga
kwa chama cha technology uko marekani na dunia kime amua mambo mengi ya ingie kwenye mfumo wa digital
kama itv leo ikiingia kwenye digital system kesho utaweza kuiona ata kwenye internet na popote

Mkuu nashukuru kwa ufafanuzi wako wa kitaalamu.
Tatizo langu mimi sielewi tu kuwa inabidi tutupe tv tulizo nazo ili tununue nyingine kupata hayo mawimbi ya digitali.
Swali kwanini tunadaka kupitia ving'amuzi chaneli za mbele kama cnn, bbc, ss, mnet nk,
Ndio nauliza inamaana nawao bado wanatumia analogi.
Kwataarifa nilizonazo ni kuwa wenzetu waliisha ingia ktk digitali kitambo
 
Siku hizi hata castle lager zaitwa ANALOGY wakati castle light ni DIGITAL.
 
CHIZICOMPUTER
0712484995
edjizzo@yahoo.com
digital ni mfumo wa usafilishaji ambao una tumia kiwango kikubwa cha technology ambao unasoma moja na zilo.
analog ni mfumo wa usafilishaji ambao utumia kiwango kidogo cha technology ambao usafirisha kwa mawimbi.


kama itv leo ikiingia kwenye digital system kesho utaweza kuiona ata kwenye internet na popote

Mtaalam nadhani uantaka utoa maelezo sahii lakini unakosea.

  • Kwamba digital techology inatumia kiwango kikubwa cha teknology kuliko Analog ni kauli tata.. Tumia maneno ya kitaalama ikiwezana changanya tu lugha tumia kizungu inawezekana unachotaka kusema hakiko katika kiswahili

  • Kwamba digital teknology inarekodi picha,sauti nad ata zote katika 0's na 1's ni kweli na kwamba Analog inarekodi data kaika mawaimbi inawezekana ni kweli.lakini hata hizo digital za 0's and 1's kumfikia mtazamaji lazima zisafiri kwenye mawimbi .kwa hiyo iwe ni digital au ni analog lazima itumie mawimbi ( wave) katika frequency( masafa) fulani kusafiri kutoka kwenye transmitter mpaka kwa TV receiver(mtumiaji)

  • Pia nadhani hata TV za analog zinaweza kupokea digital cast ikiwa tu wahusika watapeleka kwa wataalamu zifungwe kifaa maalum kama Modem/ corverter box au wenye TV za analog watatakiwa kununua kifaa hiki ambacho kabla mawimbi hayajaingia kwenye TV yanabadilishwa katika format inayoeleweka na TV.

  • Kwamba kuona TV kwenye internet au web mpaka iwe ina rusha/transmit matangazo yake lkwa digital sio kweli. streaming ya TV/radio kwenye web ni kitu tofauti kabisa haitegemei format ya matangazo yanayorushwa. ITV , TBCwakimuana kama wana utashi wa matangazo yao kkutaka kuonekna kwenye web wanaweza. labda ni gharama tu za bandwidth zinawatatiza na sio digital.

tembelea HowStuffWorks "Search" usome article mbali mbali ujue tofauti zaidi.
 
Mtaalam nadhani uantaka utoa maelezo sahii lakini unakosea.

  • Kwamba digital techology inatumia kiwango kikubwa cha teknology kuliko Analog ni kauli tata.. Tumia maneno ya kitaalama ikiwezana changanya tu lugha tumia kizungu inawezekana unachotaka kusema hakiko katika kiswahili

  • Kwamba digital teknology inarekodi picha,sauti nad ata zote katika 0's na 1's ni kweli na kwamba Analog inarekodi data kaika mawaimbi inawezekana ni kweli.lakini hata hizo digital za 0's and 1's kumfikia mtazamaji lazima zisafiri kwenye mawimbi .kwa hiyo iwe ni digital au ni analog lazima itumie mawimbi ( wave) katika frequency( masafa) fulani kusafiri kutoka kwenye transmitter mpaka kwa TV receiver(mtumiaji)

  • Pia nadhani hata TV za analog zinaweza kupokea digital cast ikiwa tu wahusika watapeleka kwa wataalamu zifungwe kifaa maalum kama Modem/ corverter box au wenye TV za analog watatakiwa kununua kifaa hiki ambacho kabla mawimbi hayajaingia kwenye TV yanabadilishwa katika format inayoeleweka na TV.

  • Kwamba kuona TV kwenye internet au web mpaka iwe ina rusha/transmit matangazo yake lkwa digital sio kweli. streaming ya TV/radio kwenye web ni kitu tofauti kabisa haitegemei format ya matangazo yanayorushwa. ITV , TBCwakimuana kama wana utashi wa matangazo yao kkutaka kuonekna kwenye web wanaweza. labda ni gharama tu za bandwidth zinawatatiza na sio digital.

tembelea HowStuffWorks "Search" usome article mbali mbali ujue tofauti zaidi.

Still confused.
Nilimsikia aden rage kama mjumbe wa hiyo kitu akisema watu wapewe taarifa kuacha kununu tv analog maana punde yatakuwa mazalia ya mende
 
Still confused.
Nilimsikia aden rage kama mjumbe wa hiyo kitu akisema watu wapewe taarifa kuacha kununu tv analog maana punde yatakuwa mazalia ya mende

Ni sawa aden rage kuwshauri watu wanaonunua TV sasa hivi kuelezwa hivyo lakini naamin baada ya kusoma kuna Teknolojia inayoweza kuzifanya hata hizo zinazoitwa analog TV ziendelee kupokea mataganzo ya Digital. kama umepata muda wa kubofya hiyo link niliyokupa juu thea utaelewa. kwa hiyo si sahihi kusema Tv za analog zitakuwa mazalia ya mende

  • Changing signal from digital to analog au analog to dgital ni teknolojia ipo siku nyingi.

  • Kwenye kompyuta utakuwa unasikiasikia kifaa kinaitwa Modem (modulator/demodulator) Uki google utaona kazi yake hasa ni kubadlisa signal za digital kwenda analog au ananalog kwenda digital. Soma maelezo haya utaelewa zaidi What is modem? - A Word Definition From the Webopedia Computer Dictionary. Inagwa mfano huu unaongelea interface kati ya kompyuta na modem nadhani kuna njia ipo kuunganisha/kuinterface kifaa aina modem na TV
So naamin hata kwenye TV za analog kifaa cha aina hii kinaweza kusaidia hizo Tv za analog kupokea matangazo ya Digital na kuendelea kutumika japo wanaotumia TV hizo za analog hawata faidi ubora kama ule wa digital
 
Je katika kununua Radio au TV unashauri nini?

Mnunuzi inatakiwa azingatie nini ili Radio yake Au TV yake iweze kushika network za Digital?
 
Ni sawa aden rage kuwshauri watu wanaonunua TV sasa hivi kuelezwa hivyo lakini naamin baada ya kusoma kuna Teknolojia inayoweza kuzifanya hata hizo zinazoitwa analog TV ziendelee kupokea mataganzo ya Digital. kama umepata muda wa kubofya hiyo link niliyokupa juu thea utaelewa. kwa hiyo si sahihi kusema Tv za analog zitakuwa mazalia ya mende

  • Changing signal from digital to analog au analog to dgital ni teknolojia ipo siku nyingi.

  • Kwenye kompyuta utakuwa unasikiasikia kifaa kinaitwa Modem (modulator/demodulator) Uki google utaona kazi yake hasa ni kubadlisa signal za digital kwenda analog au ananalog kwenda digital. Soma maelezo haya utaelewa zaidi What is modem? - A Word Definition From the Webopedia Computer Dictionary. Inagwa mfano huu unaongelea interface kati ya kompyuta na modem nadhani kuna njia ipo kuunganisha/kuinterface kifaa aina modem na TV
So naamin hata kwenye TV za analog kifaa cha aina hii kinaweza kusaidia hizo Tv za analog kupokea matangazo ya Digital na kuendelea kutumika japo wanaotumia TV hizo za analog hawata faidi ubora kama ule wa digital

Thanx
Angalau umenipa mwanga mkuu baada ya kupitia pitia hizo link.
Nadhani hii ni kwa televisheni pekee na si radio.
Lakini kaswali kangu kakujua kama akina cnn,mnet,ss na wengineo nao bado wanatumia analogi sijapata ufafanuzi wake.
 
hivi umu ni wana science na technology au wazinguaji sizani kama mtu ana eleweshwa alafu anashindwa kuelewa sijui mbebeke vp
 
hivi umu ni wana science na technology au wazinguaji sizani kama mtu ana eleweshwa alafu anashindwa kuelewa sijui mbebeke vp

Mkuu ni post hii imekufanya uage jf?
Hapa nadhani tunafahamishana tu wala huna haja ya kusema uliyosema.
Unaweza ukawa unajua kitu lakini pengine hujampata vizuri muulizaje ukajibu jibu sahihi lakini si alilouliza muulizaji.
Mkuu challenge ni sehemu ya maisha huna haja ya kukasirika hadi kufikia kujitoa jf sababu tu umedhani "unazinguliwa".
Mimi hapa swali langu la msingi ilikuwa ni kwanini tume inadai hatutatumia tena tv zetu kwakuwa zinadaka mawimbi ya analogi pekee wakati huo huo kwa kutumia tv hizi hizi tunadaka tv za mbele ambazo tunaambiwa waliishaanza kutumia digitali kitambo?.
Ulichojibu wewe ni kueleza jinsi mifumo hii ilivyo kitaalamu kitu amnacho sio kibaya. Lakini hujajibu swali la msingi kwanini tunadaka cnn,bbc nk kwa kutumia analogi tv wakati wao wanatumia digitali.
Nilitegemea majibu kama labda nawao bado wanatumi analogi, au mitambo yao inarusha vyote viwili and something like that.
Punguza hasira mkuu mchango wako bado tunauhitaji huna sababu ya kuondoka jf, utaenda wapi palipo bora kama hapa
 
Thanx
Angalau umenipa mwanga mkuu baada ya kupitia pitia hizo link.
Nadhani hii ni kwa televisheni pekee na si radio.
Lakini kaswali kangu kakujua kama akina cnn,mnet,ss na wengineo nao bado wanatumia analogi sijapata ufafanuzi wake.

Kakasina uhakikakamakina CNN ESPN wanatumia analog au wanatumia digital.

But matangazo ya CNN au BBC hayawezi kumfikia mtazania moja kwa moja. Ni ama

  • Lazina awe na satelite dish Dish nje pamoja na decder ndani kama
  • Au matangazo ya CNN na BBC yatamfikia mtazamaji asiye na Dish kama yatarushwa na vituovya lcal kama ITV.
So kwa upande mwingine hata ITV hawezi ku retrasmit matangazo ya CNN kama ITV wenyewe hawana Satelite Dish. So ukiona unapata CCNN bila dish ni sababu ITV wanalo dish na wanachofana nikuretrasmit.

So hata matangazo ya CNN, BBC ESPN yangekuwa kwenye digital bado yangemfikia mteja anayetumia anlog TV sababu katika katikati kuna teknolojia za satelite . Naamin within satelite dish kuna vifaa vya ku decode mawimbi kutoka digital kwenda analog.

kama nilivyokuambia pata muda usome article zote nilizokupa pale juu jamaa wamejitahidi kutoa picha kamili
HowStuffWorks "Introduction to How Satellite TV Works"

Kwa hiyo jibu rahisi ni kuwa tunaona CNN na BBC ingawa zinatangaza kwe digital sababu hatupokei matangazo/ mawimbi ya matangazo yao moja kwa moja. Kuna vifaa kati kati vinavyochakachuakatika format inayokubalika kwenye TV zetu

Cheki na hii video clip


paulss Maswali yako yamenifanya pia nielimike zaidi ya kile nilickuwa ninajua
 
Last edited by a moderator:
kama unatumia DSTV au Cable Tayari hiyo ni digital thats why unaangalia, CNN na Channels nyingine hiyo Box yako inaweza ku-convert hizo digital signal hata analog TV yako ikafanya kazi more info angalia hii extract
How does it work?
Digital signals are transmitted as a long (long, long, long) series of zeros and ones - it may be useful to think of these digits as representing a switch, with a value of one representing 'on' and a zero 'off'. The sequence of these digits determines the information that is being transmitted. Of course, you need a device at either end that understands the code that is transmitted, and this is the encoder and decoder. Older televisions do not ‘speak' the digital language, and they may need assistance in the form of a digital decoder (‘set-top box' or 'freeview box') to be able to use it.
Analogue TV works well enough, why change it? How does digital TV improve what I'm watching?
Digital signals can be transmitted much more efficiently than analogue signals; not only can more information be sent in the same period of time, we can also make sure that the picture and audio received is of a much higher quality. Digital TV means elimination of interference, ghosting, rolling pictures and all other symptoms of an insufficient signal.
You're not going to receive anything markedly different, and if all you want to do is to watch the same channels that you watched before, then that's fine (but you'll be watching them with better quality picture, sound and additional information available at a finger-click). The ability of digital TV to carry and translate so much more information though, means that you'll also be able to receive many more channels; many additional channels are free of charge and you're absolutely entitled to watch these without paying a penny.
Will I lose any of the channels I'm used to seeing?
Absolutely not. This is a bona fide improvement. There is no government spin surrounding digital TV - it is better! You'll only be gaining once you switch.
Do I need expensive new equipment?
No expensive equipment is needed. In fact, many televisions and households are already digitally enabled; if you bought a TV recently then it is likely that you won't need any additional equipment at all (check for the digital ‘tick' indicating compatibility).
If you're watching TV on older equipment, then don't worry. A set-top box is all you need to convert your equipment to be digital TV compatible. These set-top boxes are inexpensive, and can be bought at most shops selling electronic goods; many internet stores have excellent deals and they'll deliver right to your house.
Final Word
It's inexpensive (and may be free, depending on the equipment you already own), it's beneficial, and it's easy. The digital switchover will mean that changing your equipment eventually will be a necessity, but there really is no need to wait that long. The benefits can be enjoyed now. Why not?
 
Kakasina uhakikakamakina CNN ESPN wanatumia analog au wanatumia digital.

But matangazo ya CNN au BBC hayawezi kumfikia mtazania moja kwa moja. Ni ama

  • Lazina awe na satelite dish Dish nje pamoja na decder ndani kama
  • Au matangazo ya CNN na BBC yatamfikia mtazamaji asiye na Dish kama yatarushwa na vituovya lcal kama ITV.
So kwa upande mwingine hata ITV hawezi ku retrasmit matangazo ya CNN kama ITV wenyewe hawana Satelite Dish. So ukiona unapata CCNN bila dish ni sababu ITV wanalo dish na wanachofana nikuretrasmit.

So hata matangazo ya CNN, BBC ESPN yangekuwa kwenye digital bado yangemfikia mteja anayetumia anlog TV sababu katika katikati kuna teknolojia za satelite . Naamin within satelite dish kuna vifaa vya ku decode mawimbi kutoka digital kwenda analog.

kama nilivyokuambia pata muda usome article zote nilizokupa pale juu jamaa wamejitahidi kutoa picha kamili
HowStuffWorks "Introduction to How Satellite TV Works"

Kwa hiyo jibu rahisi ni kuwa tunaona CNN na BBC ingawa zinatangaza kwe digital sababu hatupokei matangazo/ mawimbi ya matangazo yao moja kwa moja. Kuna vifaa kati kati vinavyochakachuakatika format inayokubalika kwenye TV zetu

Point noted mkuu.
Nikweli kabisa huwezi kuona cnn direct without king'amuzi or through local tv station.
Sasa nakubaliana na wewe kuwa inawezekana king'amuzi kikawa kinafanya hiyo kazi ya kutoa analogi kuleta digitali
 
Point noted mkuu.
Nikweli kabisa huwezi kuona cnn direct without king'amuzi or through local tv station.
Sasa nakubaliana na wewe kuwa inawezekana king'amuzi kikawa kinafanya hiyo kazi ya kutoa analogi kuleta digitali

Obvious thats what it does sababu (vingamuzi) DSTV, na Cables tayari mfumo ni Digital
 
Kuendeleza mjadala kwa manufaa ya kuelimika tujiulize zaidi

Whats are techinical and functionlity differences between MODEM and DECODER or CODEC

Nawasilisha
 
Kuendeleza mjadala kwa manufaa ya kuelimika tujiulize zaidi

Whats are techinical and functionlity differences between MODEM and DECODER or CODEC

Nawasilisha

demodulator - modulator inabadilisha data kwenda kwenye audio ili ipite kwenye waya za simu...... and vice versa thats why kama unatumia dial - up unahitaji modem ili utumia mfumo kwa Simu...

decoder / encoder - kama information (data) ikiwa coded unahitaji codecs ili iweze kuifungua (decoder) ili iweze kusomeka na device fulani mfano kwenye players utahitaji codecs za VLC player ili uweze kucheza movie iliyotengenezwa na VLC kwenye player nyingine mfano Windows player

Codecs njia iliyotumika kutengeza data compression ili file kubwa kulifanya liwe dogo... mfano in music na video, mp3 ni compression ya juu kuliko .wav kwahiyo mp3 ina compression/decompression tofauti lets say na ile ya .vlc
 
demodulator - modulator inabadilisha data kwenda kwenye audio ili ipite kwenye waya za simu...... and vice versa thats why kama unatumia dial - up unahitaji modem ili utumia mfumo kwa Simu...

decoder / encoder - kama information (data) ikiwa coded unahitaji codecs ili iweze kuifungua (decoder) ili iweze kusomeka na device fulani mfano kwenye players utahitaji codecs za VLC player ili uweze kucheza movie iliyotengenezwa na VLC kwenye player nyingine mfano Windows player

Codecs njia iliyotumika kutengeza data compression ili file kubwa kulifanya liwe dogo... mfano in music na video, mp3 ni compression ya juu kuliko .wav kwahiyo mp3 ina compression/decompression tofauti lets say na ile ya .vlc

Ok nimekupata lakini unaposema Modem inabadilisha data kwenye Audio naona unapotosha kabisa. Modem is about data .Modulation and demodulation ya data inaweza kuwa in form of ( Voice,Video, character)

Uko sahihi lakini naona mifano yako inaendanana tenolojia za zamani sasa hivi tuna wireless Modem. Sasa ukisema data zipite kwenye wire za simu pia unanitatiza

Sasa swali Decoder kama ya DSTV inatumi compression technology gani kwenye picha na sauti
 
demodulator - modulator inabadilisha data kwenda kwenye audio ili ipite kwenye waya za simu...... and vice versa thats why kama unatumia dial - up unahitaji modem ili utumia mfumo kwa Simu...

decoder / encoder - kama information (data) ikiwa coded unahitaji codecs ili iweze kuifungua (decoder) ili iweze kusomeka na device fulani mfano kwenye players utahitaji codecs za VLC player ili uweze kucheza movie iliyotengenezwa na VLC kwenye player nyingine mfano Windows player

Codecs njia iliyotumika kutengeza data compression ili file kubwa kulifanya liwe dogo... mfano in music na video, mp3 ni compression ya juu kuliko .wav kwahiyo mp3 ina compression/decompression tofauti lets say na ile ya .vlc



Maelezo rahisi:

Decoder:- An apparatus/hardware used to un-scramble/restore scrambled DIGITAL signals (Radio or TV).

Codec (Coder+Encoder ):-Software algorithm that is used to convert ANALOGUE voice/video signal into DIGITAL and vice-versa. Codecs vary in complexity, the more complex algorithm, the better the voice/video quality but the higher the latency caused by by longer signal processing time.
 
Back
Top Bottom