ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 65,830
- 75,145
Tabora ni kwasababu ya tumbaku kupanda bei katika miaka ya hivi karibuniKwa Mujibu wa Takwimu za NBS za mwaka 2023 kutoka Kwenye Chapisho la Tanzania in Figures 2023 Limebainisha masuala kadhaa ya takwimu za msingi za Nchi.
Moja kati ya takwimu hizo ni Mchanganuo wa Uchumi wa Kila Mkoa Kwa Tanzania Bara.
Kwa Mujibu wa Takwimu hizo , imebainisha Mikoa 10 ambayo imeshikilia Uchumi mkubwa wa Tanzania yaani yenye Pato la Mkoa (Regional GDP) ya kuanzia kuanzia Shilingi Trilioni 6.7 Hadi Trilioni 32.2.
Mikoa hiyo 10 inashikilia zaidi ya asilimia 70% ya Uchumi wa Nchi huku Mikoa mingine 14 Kwa pamoja ikibakia na asilimia 30% tuu.
Kiufupi mpaka hapo inaonesha umaskini mkubwa huko Mikoani Kwa sababu haiwezekani Mikoa 12 iwe na Uchumi mkubwa kushinda Mikoa 14. Hapa Serikali Ina kazi ya kufanya.
Orodha ya Mikoa hiyo Heavy Weights na Pato la Kila Mkoa (Trilioni) ni ;
A)Kundi La Kwanza(Top 3 Regions)-Mikoa yenye Zaidi ya Trilioni 10.
1.DSM =32.2
2.Mwanza =13.5
3.Mbeya =10.7
B)Kundi La Pili-Pato Kuanzia Trilioni 8.0-9.9
4.Arusha=8.8
5.Tanga=8.8
6.Morogoro=8.8
7.Geita=8.6
8.Kilimanjaro=8.2
C)Kundi La Tatu-Pato kuanzia Trilioni 6.5-8.0
9.Ruvuma=7.1
10.Shinyanga=6.7
11.Mara=6.7
12.Tabora=6.7
My Take
Mikoa ya Ruvuma, Shinyanga, Mara, Geita na Tabora ni game changer kwenye Uchumi wa Nchi, kutoka kusikojulikana hadi kuwa Mikoa muhimu ni jambo la kupongezwa na kuonesha kwamba kumbe ukifungua Nchi Kwa miundombinu Uchumi unafufuka.
Mwisho, Serikali Ipeleke rasimali za Kutosha kwenye Mikoa ya Mwanza na Mbeya kulingana na Mchango wao kwenye Uchumi.
Haipendezi kuchukua jasho la watu wa Mikoa mingine na kwenda kujengwa Dar, Dodoma na Arusha. Mgawanyo wa Rasilimali ufanyike Kwa uwiano mzuri.
View attachment 3060612
1. Kama Njombe haipo kwenye top 10, hiyo ripoti inaweza ikawa imechakachuliwaKwa Mujibu wa Takwimu za NBS za mwaka 2023 kutoka Kwenye Chapisho la Tanzania in Figures 2023 Limebainisha masuala kadhaa ya takwimu za msingi za Nchi.
Moja kati ya takwimu hizo ni Mchanganuo wa Uchumi wa Kila Mkoa Kwa Tanzania Bara.
Kwa Mujibu wa Takwimu hizo , imebainisha Mikoa 10 ambayo imeshikilia Uchumi mkubwa wa Tanzania yaani yenye Pato la Mkoa (Regional GDP) ya kuanzia kuanzia Shilingi Trilioni 6.7 Hadi Trilioni 32.2.
Mikoa hiyo 10 inashikilia zaidi ya asilimia 70% ya Uchumi wa Nchi huku Mikoa mingine 14 Kwa pamoja ikibakia na asilimia 30% tuu.
Kiufupi mpaka hapo inaonesha umaskini mkubwa huko Mikoani Kwa sababu haiwezekani Mikoa 12 iwe na Uchumi mkubwa kushinda Mikoa 14. Hapa Serikali Ina kazi ya kufanya.
Orodha ya Mikoa hiyo Heavy Weights na Pato la Kila Mkoa (Trilioni) ni ;
A)Kundi La Kwanza(Top 3 Regions)-Mikoa yenye Zaidi ya Trilioni 10.
1.DSM =32.2
2.Mwanza =13.5
3.Mbeya =10.7
B)Kundi La Pili-Pato Kuanzia Trilioni 8.0-9.9
4.Arusha=8.8
5.Tanga=8.8
6.Morogoro=8.8
7.Geita=8.6
8.Kilimanjaro=8.2
C)Kundi La Tatu-Pato kuanzia Trilioni 6.5-8.0
9.Ruvuma=7.1
10.Shinyanga=6.7
11.Mara=6.7
12.Tabora=6.7
My Take
Mikoa ya Ruvuma, Shinyanga, Mara, Geita na Tabora ni game changer kwenye Uchumi wa Nchi, kutoka kusikojulikana hadi kuwa Mikoa muhimu ni jambo la kupongezwa na kuonesha kwamba kumbe ukifungua Nchi Kwa miundombinu Uchumi unafufuka.
Mwisho, Serikali Ipeleke rasimali za Kutosha kwenye Mikoa ya Mwanza na Mbeya kulingana na Mchango wao kwenye Uchumi.
Haipendezi kuchukua jasho la watu wa Mikoa mingine na kwenda kujengwa Dar, Dodoma na Arusha. Mgawanyo wa Rasilimali ufanyike Kwa uwiano mzuri.
View attachment 3060612
Umekurupuka hujaelewa mada.1. Kama Njombe haipo kwenye top 10, hiyo ripoti inaweza ikawa imechakachuliwa
2. Kama kila mkoa ungeruhusiwa utumie mapato yake kwa maendeleo yake, Arusha pangekuwa pameendelea zaidi ya ilivyo sasa.
Wale Wana list Yao wa Mikoa maskini zaidi,nitakuja nayo hivi punde 😁😁Ndugu zetu Ishomile siwaoni
Kazi ya Mwl ni kuelewesha. Tiririka mpaka nikuelewe.Umekurupuka hujaelewa mada.
Pili muendelee kuzidi hapo wakati Hadi hapo mumetumia pesa za wengine 🤣🤣🤣🤣
Inaelekea watu wengi hamuelewi hata maana ya GDP
Ruvuma kuna uvunaji mkubwa sana wa Makaa ya mawe unaendelea. Huu uvunaji hauna impact ya moja kwa moja kwa mwananchi wa kawaida wa Ruvuma zaidi ya kuongeza mapato ya Mkoa na Taifa. Maisha ya wanaruvuma bado ni duni sana kusema kweli.Uchumi wa Mikoa 4 ya Kundi la Pili ndio Dsm peke yake,tunatakiws tutoke huko walau Mikoa 2 inayofuatia Dar ndio walingane Kwa Uchumi,hii gap ni kubwa sana.
🤣 🤣 🤣 Ukija na hiyo list nitag mkuuWale Wana list Yao wa Mikoa maskini zaidi,nitakuja nayo hivi punde 😁😁
Nimefurahi kuona mkoa wetu wa Morogoro unafanya vizuri.Kwa Mujibu wa Takwimu za NBS za mwaka 2023 kutoka Kwenye Chapisho la Tanzania in Figures 2023 Limebainisha masuala kadhaa ya takwimu za msingi za Nchi.
Moja kati ya takwimu hizo ni Mchanganuo wa Uchumi wa Kila Mkoa Kwa Tanzania Bara.
Kwa Mujibu wa Takwimu hizo , imebainisha Mikoa 10 ambayo imeshikilia Uchumi mkubwa wa Tanzania yaani yenye Pato la Mkoa (Regional GDP) ya kuanzia kuanzia Shilingi Trilioni 6.7 Hadi Trilioni 32.2.
Mikoa hiyo 10 inashikilia zaidi ya asilimia 70% ya Uchumi wa Nchi huku Mikoa mingine 14 Kwa pamoja ikibakia na asilimia 30% tuu.
Kiufupi mpaka hapo inaonesha umaskini mkubwa huko Mikoani Kwa sababu haiwezekani Mikoa 12 iwe na Uchumi mkubwa kushinda Mikoa 14. Hapa Serikali Ina kazi ya kufanya.
Orodha ya Mikoa hiyo Heavy Weights na Pato la Kila Mkoa (Trilioni) ni ;
A)Kundi La Kwanza(Top 3 Regions)-Mikoa yenye Zaidi ya Trilioni 10.
1.DSM =32.2
2.Mwanza =13.5
3.Mbeya =10.7
B)Kundi La Pili-Pato Kuanzia Trilioni 8.0-9.9
4.Arusha=8.8
5.Tanga=8.8
6.Morogoro=8.8
7.Geita=8.6
8.Kilimanjaro=8.2
C)Kundi La Tatu-Pato kuanzia Trilioni 6.5-8.0
9.Ruvuma=7.1
10.Shinyanga=6.7
11.Mara=6.7
12.Tabora=6.7
My Take
Mikoa ya Ruvuma, Shinyanga, Mara, Geita na Tabora ni game changer kwenye Uchumi wa Nchi, kutoka kusikojulikana hadi kuwa Mikoa muhimu ni jambo la kupongezwa na kuonesha kwamba kumbe ukifungua Nchi Kwa miundombinu Uchumi unafufuka.
Mwisho, Serikali Ipeleke rasimali za Kutosha kwenye Mikoa ya Mwanza na Mbeya kulingana na Mchango wao kwenye Uchumi.
Haipendezi kuchukua jasho la watu wa Mikoa mingine na kwenda kujengwa Dar, Dodoma na Arusha. Mgawanyo wa Rasilimali ufanyike Kwa uwiano mzuri.
View attachment 3060612
Mfumo wa Uchumi wa Nchi unasababisha hivyo,mnachoambulia ni service levy Kwa level ya Halmashauri basi ila Kwa maeneo husika labda CSR ambayo nayo Halmashauri ndio inaamua.Ruvuma kuna uvunaji mkubwa sana wa Makaa ya mawe unaendelea. Huu uvunaji haina impact ya moja kwa moja kwa mwananchi wa kawaida wa Ruvuma zaidi ya kuongeza mapato ya Mkoa na Taifa. Maisha ya wanaruvuma bado ni duni sana kusema kweli.
Kila mara nasema itungwe sheria kulazimisha sehemu ya mapato yatokanayo na rasilimali ibaki eneo husika ili kusaidia maeneo hayo kiinuka kiuchumi. Kwa sasa wanaruvuma wanashangaa tu malori maelfu kwa maelfu yanasomba mkaa kila uchao bila faida yoyote kwao
Morogoro imeanza kujitahidi ila Sasa mkigawanywa tuu hesabuni maumivu 🤣🤣Nimefurahi kuona mkoa wetu wa Morogoro unafanya vizuri.
Tugawanywe wapi na wapi ?Morogoro imeanza kujitahidi ila Sasa mkigawanywa tuu hesabuni maumivu 🤣🤣
Nahisi Kagera "inaonewa". Mkoa mzuri kama huu usingepaswa kutajwa miongoni mwa mikoa masikini. Nipo kwenye gari naelekea Ngara mjini nikitokea Rulenge. Mkoa ni mzuri sana.Ndugu zetu Ishomile siwaoni
Hakuna kitu kama hicho, Arusha wanajionaga wa mbele sana. Hivi unajua wanachoringia Arusha ni matajiri wachache wenye hela nyingi ambapo matajiri hawa wachache hawawezi kuwa sehemu kubwa ya maendeleo ya mkoa.1. Kama Njombe haipo kwenye top 10, hiyo ripoti inaweza ikawa imechakachuliwa
2. Kama kila mkoa ungeruhusiwa utumie mapato yake kwa maendeleo yake, Arusha pangekuwa pameendelea zaidi ya ilivyo sasa.