ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 65,819
- 75,142
Kwa Mujibu wa Takwimu za NBS za mwaka 2023 kutoka Kwenye Chapisho la Tanzania in Figures 2023 Limebainisha masuala kadhaa ya takwimu za msingi za Nchi.
Moja kati ya takwimu hizo ni Mchanganuo wa Uchumi wa Kila Mkoa Kwa Tanzania Bara.
Kwa Mujibu wa Takwimu hizo , imebainisha Mikoa 10 ambayo imeshikilia Uchumi mkubwa wa Tanzania yaani yenye Pato la Mkoa (Regional GDP) ya kuanzia kuanzia Shilingi Trilioni 6.7 Hadi Trilioni 32.2.
Mikoa hiyo 10 inashikilia zaidi ya asilimia 70% ya Uchumi wa Nchi huku Mikoa mingine 14 Kwa pamoja ikibakia na asilimia 30% tuu.
Kiufupi mpaka hapo inaonesha umaskini mkubwa huko Mikoani Kwa sababu haiwezekani Mikoa 12 iwe na Uchumi mkubwa kushinda Mikoa 14. Hapa Serikali Ina kazi ya kufanya.
Orodha ya Mikoa hiyo Heavy Weights na Pato la Kila Mkoa (Trilioni) ni ;
A)Kundi La Kwanza(Top 3 Regions)-Mikoa yenye GDP Zaidi ya Trilioni 10.
1.DSM =32.2
2.Mwanza =13.5
3.Mbeya =10.7
B)Kundi La Pili-GDP Kuanzia Trilioni 8.0-9.9
4.Arusha=8.8
5.Tanga=8.8
6.Morogoro=8.8
7.Geita=8.6
8.Kilimanjaro=8.2
C)Kundi La Tatu-GDP kuanzia Trilioni 6.5-8.0
9.Ruvuma=7.1
10.Shinyanga=6.7
11.Mara=6.7
12.Tabora=6.7
My Take
•Mikoa ya Ruvuma, Shinyanga, Mara, Geita na Tabora ni game changer kwenye Uchumi wa Nchi, kutoka kusikojulikana hadi kuwa Mikoa muhimu ni jambo la kupongezwa na kuonesha kwamba kumbe ukifungua Nchi Kwa miundombinu Uchumi unafufuka.
•Dodoma ni Makao Makuu ya Nchi lakini haichangii chochote Cha maana kwenye Uchumi wa Nchi.Pwani inaongoza Kwa viwanda Tanzania lakini ni kama havina Msaada wa Moja kwa kwenye Uchumi wa Mkoa labda mauzo ya Nje ya Nchi nk.
•Mwisho, Serikali Ipeleke rasimali za Kutosha kwenye Mikoa ya Mwanza na Mbeya kulingana na Mchango wao kwenye Uchumi.
Haipendezi kuchukua jasho la watu wa Mikoa mingine na kwenda kujengwa Dar, Dodoma na Arusha. Mgawanyo wa Rasilimali ufanyike Kwa uwiano mzuri.
•Mikoa ya Kaskazini (Tanga,Arusha, Kilimanjaro) Inaonekana Iko Very Stable Kiuchumi,Kila takwimu muhimu huwezi ikosa.
Angalizo:
•Uchambuzi huu sio rasmi Bali ni abstract tuu,hivyo uchukuliwe Kwa lengo la kutoa picha ya Juu Juu kuhusu Hali ya Uchumi wa Mikoa.
•Uchambuzi rasmi na takwimu rasmi za matumizi ni zile zinazotolewa na mamlaka husika kama NBS,ESRF,FinScope,BoT nk.
Pia soma Mikoa 10 Yenye Watu Maskini Zaidi Tanzania :Kagera namba 2, Dodoma namba 5.Nini Kinaiponza Mikoa Hii Maarufu?
Moja kati ya takwimu hizo ni Mchanganuo wa Uchumi wa Kila Mkoa Kwa Tanzania Bara.
Kwa Mujibu wa Takwimu hizo , imebainisha Mikoa 10 ambayo imeshikilia Uchumi mkubwa wa Tanzania yaani yenye Pato la Mkoa (Regional GDP) ya kuanzia kuanzia Shilingi Trilioni 6.7 Hadi Trilioni 32.2.
Mikoa hiyo 10 inashikilia zaidi ya asilimia 70% ya Uchumi wa Nchi huku Mikoa mingine 14 Kwa pamoja ikibakia na asilimia 30% tuu.
Kiufupi mpaka hapo inaonesha umaskini mkubwa huko Mikoani Kwa sababu haiwezekani Mikoa 12 iwe na Uchumi mkubwa kushinda Mikoa 14. Hapa Serikali Ina kazi ya kufanya.
Orodha ya Mikoa hiyo Heavy Weights na Pato la Kila Mkoa (Trilioni) ni ;
A)Kundi La Kwanza(Top 3 Regions)-Mikoa yenye GDP Zaidi ya Trilioni 10.
1.DSM =32.2
2.Mwanza =13.5
3.Mbeya =10.7
B)Kundi La Pili-GDP Kuanzia Trilioni 8.0-9.9
4.Arusha=8.8
5.Tanga=8.8
6.Morogoro=8.8
7.Geita=8.6
8.Kilimanjaro=8.2
C)Kundi La Tatu-GDP kuanzia Trilioni 6.5-8.0
9.Ruvuma=7.1
10.Shinyanga=6.7
11.Mara=6.7
12.Tabora=6.7
My Take
•Mikoa ya Ruvuma, Shinyanga, Mara, Geita na Tabora ni game changer kwenye Uchumi wa Nchi, kutoka kusikojulikana hadi kuwa Mikoa muhimu ni jambo la kupongezwa na kuonesha kwamba kumbe ukifungua Nchi Kwa miundombinu Uchumi unafufuka.
•Dodoma ni Makao Makuu ya Nchi lakini haichangii chochote Cha maana kwenye Uchumi wa Nchi.Pwani inaongoza Kwa viwanda Tanzania lakini ni kama havina Msaada wa Moja kwa kwenye Uchumi wa Mkoa labda mauzo ya Nje ya Nchi nk.
•Mwisho, Serikali Ipeleke rasimali za Kutosha kwenye Mikoa ya Mwanza na Mbeya kulingana na Mchango wao kwenye Uchumi.
Haipendezi kuchukua jasho la watu wa Mikoa mingine na kwenda kujengwa Dar, Dodoma na Arusha. Mgawanyo wa Rasilimali ufanyike Kwa uwiano mzuri.
•Mikoa ya Kaskazini (Tanga,Arusha, Kilimanjaro) Inaonekana Iko Very Stable Kiuchumi,Kila takwimu muhimu huwezi ikosa.
Angalizo:
•Uchambuzi huu sio rasmi Bali ni abstract tuu,hivyo uchukuliwe Kwa lengo la kutoa picha ya Juu Juu kuhusu Hali ya Uchumi wa Mikoa.
•Uchambuzi rasmi na takwimu rasmi za matumizi ni zile zinazotolewa na mamlaka husika kama NBS,ESRF,FinScope,BoT nk.
Pia soma Mikoa 10 Yenye Watu Maskini Zaidi Tanzania :Kagera namba 2, Dodoma namba 5.Nini Kinaiponza Mikoa Hii Maarufu?