Hii bidhaa ilipotelea wapi?

Naren

JF-Expert Member
Apr 22, 2016
692
428

Nilikuwa mdau mkubwa wa juice za namna hiyo, hasa za bidhaa hiyo "drink-o-pop". Kuna tetesi niliwahi kusikia kuwa zimepigwa marufuku, Je ni kweli zilipigwa marufuku?
Na kuna mbadala wa bidhaa hiyo maana nilikuwa naokoa mda kipindi nipo skuli weka maji mix na hiyo kitu tayari juice.
 
umenikumbusha enzi za OKO najua watoto wengi hamkuikuta,miaka ya tisini huko,kiboko ya pancha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…