KERO Hewa ya Mabibo Mwisho ni mbaya na chafu sana eneo la Stendi

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Udart

JF-Expert Member
Nov 5, 2016
281
345
Kwema. Jamani kama Kuna watu wanavuta HEWA CHAFU hapa Dsm basi ni hawa watu wa mabibo mwisho hasa karbu na stendi Kwa ambao ambao hawajafika hili eneo Lina bwawa la maji taka Kuna mabwawa makubwa mawili aisee yanaleta harufu Kali sana sasa ukitembea maneno karbu na hata mabwawa stendi ya mabibo yote

Kuna harufu Kali sana haivumiliki lkn nashangaa pemben mama ntilie mishkaki inachomwa kama kawaida mi kama wameshazoea .

Mi nashauri serikali ijarbu kuweka miundo mbinu hata kuyatia Yale maji machafu kemikali Ili kupunguza harufu Kali mazingira Yale hayafai kwa makazi ya watu ndio chanzo Cha kuleta kipindu pindu.

IMG_20241012_105904_086.jpg
 
Kwema. Jamani kama Kuna watu wanavuta HEWA CHAFU hapa Dsm basi ni hawa watu wa mabibo mwisho hasa karbu na stendi Kwa ambao ambao hawajafika hili eneo Lina bwawa la maji taka Kuna mabwawa makubwa mawili aisee yanaleta harufu Kali sana sasa ukitembea maneno karbu na hata mabwawa stendi ya mabibo yote Kuna harufu Kali sana haivumiliki lkn nashangaa pemben mama ntilie mishkaki inachomwa kama kawaida mi kama wameshazoea mi nashauri serikali ijarbu kuweka miundo mbinu hata kuyatia Yale maji machafu kemikali Ili kupunguza harufu Kali mazingira Yale hayafai kwa makazi ya watu ndio chanzo Cha kuleta kipindu pindu.
Mabibo utakua ni mgeni wewe sisi pale tulikuwa tunalala kabsa mida ya jioni na kama una demu unapigia mkasi hapo hapo
 
Kwahaya mapori yote tuliyojaliwa hivi kweli wameshindwa kufanya pori moja likawa sehemu ya kudample na kuchakata kinyesi maji ili yaweze kutumika tena?
 
Shida ya harufu sio Yale mabwawa.kuna mtaro unapita pale chini Kwa chini huo ndo inatema harufu.huo mtaro unatoka makazi ya watu huku Kwa nyuma inavuka barabara inatokeza upande wa mabwawa.nadhani wameushindwa maana wameushindwa maana wanatakiwa watafute alternative ya maji machafu yapitie wapi.yale mabwawa hata hayanuki na Kuna mda kiangazi yanakauka kabisa.shida wakazi.ingeluwa Kila mkazi ana chemba lake maji yote yanaenda huko usingeona mtaro pale Wala harufu.
 
Kwema. Jamani kama Kuna watu wanavuta HEWA CHAFU hapa Dsm basi ni hawa watu wa mabibo mwisho hasa karbu na stendi Kwa ambao ambao hawajafika hili eneo Lina bwawa la maji taka Kuna mabwawa makubwa mawili aisee yanaleta harufu Kali sana sasa ukitembea maneno karbu na hata mabwawa stendi ya mabibo yote

Kuna harufu Kali sana haivumiliki lkn nashangaa pemben mama ntilie mishkaki inachomwa kama kawaida mi kama wameshazoea .

Mi nashauri serikali ijarbu kuweka miundo mbinu hata kuyatia Yale maji machafu kemikali Ili kupunguza harufu Kali mazingira Yale hayafai kwa makazi ya watu ndio chanzo Cha kuleta kipindu pindu.

WAtu wamefuata mabwawa ya kuchuja na kusafisha "mavi" .
Njia sahihi ya kuachana na hiyo. harufu ni wakazi wote kuhama na kurudisha viwanja serikalini , to surrender their plots.
 
Back
Top Bottom