Hekalu la mbingu duniani”heaven on earth”.

Mpalakugenda

JF-Expert Member
Jun 2, 2015
4,568
4,970
Hili hekalu la mbingu duniani linaanza kuwa tishio kwa akina mwamposa.

Huyu profet upepo unavuma kuelekea kwake.
Hivi hawa waumini hasa wanawake ni hao hao wapo na makanisa mengine ama wao wanajitegemea tu. Yaan hakuna intersection ya waamini na madhehebu wanayohudhuria.
 
Hili hekalu la mbingu duniani linaanza kuwa tishio kwa akina mwamposa.

Huyu profet upepo unavuma kuelekea kwake.
Hivi hawa waumini hasa wanawake ni hao hao wapo na makanisa mengine ama wao wanajitegemea tu. Yaan hakuna intersection ya waamini na madhehebu wanayohudhuria.
Huyu ndiyo yule wa pale Njiro Quarters?
 
.
20231230_004146.jpg


Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Hili hekalu la mbingu duniani linaanza kuwa tishio kwa akina mwamposa.

Huyu profet upepo unavuma kuelekea kwake.
Hivi hawa waumini hasa wanawake ni hao hao wapo na makanisa mengine ama wao wanajitegemea tu. Yaan hakuna intersection ya waamini na madhehebu wanayohudhuria.
Ni wale wale matapeli wa injili ya kumtolea Mungu. Hana jipya lolote. Sikiliza radio yake. Sijui lini mamlaka za nchi zitafuta huu upuuzi. They are merely motivational speakers using the name of God to rob people.
 
Back
Top Bottom