Pre GE2025 Heche amtembelea muasisi wa Chadema, Mzee Ewdin Mtei

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
97,679
171,373
Muasisi wa Chadema mh Mtei ameupongeza Uongozi mpya wa Chadema Chini ya Tundu Lisu na John Heche

Mtei amesema hayo Wakati wa mazungumzo yake na makamu Mwenyekiti wa Chadema mh John Heche na Viongozi Wengine

Mzee Mtei amesisitiza hii ndio Chadema iliyo moyoni mwake na ana Imani kubwa na Tundu Antipas Lisu

Nawatakia Sabato njema😀

====
"Chama chetu kipo pamoja na nyie na uongozi wetu wote mpya naleta salamu za mwenyekiti wetu Tundu Lissu. Mzee mtei alisajiliwa kidijitali, kadi namba moja ya chama chetu anayo mzee Edwin Mtei kwahiyo tutaileta kwa heshma kabisa na hafla" - John Heche, Makamu Mwenyekiti Chadema


Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
 
Muasisi wa Chadema mh Mtei ameupongeza Uongozi mpya wa Chadema Chini ya Tundu Lisu na John Heche

Mtei amesema hayo Wakati wa mazungumzo yake na makamu Mwenyekiti wa Chadema mh John Heche na Viongozi Wengine

Mzee Mtei amesisitiza hii ndio Chadema iliyo moyoni mwake na ana Imani kubwa na Tundu Antipas Lisu

Nawatakia Sabato njema😀

Weka picha kama ni kweli....!?
 
Muasisi wa Chadema mh Mtei ameupongeza Uongozi mpya wa Chadema Chini ya Tundu Lisu na John Heche

Mtei amesema hayo Wakati wa mazungumzo yake na makamu Mwenyekiti wa Chadema mh John Heche na Viongozi Wengine

Mzee Mtei amesisitiza hii ndio Chadema iliyo moyoni mwake na ana Imani kubwa na Tundu Antipas Lisu

Nawatakia Sabato njema😀

Amefanya vyema
 
Back
Top Bottom