Hawa wachungaji/ MANABII wa makanisa ya kileo yananyoanzishwa kila siku wanaruhusiwa kuzika waumini wao?

Lexus SUV

JF-Expert Member
Sep 16, 2016
4,489
5,578
Habari ya mwaka mpya 2025,

Naomba uliza je hawa wachungaji / MANABII / pastor wa makanisa ya ki-leo haya ya kinabiii , ki mitume , haya ambayo muumini ananunua maji ya upako ambayo yana chapa ya maji ya kilimanjaro bonite , au wanaouza mafuta ya upako.

Je, na wenyewe wana wana ruhusiwa kuzika waumini wao wakifariki?
 
habari ya mwaka mpya 2025.......................................


naomba uliza je hawa wachungaji / MANABII / pastor wa makanisa ya ki-leo haya ya kinabiii , ki mitume , haya ambayo muumini ananunua maji ya upako ambayo yana chapa ya maji ya kilimanjaro bonite , au wanaouza mafuta ya upako ,



JE NA WENYEWE WANA WANA RUHUSIWA KUZIKA WAUMINI WAO WAKIFARIKI ?
Wakiruhusiwa inatokea miujiza mipya ya kufufuka waliokufa.
 
habari ya mwaka mpya 2025.......................................


naomba uliza je hawa wachungaji / MANABII / pastor wa makanisa ya ki-leo haya ya kinabiii , ki mitume , haya ambayo muumini ananunua maji ya upako ambayo yana chapa ya maji ya kilimanjaro bonite , au wanaouza mafuta ya upako ,



JE NA WENYEWE WANA WANA RUHUSIWA KUZIKA WAUMINI WAO WAKIFARIKI ?
Neno "kuzika" umemaanisha nini?
1-Kumuweka marehemu kwenye shimo(kaburi) na kumfukia?
2-Kumfanyia ibada ya mazishi?
 
habari ya mwaka mpya 2025.......................................
naomba uliza je hawa wachungaji / MANABII / pastor wa makanisa ya ki-leo haya ya kinabiii , ki mitume , haya ambayo muumini ananunua maji ya upako ambayo yana chapa ya maji ya kilimanjaro bonite , au wanaouza mafuta ya upako ,
JE NA WENYEWE WANA WANA RUHUSIWA KUZIKA WAUMINI WAO WAKIFARIKI ?
Binafsi sijawahi kupata taarifa ya akina Mzee wa Upako, Suguye na Mwamposa wakifanya ibada za mazishi na hata za ndoa. Nadhani wao wamejibainisha kuwa kama tuition centres, shule kasome kwingine
 
Binafsi sijawahi kupata taarifa ya akina Mzee wa Upako, Suguye na Mwamposa wakifanya ibada za mazishi na hata za ndoa. Nadhani wao wamejibainisha kuwa kama tuition centres, shule kasome kwingine
Niliona Mwamposa aliongoza Ibada ya kumuaga yule Mama muigizaji (Grace Mapunda) pale uwanja wa viongozi mwaka jana.

Nadhani wanafanya kwa baadhi ya waumini wao, japo hawataki waonekane sana, ama huwa wanawatuma wachungaji wao.
 
Habari ya mwaka mpya 2025,

Naomba uliza je hawa wachungaji / MANABII / pastor wa makanisa ya ki-leo haya ya kinabiii , ki mitume , haya ambayo muumini ananunua maji ya upako ambayo yana chapa ya maji ya kilimanjaro bonite , au wanaouza mafuta ya upako.

Je, na wenyewe wana wana ruhusiwa kuzika waumini wao wakifariki?
Wakifa huwa wanatoroka, nilishuhudia yule anajiita nabii Joshua wa Morogoro, alifiwa na waumini kanisani kwake akapanda gari akachomoa
 
Ngoja waje kukupa muongozo...


Cc: Mahondaw
shemejiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii shemejiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
dah sema dini zimekuwa kama biashara now days aseeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Back
Top Bottom