Sony Telecommunications walipo ruhusu simu zao hasa uzao wa Xperia kusonga mbele kwenye OS ya Adroid hasa kuna baadhi ya OS Version kama Marshmallows ilizingua kwenye kutunza Chaji tofauti na Lollipop.
Nakumbuka Z3 yangu ilikuwa ina kaa na chaji kwa siku mbili na na masaa kadhaa pasipo kuzima Data na kuitumia pia.
Lakini nilipo pokea Marshmallow nilijuta, simu hata siku ilikuwa haimalizi nikiacha Data na brightness ikiwa 100%
Leo nimepata system updates naona wamerudisha ila battery optimization ya lollipop.
Wale wa Uzao wa Xperia Z mnaweza cheki