Pius J. Kiwarya Lema
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 1,097
- 567
Lafudhi yako inaonesha unatoka Kanda ile ya Ukabila na Ukanda. Bahati mbaya mtu wako tumemkataa!!!Kuna MANENO yanayosemwa Na Watu wa Ccm humu Ndani kwamba Ukawa wameua Vita ya Ufisadi
kwa kumpokea Lowasaa kuwa Kugombea Urais 2015
Kinachokera wanadai Ukawa wamekosa ujasiri
kuwasema watuhumiwa wao Ccm.
waliowachagua kuongoza bunge Na serikali ,! Kwani Ccm wasiwaseme watu wao wanataka Ukawa wawasemee ??
Ule Mchezo wa Ccm wa kumkimbiza mwizi lakini hawamkamati uliwafanya Watu wadanganyike
Sasa Mashabiki wa Ccm kwa kuwa wanajua hawana
uwezo wa kupambana Na watuhumiwa wa ufisadi
waliopo humo Ndani Mwao wanalialia Na ukawa !
Lowasa yuko Ukawa Na alishawambia kama kuna kesi peleka mahakamani .!
Mimi nilihudhuria Mikutano
ya Dr WP Salaa aliowataja watuhumiwa wa
Ufisadi Mkubwa ndo walikuwa
wanamnadi Magufuli mpaka siku ya Mwisho. pale Mwanza !
Tuache Ubaguzi mpaka kwa watuhumiwa !
Ni wakati wa Ccm kupambana
Na Ufisadi moja kwa moja siyo kutipua majipu ?
Asante Kamanda Mbowe kwa kutuondolea usanii huu wa kumkimbiza mwizi !!!
"KLJP"
Lafudhi yako inaonesha unatoka Kanda ile ya Ukabila na Ukanda. Bahati mbaya mtu wako tumemkataa!!!
Kuna MANENO yanayosemwa Na Watu wa Ccm humu Ndani kwamba Ukawa wameua Vita ya Ufisadi
kwa kumpokea Lowasaa kuwa Kugombea Urais 2015
Kinachokera wanadai Ukawa wamekosa ujasiri
kuwasema watuhumiwa wao Ccm.
waliowachagua kuongoza bunge Na serikali ,! Kwani Ccm wasiwaseme watu wao wanataka Ukawa wawasemee ??
Ule Mchezo wa watuhumiwa Ccm wa kumkimbiza mtuhumiwa
Lakini hawamkamati uliwafanya Watu wadanganyike
Sasa Mashabiki wa Ccm kwa kuwa wanajua hawana
uwezo wa kupambana Na watuhumiwa wa ufisadi
waliopo humo Ndani Mwao wanalialia Na ukawa !
Lowasa yuko Ukawa Na alishawambia kama kuna kesi peleka mahakamani .!
Mimi nilihudhuria Mikutano
ya Dr WP Slaa aliowataja watuhumiwa wa
Ufisadi Mkubwa ndo walikuwa
wanamnadi Magufuli mpaka siku ya Mwisho. pale Mwanza !
Tuache Ubaguzi mpaka kwa watuhumiwa !
Ni wakati wa Ccm kupambana
Na Ufisadi moja kwa moja siyo kutipua majipu ?
Asante Kamanda Mbowe kwa kutuondolea usanii huu wa watuhumiwa kumkimbiza mtuhumiwa lakini hawamkamati !!!
"KLJP"
Kuna MANENO yanayosemwa Na Watu wa Ccm humu Ndani kwamba Ukawa wameua Vita ya Ufisadi
kwa kumpokea Lowasaa kuwa Kugombea Urais 2015
Kinachokera wanadai Ukawa wamekosa ujasiri
kuwasema watuhumiwa wao Ccm.
waliowachagua kuongoza bunge Na serikali ,! Kwani Ccm wasiwaseme watu wao wanataka Ukawa wawasemee ??
Ule Mchezo wa watuhumiwa Ccm wa kumkimbiza mtuhumiwa lakini hawamkamati uliwafanya Watu wadanganyike
Sasa Mashabiki wa Ccm kwa kuwa wanajua hawana
uwezo wa kupambana Na watuhumiwa wa ufisadi
waliopo humo Ndani Mwao wanalialia Na ukawa !
Lowasa yuko Ukawa Na alishawambia kama kuna kesi peleka mahakamani .!
Mimi nilihudhuria Mikutano
ya Dr WP Slaa aliowataja watuhumiwa wa
Ufisadi Mkubwa ndo walikuwa
wanamnadi Magufuli mpaka siku ya Mwisho. pale Mwanza !
Tuache Ubaguzi mpaka kwa watuhumiwa !
Ni wakati wa Ccm kupambana
Na Ufisadi moja kwa moja siyo kutipua majipu ?
Asante Kamanda Mbowe kwa kutuondolea usanii huu wa watuhumiwa kumkimbiza mtuhumiwa lakini hawamkaamati !!!
"KLJP"