Hatimaye kitabu cha DILI LA DOLA BILIONI NNE chaingia mitaani leo hii

Kanungila Karim

JF-Expert Member
Apr 29, 2016
20,743
25,510
Guys!
Namshukuru Mungu kwa kufanikisha hili. Kitabu cha Dili la Dola Bilioni Nne nimekabidhiwa, kimeprintiwa vizuri mno, nitaanza kazi ya kuwafikishia wasomaji keaho. Nitaanzia Bunju, Tegeta, Mwenge, Posta, Mbagala, Tandika na Temeke.
Wale wa mikoani kama Dodoma, Morogoro, Zanzibar, Mbeya, Mwanza na Arusha mtalipia 12000 na kitabu kitafika kwa wakala wangu na mtakifuata ila kwa mkoa ambao haujatajwa, utalipia 15000 na utakipata kwenye ofisi za mabasi.
Namba ya kutuma pesa ni 0763986156.







CREDIT:Nyemo Chilongani(Facebook)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…