Hatakuja kutokea kamwe Papa wa hivi

Papa Black? Now way. Mmeiona Conclave? Papa mweusi never ever. Hatotokea kamwe.

Always Papa atakuwa Mzungu. Mweusi hapana

Swali lako limegusa jambo la msingi sana katika historia na kanuni za Kanisa Katoliki — na jibu lake linavutia:
Ndiyo — taratibu za Kanisa Katoliki zinamruhusu Kardinali mweusi kuwa Papa na kuongoza Roma pia.

Hivi Ndivyo Inavyofanya Kazi:
Papa anapochaguliwa, anachaguliwa na mkutano wa makardinali (Conclave).
Kwa sasa, makardinali walio chini ya miaka 80 wana haki ya kupiga kura kumchagua Papa mpya.
Mtu yeyote anaweza kuchaguliwa kuwa Papa — mradi awe mwanaume mbatizwa wa Kanisa Katoliki.

Kwa kawaida, huchaguliwa kutoka miongoni mwa makardinali, lakini kiutaratibu hata Mkristo wa kawaida anaweza kuteuliwa (ingawa hilo halijawahi kutokea karne nyingi)
Akishachaguliwa:
Bila kujali anatoka nchi gani au rangi gani, anakuwa Papa wa Roma na Mkuu wa Kanisa Katoliki duniani.

Pia anapewa cheo cha Askofu wa Roma, kwa sababu kihistoria, urithi wa Petro kama Papa unahusiana na kuwa Askofu wa Roma.
Anapochaguliwa, jina lake la kawaida hubadilishwa na kuchukua jina la Kipapa (kama Francis, Benedict, au John Paul)
Je, Kuna Kizuizi Kwa Kardinali Mweusi?
Hapana kabisa. Hakuna kizuizi cha rangi wala taifa.
Kwa kweli, Kardinali Peter Turkson wa Ghana, Kardinali Robert Sarah wa Guinea, na wengine kutoka Afrika wamewahi kutajwa mara nyingi kama wagombea wanaowezekana.

Kitu cha Kukumbuka:

Kanisa Katoliki linajiona kuwa la ulimwengu mzima (katoliki = universal), hivyo linapaswa kumwakilisha kila mtu, na hiyo inajumuisha uwezekano wa kuwa na Papa wa Kiafrika, au mweusi, au kutoka Asia.

Kifupi:

Kardinali mweusi akichaguliwa — anakuwa Papa wa Roma, kiongozi wa ulimwengu mzima wa Katoliki — sawa na mapapa wengine.
Hakuna kipingamizi cha sheria wala utaratibu wa Kanisa.
 
Swali lako limegusa jambo la msingi sana katika historia na kanuni za Kanisa Katoliki — na jibu lake linavutia:
Ndiyo — taratibu za Kanisa Katoliki zinamruhusu Kardinali mweusi kuwa Papa na kuongoza Roma pia.

Hivi Ndivyo Inavyofanya Kazi:
Papa anapochaguliwa, anachaguliwa na mkutano wa makardinali (Conclave).
Kwa sasa, makardinali walio chini ya miaka 80 wana haki ya kupiga kura kumchagua Papa mpya.
Mtu yeyote anaweza kuchaguliwa kuwa Papa — mradi awe mwanaume mbatizwa wa Kanisa Katoliki.

Kwa kawaida, huchaguliwa kutoka miongoni mwa makardinali, lakini kiutaratibu hata Mkristo wa kawaida anaweza kuteuliwa (ingawa hilo halijawahi kutokea karne nyingi)
Akishachaguliwa:
Bila kujali anatoka nchi gani au rangi gani, anakuwa Papa wa Roma na Mkuu wa Kanisa Katoliki duniani.

Pia anapewa cheo cha Askofu wa Roma, kwa sababu kihistoria, urithi wa Petro kama Papa unahusiana na kuwa Askofu wa Roma.
Anapochaguliwa, jina lake la kawaida hubadilishwa na kuchukua jina la Kipapa (kama Francis, Benedict, au John Paul)
Je, Kuna Kizuizi Kwa Kardinali Mweusi?
Hapana kabisa. Hakuna kizuizi cha rangi wala taifa.
Kwa kweli, Kardinali Peter Turkson wa Ghana, Kardinali Robert Sarah wa Guinea, na wengine kutoka Afrika wamewahi kutajwa mara nyingi kama wagombea wanaowezekana.

Kitu cha Kukumbuka:

Kanisa Katoliki linajiona kuwa la ulimwengu mzima (katoliki = universal), hivyo linapaswa kumwakilisha kila mtu, na hiyo inajumuisha uwezekano wa kuwa na Papa wa Kiafrika, au mweusi, au kutoka Asia.

Kifupi:

Kardinali mweusi akichaguliwa — anakuwa Papa wa Roma, kiongozi wa ulimwengu mzima wa Katoliki — sawa na mapapa wengine.
Hakuna kipingamizi cha sheria wala utaratibu wa
Ndugu, kwa kusema ukweli tu wa Mungu—maandishi yako yanaonekana kbx kama yameandikwa kwa asilimia 90 na akili bandia (AI). Yamepangwa kwa ustadi wa hali ya juu mno, lugha yake ni fasaha sana Bila grammatical error s, na yana mtririko mzuri mno kana kwamb ni kifungu kutoka kwenye kitabu cha kiada. Pia, hayana emotional tone, mtazamo wa kipekee, wala stori ya mtu halisi—ni taarifa tupu zilizoandikwa kwa mtindo wa kitaalamu ulionyoooka.Hii ni daliili ya kawaida ya maandishi yaliyoandaliwa na AI.Kama ulitumia AI, hakuna tatizo kabisa—lakini kama uliandika wewe mwenyewe, basi hongera unaandika kama roboti!
 
Ndugu, kwa kusema ukweli tu—maandishi yako yanaonekana kama yameandikwa kwa asilimia 90 na akili bandia (AI). Yamepangwa kwa ustadi wa hali ya juu, lugha yake ni fasaha sana bila makosa yoyote ya kisarufi, na yana mtririko mzuri mno kana kwamb ni kifungu kutoka kwenye kitabu cha kiada. Pia, hayana emotional tone, mtazamo wa kipekee, wala hadithi ya mtu halisi—ni taarifa tupu zilizoandikwa kwa mtindo wa kitaalamu ulionyoooka. Hii ni dalili ya kawaida ya maandishi yaliyoandaliwa na AI. Kama ulitumia AI, hakuna tatizo kabisa—lakini kama uliandika wewe mwenyewe, basi hongera, unaandika kama roboti!
AI
 
Labda kwa akili za kufirika łakina kwa taratibu za ‘conclave’ anything is possible.

Watanzania ni wavivu wa kutumia akili.

Kuna hili tatizo ambalo ni kubwa sana kwenye jamii la kutoa conclusion kutokana na mawazo ya mtu.

Hili ni tatizo kubwa sana Tanzania,

Yaani mtu anaweza fikiria ujinga tu kutoka kichwani and that’s it, a guiding belief or a fact on the matter.
 
Labda kwa akili za kufirika łakina kwa taratibu za ‘conclave’ anything is possible.

Watanzania ni wavivu wa kutumia akili.

Kuna hili tatizo ambalo ni kubwa sana kwenye jamii la kutoa conclusion kutokana na mawazo ya mtu.

Hili ni tatizo kubwa sana Tanzania,

Yaani mtu anaweza fikiria ujinga tu kutoka kichwani and that’s it, a guiding belief or a fact on the matter.
Sijakuelewa una maana gani.

Kinachosemwa hapa ni kwamba wazungu hawako tayari kuongozwa nabblack races.

Huyu marehemu mwenyewe alikuwa mbaguzi wa rangi kiasi cha kuonesha wazi kwa kukataa mkono wa salam tu kutoka kwa baadhi ya watu weusi.
 
Sijakuelewa unavmaana gani.

Kinachosemwa hapa ni kwamba wazungu hawako tayari kuongozwa nabblack races.

Huyu marehemu mwenyewe alikuwa mbaguzi wa rangi kiasi cha kuonesha wazi kwa kukataa mkono wa salam tu kutoka kwa baadhi ya watu weusi.
Uwezi kuelewa kwa sababu hujui what is conclave.

Kuna taratibu za kanisa kwa walio ‘cardinals’ wa makanisa hadi kumpata papa’

Sio rahisi hivyo kama unavyodhani, it’s a vetting process,

Halafu unajiita mkatoliki wakati hujui hata taratibu za kumpata mkuu wa kanisa.
 
Papa Black? Now way. Mmeiona Conclave? Papa mweusi never ever. Hatotokea kamwe.

Always Papa atakuwa Mzungu. Mweusi hapana

Naunga mkono hoja:

GpC-kOTWsAAsj-G.jpeg


Alifika kuwaangukia kina Kiir, Mashaar, Natenyahu, Congo, Putin, Congo huko waache vita, makwetu watambue umuhimu wa haki:

"Kumbe nyani ni nyani si ngozi wala gender!"
 
Swali lako limegusa jambo la msingi sana katika historia na kanuni za Kanisa Katoliki — na jibu lake linavutia:
Ndiyo — taratibu za Kanisa Katoliki zinamruhusu Kardinali mweusi kuwa Papa na kuongoza Roma pia.

Hivi Ndivyo Inavyofanya Kazi:
Papa anapochaguliwa, anachaguliwa na mkutano wa makardinali (Conclave).
Kwa sasa, makardinali walio chini ya miaka 80 wana haki ya kupiga kura kumchagua Papa mpya.
Mtu yeyote anaweza kuchaguliwa kuwa Papa — mradi awe mwanaume mbatizwa wa Kanisa Katoliki.

Kwa kawaida, huchaguliwa kutoka miongoni mwa makardinali, lakini kiutaratibu hata Mkristo wa kawaida anaweza kuteuliwa (ingawa hilo halijawahi kutokea karne nyingi)
Akishachaguliwa:
Bila kujali anatoka nchi gani au rangi gani, anakuwa Papa wa Roma na Mkuu wa Kanisa Katoliki duniani.

Pia anapewa cheo cha Askofu wa Roma, kwa sababu kihistoria, urithi wa Petro kama Papa unahusiana na kuwa Askofu wa Roma.
Anapochaguliwa, jina lake la kawaida hubadilishwa na kuchukua jina la Kipapa (kama Francis, Benedict, au John Paul)
Je, Kuna Kizuizi Kwa Kardinali Mweusi?
Hapana kabisa. Hakuna kizuizi cha rangi wala taifa.
Kwa kweli, Kardinali Peter Turkson wa Ghana, Kardinali Robert Sarah wa Guinea, na wengine kutoka Afrika wamewahi kutajwa mara nyingi kama wagombea wanaowezekana.

Kitu cha Kukumbuka:

Kanisa Katoliki linajiona kuwa la ulimwengu mzima (katoliki = universal), hivyo linapaswa kumwakilisha kila mtu, na hiyo inajumuisha uwezekano wa kuwa na Papa wa Kiafrika, au mweusi, au kutoka Asia.

Kifupi:

Kardinali mweusi akichaguliwa — anakuwa Papa wa Roma, kiongozi wa ulimwengu mzima wa Katoliki — sawa na mapapa wengine.
Hakuna kipingamizi cha sheria wala utaratibu wa Kanisa.
Inawezekana kwa sababu kuna pope anayeratibu mambo yote tofauti na huyu wa mavazi meupe anayeonekana kila mara
 
Back
Top Bottom