Super human
JF-Expert Member
- Feb 26, 2015
- 1,147
- 749
haaa haaa nilijua tu Mkuu MO11 lazima uongezee sabab zako zileeee za kuendelea kubaki kwenye hiki CHAMA chetu cha Kudumu cha wasiooanimeongeza sababu ya kutokuoa
waheshimiwa njooni hadi huku kwenye mahari mkate 18 yenu
ila had majeneza walisema watakata kodi sijui waliweza, ila sasa wataleta kukata na rambi rambi kodiSerikali imekosa mwelekeo na vyanzo vya makato hadi wameona wakate kodi kwenye harusi?
Wewe ndo umepoteza mwelekeo wa kufikiri,ndo michango hadi sh elfu 50,na mtu anaandaa ndoa ya 60mls,ni sawa?Serikali imekosa mwelekeo na vyanzo vya makato hadi wameona wakate kodi kwenye harusi?
Kwenye harusi wakate tu kwani zinasaidia nini kwenye jamii zaidi ya kuchangishana fedha kila uchaoSerikali imekosa mwelekeo na vyanzo vya makato hadi wameona wakate kodi kwenye harusi?
Mbona kabla mlikuwa mnakesha mkishauri serikali itupie jicho kwenye hii michango? Kwamba itlnapoteza kodi nyingi sana? Leo wamesikia kilio chenu, mnadai wamekosea mwelekeo.....Serikali imekosa mwelekeo na vyanzo vya makato hadi wameona wakate kodi kwenye harusi?
Kwa jinsi hali inavyoenenda... Kuna uwezekano hata ile Biashara ya Usiku nayo ikatozwa kodi.Kwani ukumbi wanaoutumia haulipiwi kodi? tunakoelekea sasa naona siko. Inamaaana hata wale wanaotangaza kuuza TV zao au Kabati zao za ndani ili watatue shida ndogondogo nao wataanza kutozwa kodi sasa!. Hee hatari sana hii!
haaa haaaa umeonaeeWakimalizia hapo watakuja kwenye rambirambi